Reflector chakavu kwenye gari ni kosa kisheria?

Reflector chakavu kwenye gari ni kosa kisheria?

liganga4

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
293
Reaction score
195
nilikamatwa na trafic police tar 17/08/13 maeneo ya mwatex mwanza kwa madai kuwa gari nilyo kuwa reflector nichakavu kwa hivyo nlipe faini nilpo cma sina fedha alichukwa leseni yangu nitaipata mara nitakapo kwenda kulipa.nilpo muuliza nkikutana na trafic mwingine akasema ni mpigie cm. na wasilisha.
 
Back
Top Bottom