bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Hii ni sayansi ya tiba mbadala inayohusu kukandamiza sehemu za miguuni na kwenye viganja bila kutumia mafuta ya aina yeyote.
Hii sayansi inategemea uwepo wa maeneo(kanda) ambayo yanaakisi viungo vya mwili.kuchezea chezea hayo maeneo au kanda husababisha kuleta uponyaji kwa mgonjwa husika.
Ingawa bado kuna utata kuhusu hii tiba kufikia wengine kuiita sayansi ya uongo na kweli(pseudoscience) lakini nishajionea kwa macho yangu mgonjwa aliekua amepooza alifanyiwa hii dawa na taratibu akapona kabisa.
Hii sayansi inategemea uwepo wa maeneo(kanda) ambayo yanaakisi viungo vya mwili.kuchezea chezea hayo maeneo au kanda husababisha kuleta uponyaji kwa mgonjwa husika.
Ingawa bado kuna utata kuhusu hii tiba kufikia wengine kuiita sayansi ya uongo na kweli(pseudoscience) lakini nishajionea kwa macho yangu mgonjwa aliekua amepooza alifanyiwa hii dawa na taratibu akapona kabisa.