Elections 2010 Regia Mtema aongoza kwa 1250, Fomu nyingine zimeota miguu!

Elections 2010 Regia Mtema aongoza kwa 1250, Fomu nyingine zimeota miguu!

Status
Not open for further replies.
CCM was technically started in 1929. Sasa nyie na Dr. Slaa wenu mnategemea kuiangusha kwa juhudi zilizofanywa overnight. It won't be easy, but its the beginning. And remember that CCM always re-group themselves. Kumbuka scare ya Mrema 1995 and what happened in 2000?
Naogopa sana kwamba kama watajigroup vizuri mwaka 2015 kutakuwa tofauti tena. Cha maana ni kutulia na kujipanga upya.
Sasa hivi wanataka mumchukua spika atakayewalinda, sijui atakuwa nani?
Japo kazi haitakuwa rahisi
 
Mmoja wa spika mtarajiwa kabla ya uchaguzi alikuwa Kinana
 
Kama kuna watu wa kuwalaaani ni tbc na vijana wale silvery mujuni, lukas muhuvile, joseph shamba ktk kundi la the comedy, hawa ndio waliowalisha sumu ulanga kilombero kwa kuwapamba matapeli ktk program zao tangu mwaka jana, mabadiliko ni sawa lakini siyo kuwapigia debe matapeli na wajanjawajanja tu, kama suala ni ccm iendelee kutwawala basi kwanini hawakuwapigia debe watu makini ambao ni vijana na wako serikalini na asasi za kiraia? Sasa chadema wanapowapa watu alternative hawa wahuni wantumia umaarufu wao kimanjimanji kuwahubiri matapeli?!!!!!

Mimi nakubaliana na analysis ya huyu ndugu aliyeyataja maeneo yetu yote ulanga kilombero na dhiki zake.

Tuna laana sisi, hatupendani, hatusaidiani, tunadhulumiana kiakili na maarifa na mbaya zaidi kesho tunaanza kulalamika sana, na ile sifa ya watu wa moro kwa kuchonga domo........ Basi taabu tupu!!!

Dr. Slaa ujumbe wangu wa sms umeupata juu ya regia, dkt kitila, mnyika na wengineo mlindeni dada yetu, mpeni fursa ili morogoro iuone ukweli.

Viti maalum tunawapa wahaya, wachaga na sasa tumempa huyu mch.lwakatare ambaye aanapenda sana kujulikana kama m bk wakati ni mndamba wa mngeta-kilombero, huyu mama 5 yrs ahajafanya ziara ya kibunge ulanga-kilombero lakini cha ajabu ccm morogoro ameongoza kura viti maalum.

Mungu awatangulie na kama mlivyotuma regia nami pia nawaombeni in the name of kukikuza demokrasia
 
Kutoka Kilombero Mgombea wa CHADEMA Regia Mtema anaongoza kwa takribani kura 1250 na jitihada kubwa inatafuta kuweza kupata kura zitakazochakachua hizo. Fomu kutoka baadhi ya vituo zimeota mbawa na kama zile fomu kwenye mji mwingine ambazo ziligoma kuingia kwenye mashine hizi za Kilombero hata kuja hazitaki kuja.

Inaonekana kuna hali ya kukata tamaa na mwisho kama sehemu nyingine itabidi wakubali sauti ya watu isikike. Kama ushindi ungekuwa unakubalika mara moja jimbo la Kilombero lingekuwa ndio jimbo Pekee Morogoro kwenda upinzani..

Tusubiri.. labda hizi fomu zikipatikana zitakuja na idadi ya kuwatosha watani wa Chadema, CCM..

Pole sana Mkuu, wameshamtangaza Mkeketa kama mshindi wa Kilombero.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom