Elections 2010 Regia Mtema kupata ushindi wa kishindo Kilombero

Wakunyumba, sikupata wasaa kuhakiki jina langu, I have been all over udsm natafuta jina langu silioni. Narudi nilipoanzia sasa nicheki upya.

usikubali mpaka kieleweke leo...wasije wakasema walivyowatisha kuwa hawataki kura zenu na nyie mkaogopa.....hiyo ni risasi....kill em all
 
usikubali mpaka kieleweke leo...wasije wakasema walivyowatisha kuwa hawataki kura zenu na nyie mkaogopa.....hiyo ni risasi....kill em all
Preta yaani hapa ni mpaka nipige kura ndo niondoke. I dedicated today for that only. I knw my name is smwhere wala sina shaka.
Hii risasi lazima ifyatuke leo.
 
Th 5 November 2010 kutakuwa na tafrija ya kumpongeza pale mlimani city, bila kujali matokeo yatakuwaje, hongera sana RM, USHINDI LAZIMA,
 
asante kwa taarifa JojiPoji. Anastahili pongezi.
 
Ngoja aje hater wake hapa lol. Na ikitokea kweli sisteri akashinda...patakuwa patamu hapa maana alikejeliwa saana hapa. Vilevile itokee ashindwe....someone will gloat and scream to high heavens 'i told you so'....cant wait to see this one plays out

NN Nimeona Regia pia yuko kwenye list ya Viti maalum CHADEMA a. Kwa hiyo porbability yake ya kuitwa mbunge ina wigo mpana . Tusubiri tuone watani wa jadi
 
Pia msikose kupongezana baada ya matokeo kamili sawa ehh! Kila la heri!
 
NN Nimeona Regia pia yuko kwenye list ya Viti maalum CHADEMA a. Kwa hiyo porbability yake ya kuitwa mbunge ina wigo mpana . Tusubiri tuone watani wa jadi

mimi nataka ashinde ushindi mtamu na halali. Wa mezani sitaki aupate kwani hiyo itawapa akina gaijin nguvu za kuzidisha madharau yao. Dada wa watu kashambuliwa sana hapa na kiranga akishirikiana na gfriend wake gaijin lol
 
Th 5 November 2010 kutakuwa na tafrija ya kumpongeza pale mlimani city, bila kujali matokeo yatakuwaje, hongera sana RM, USHINDI LAZIMA,

kuna mwaliko au iko wazi kwa wote? Nataka kuja
 
mimi nataka ashinde ushindi mtamu na halali. Wa mezani sitaki aupate kwani hiyo itawapa akina gaijin nguvu za kuzidisha madharau yao. Dada wa watu kashambuliwa sana hapa na kiranga akishirikiana na gfriend wake gaijin lol
hahhahhahaha Duh NN sasa jitayarishe na wewe wenyewe wakikusikia

Hata mimi ningependa apate ushindi uwanjani. Alafu naona ile issue ilifanya dada yetu apotee kabisa jamvini. mpeni hongera kwa mapambano
 
mimi nataka ashinde ushindi mtamu na halali. Wa mezani sitaki aupate kwani hiyo itawapa akina gaijin nguvu za kuzidisha madharau yao. Dada wa watu kashambuliwa sana hapa na kiranga akishirikiana na gfriend wake gaijin lol


'kabla ya jua kuzama utanitaja mara tatu'

naona tayari ushatimiza, mbili hapa na moja kwenye thread nyengine ............🙂

 
Preta yaani hapa ni mpaka nipige kura ndo niondoke. I dedicated today for that only. I knw my name is smwhere wala sina shaka.
Hii risasi lazima ifyatuke leo.

Pole sana bht wengine tushamaliza Kazi tuko hapa tunaendeleza kampeni kwa njia ya Simu tunawapigia waliolala waende wakapige kura

Nakushauru fanya kitu hiki

Kuna watu majina yao yamekosewa kwa hiyo unaweza kutafuta mpaka kesho na kuna wengine majina yao yamekuwa printed kwenye vituo tofauti na walipojiandikishai

Jambo la muhimu tumia namba ya Kitambulisho chako kusearch info kwenye online database ya NEC itakuwa rahisi sana kugundua kama wamekosea jina lako au wamekuhamisha kituo kwa Makusudi au bahati mbaya
 
[/COLOR]

'kabla ya jua kuzama utanitaja mara tatu'

naona tayari ushatimiza, mbili hapa na moja kwenye thread nyengine ............🙂


loh! Kumbe unahesabu eeh? Basi usiku wa leo nikikuota ndotoni ntakusimulia kesho (slurp) lol
 
mimi nataka ashinde ushindi mtamu na halali. Wa mezani sitaki aupate kwani hiyo itawapa akina gaijin nguvu za kuzidisha madharau yao. Dada wa watu kashambuliwa sana hapa na kiranga akishirikiana na gfriend wake gaijin lol

:sad: + :embarrassed:
 

Dkt. NYU asante. Nimeshapiga kura ila lazima nikiri kuwa ilikuwa papara yangu kwa upande mmoja lakini pia mtiririko wa ubandikaji karatasi sio mzuri.
 
Dkt. NYU asante. Nimeshapiga kura ila lazima nikiri kuwa ilikuwa papara yangu kwa upande mmoja lakini pia mtiririko wa ubandikaji karatasi sio mzuri.

Mimi na Wifi yako tumeshawakilisha hapo Mlimani Primary
 
Safi!sana jimbo hilo mara zote wanawekaga watu wa hofyohofyo mara Gulamali,mara Libalama sasa mwaka huu hawatoki.ndugu zangu wa mlimba,Chita na Merera chagueni mabadiliko ingawa mimi ntapiga kura yangu DSM jimbo la kawe ila nawaombea ndg.zangu wa huko kwenye origin yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…