Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,240
- Thread starter
- #61
Sidhani kama nimeelewa mada yako ni nini mkuu. Unajaribu kutuambia kwamba hukujua tangu umezaliwa hadi Leo kwamba mtu mlemavu anafikiri na kuongea kama wewe usiye mlemavu? Kama hivyo ndivyo basi nadhani tukujadili wewe.
Au unajaribu kutuambia kwamba regia alipewa fursa aliyo nayo kwa sababu Chadema walitaka kuonesha kwamba siyo wabaguzi? Kama hivyo ndivyo, unahitaji kuomba radhi kwa regia na Chadema.
Nikisema 1 + 1=2 sio lazima kila mtu akubali!
Unaweza sema 1+1=11 na ukaja na theory yako uka prove!
As a man think,so he is!
Hayo ndo yalikuwa kwenye moyo wako lakini mimi nimempongeza kwa maana wengi wa walemavu ambao nimebahatika kuwaona sio wapiganaji,....yawezekana ni kwa sababu ya ulemavu wao!
Lakini regia nilimfahamu kupitia jf,na kwa kuona avatar yake tu tena sikujua kama ni yeye kweli!
Pamoja na hayo yote,nilivo sikia anagombea ubunge nilifurahi sana na kusema "yes" we have women who can dare to go forward kama kina mdee!
Nilivo muona jana (na sio mimi tu),nikawa nimeongeza "credit katika sifa zangu kwake" kwamba pamoja na kuwa ni mlemavu,anaweza kufanya mambo makubwa na hata usiweze kujua kwamba ni mlemavu kabla ya kumuona!
That is it,na wewe umekuja kutoa lililo moyoni mwako pia,that's jf "where we dare to talk openly"