Regia Mtema

Status
Not open for further replies.

Nikisema 1 + 1=2 sio lazima kila mtu akubali!
Unaweza sema 1+1=11 na ukaja na theory yako uka prove!

As a man think,so he is!
Hayo ndo yalikuwa kwenye moyo wako lakini mimi nimempongeza kwa maana wengi wa walemavu ambao nimebahatika kuwaona sio wapiganaji,....yawezekana ni kwa sababu ya ulemavu wao!

Lakini regia nilimfahamu kupitia jf,na kwa kuona avatar yake tu tena sikujua kama ni yeye kweli!
Pamoja na hayo yote,nilivo sikia anagombea ubunge nilifurahi sana na kusema "yes" we have women who can dare to go forward kama kina mdee!

Nilivo muona jana (na sio mimi tu),nikawa nimeongeza "credit katika sifa zangu kwake" kwamba pamoja na kuwa ni mlemavu,anaweza kufanya mambo makubwa na hata usiweze kujua kwamba ni mlemavu kabla ya kumuona!

That is it,na wewe umekuja kutoa lililo moyoni mwako pia,that's jf "where we dare to talk openly"
 
Mbona na wewe unatenda dhambi ile ile aliyotenda mwanzisha mada? Ukisema ni mwanamke wa shoka bado umembagua. Ushoka wake siyo kwa sababu ya jinsi yake bali kwa sababu ya uwezo wake. Vema ukisema ni mpiganaji wa shoka au ni mwanasiasa wa shoka.

Ukiitwa "mwanaume wa shoka" utakuwa umebaguliwa?
 
Mada yako haihusiani na siasa peleka kwenye jukwaa husika
kweli tabia haitibiki... dogo naona roho hwa inakuuma sana wenzako wakisifiwa, i thought you have grown up!! Pole sana
 


Lazima ashinde am sure 2015,......zaidi ni kwa sasa kuwaonesha wananchi wake kwamba pamoja na kwamba hakushinda anaweza kuwatumikia na atakuwa ame wajengea imani zaidi
 
Regia keeep it up
walikuchakachua katika uchaguzi lakini leo upo hapo
Kilombero ni moja ya majimbo tajiri tanzania nikimaanisja bonde la kilombero na mto wake,mlimba na kihansi na pia reli ya uhuru imepita huko lakini bado wananchi wake hawajafaidika zaidi ya wageni tu
jitahidi uwaamshe hao ndugu zetu wandamba tujenge NewTz
 
what's the point?

Mwenye uwezo wa kuthubutu kupanda jukwaa?

Amesema nini, amefanya nini Mabibo au kokote?


Tasa,you are so literal mkuu and it wont help you coz am not going to tell you anything
 
Ameolewa????
 
Binafsi namfahamu sana Regia.Regia ni kifaa cha aina yake,.She is courageous,very intelligent,ambitious na ziadi ya yote ni mwadada mvumilivu sana.Ni mchapa kazi,mwenye upendo,mtoaji,asiyekubali kushindwa.Ni mpenda haki,mwadilifu,mwaminifu katika mambo yote.Ni mcha MUNGU.

She is independent woman.Anachukia utegemezi.
 
Pole sana Shy.Nahisi hukuwa na nia mbaya ila ndio hivyo tena umegusa kipenzi cha watu.Pole sana siku nyingine soma alama za nyakati.Pole and take it easy.
 

ahsante kwa kutupa moyo.
Tutatangaza tu nia, ngoja tuendelee kujifunza kwa regia.
 
Ameolewa????

Hivi angekuwa sio mmbunge ungeuliza hili swali?

Regia Mungu akubariki ubakie ulivyo( mwenye upendo, usikivu, heshim,ukarimu, uadilifu na ucha Mungu)
nakuahidi sala zangu Mungu akulinde na akubariki ktk adma yako ya kutumikia wananchi.
 
Ila mhakikishe hamna skendo za ngono na mahusiano, ni hilo tu huwa linawaweka kwenye wakati mgumu.

kaka usiwakatishe tamaa,hizo kila mtu huwa nazo ila huwa zinatumika vibaya na mpinzani wako akiishiwa hoja na sera
mahusiano ni dept nyingine kabisa
unakumbuka ya akina Zuma ,clinton na wengineo?
 
Nawashukuru wote kwa comments zenu.Nimezipokea kwa mikono miwili.

Ila kwa bahati mbaya comments zote ziko upande wa positive tu,nahitaji pia na zile nyingine ili niumbike upya.I like both positive and negative criticism ili wakati mwingine nijue na mapungufu yangu.Naona wanaonifahamu wamefagia tu. Tunajengana.

Aluta Continua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…