Regina luhanga we miss u much

Huyu dem alikuwa kichwa sana
Yaani Pdidy umenikumbusha mbali sana
Huyu alikuwa msela wangu sana, Nakumbuka alisoma agakhan mzizima
Mshuwa wake alikuwa MD wa tanesco kipindi fulani.... Upstairs alikuwa Sawa sana
Nlikuwa nkiendaga kwao opp na American embassy kama kna mishe alikuwa anapenda kunizingua kwa mama yke... Ohh angalieni huyu "j" mjanjaa sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Any way aliondoka mapema sana sjui mpk Leo hii angekuwepo ingekuwaje

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana wajameni. Mimi pia, nina - miss Agnes Masogange (RIP), angekuwepo mpaka leo angebadilisha maisha ya vijana wengi sana, lakini ndio hivyo tena. 😭
 
kipindi Regina anafanya kazi mtandao wa simu Arusha kuna mshkaj wangu Reg alimpenda sana mshkaj, yaan tukitoka out ni full bata alikuwa na mapene balaa dah, nimekumbuka mbali sana
 
Oh my God Ether with your dimples !May your soul and that your dady rest in peace.Kumbe Reg alifariki I thought ni Esther tu.
 
Poleni sana wajameni. Mimi pia, nina - miss Agnes Masogange (RIP), angekuwepo mpaka leo angebadilisha maisha ya vijana wengi sana, lakini ndio hivyo tena. [emoji24]
Angebadilisha maisha ya vijana kwa jambo gani????
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]weee bwana hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…