[emoji23][emoji23] Nimejikuta tu nacheka..sorryPoleni sana wajameni. Mimi pia, nina - miss Agnes Masogange (RIP), angekuwepo mpaka leo angebadilisha maisha ya vijana wengi sana, lakini ndio hivyo tena. [emoji24]
Angebadilisha maisha ya vijana kwa jambo gani????Poleni sana wajameni. Mimi pia, nina - miss Agnes Masogange (RIP), angekuwepo mpaka leo angebadilisha maisha ya vijana wengi sana, lakini ndio hivyo tena. [emoji24]
Nilikumbuka wakati anaenda ksoma Ireland, Dublin aliniagaa..... Bro nasafariii
Nakumbuka kundi Lao walikuwa wasichana kama 4 Hvi cream Yaani.... Nmemkumbuka sana
Maana mm nlikuwa msela mhuni fulani alafu walitokea kunikubali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]mrangi, Yaani wewe mrangi kila mtu unamjua sijui una undugu na Mange Kimambi?
Sent using Jamii Forums mobile app