Soda na maji ya kilimanjaro vimembeba sana ila tv ,radio,magazeti ni hasara
The guardian kwenye magazeti hakuna faida,itv,hakuna faida,radio one kidogo angalauTV radio na magazeti hayampi mengi hasara kama unavofikiria, lasivyo hizo kampuni zingeshafungwa cku nyingi, hlf kampuni ya the guardian inaleta faida, labda capital tv na itv ndo hazileti faida kubwa mdukuzi
Mkuu nifanyie wepesi hiyo Linki nami nisomeNimesoma mahala leo mali za marehemu Mzee Mrema wa Impala/Ngurudoto kule Arusha zinapigwa mnada kufidia madai ya mishahara ya wafanyakazi!!! It is not easy to maintain success hasa kwa vijana wa leo!!!
The monk himselfThe Hand That Giveth"
What type of rich man are you
Who doesn't care about the poor people?
What type of rich man are you
Who doesn't care about the helpless people?
What type of rich man are you
Who doesn't care about the poor people?
What type of rich man are you
Who doesn't care about the helpless people?
There you read it in the Bible
But don't understand what it says
It says blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Does it make you feel happy
When you see another man starving?
Does it make you feel happy
When you see another man with no food?
Does it make you feel great, maybe?
To see another man, without a thing
You read about it in the Bible
But didn't understand it
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh
Blessed is the hand that giveth
Than the one that taketh..
The monk himself
Acha chuki binafsi na stori za kiniweni. Hazitakufanya wewe uwe tajiri kama Mengi. Aliyechoma Bank Bwana Mkono alikimbia nchi na kurudi Nyerere alipofariki. Kama hujui funga bakuli lakoKwa wizi alioufanya wa kuiba na kuchoma ma benki ya biashara na umafia wa kuwatumikisha wafanyakazi bila mikataba inayoeleweka kweli mengi hakuwa kama Mtanzania ila mnaijeria
Mkuu niko salama tu. AsanteMkuu uko salama?
Umepotea sana Kaka.
Uwe na wakati mwema.
Acha chuki binafsi na stori za kiniweni. Hazitakufanya wewe uwe tajiri kama Mengi. Aliyechoma Bank Bwana Mkono alikimbia nchi na kurudi Nyerere alipofariki. Kama hujui funga bakuli lako