Reginald Mengi ana bahati hakufilisika kipindi cha uhai wake, la sivyo angejua binadamu ni watu wa aina gani

Reginald Mengi ana bahati hakufilisika kipindi cha uhai wake, la sivyo angejua binadamu ni watu wa aina gani

Kwenye haya maisha kuna uncertainties nyingi, Leo ww tajiri, kesho ww kapuku, reginald mengi angefilisika, angechekwa na kusemwa vibaya na hao hao watu aliokuwa anawasaidia..

Wanasema ukisaidia MTU maskini Kwa kumpa pesa ndo unabarikiwa, ila kiuhalisia haiko hivo, ukisaidia mtu maskini kwa kumpa pesa, ndo unapungukiwa na kuishiwa, ukitoa elf 10 ndo imeenda iyo hairudi..

Kikubwa, MTU ukiwa tajiri, ni vizuri usisaidie mtu yoyote kwenye maswala ya pesa, saidia mkeo ulie nae kwenye ndoa, na wanao tu..ndugu na watu wengine wakifa kwa njaa, au wakifa kwa kukosa elf 5 ya dawa, sawa tu..
ushaur mgumu sana
 
Kwenye haya maisha kuna uncertainties nyingi, Leo ww tajiri, kesho ww kapuku, reginald mengi angefilisika, angechekwa na kusemwa vibaya na hao hao watu aliokuwa anawasaidia..

Wanasema ukisaidia MTU maskini Kwa kumpa pesa ndo unabarikiwa, ila kiuhalisia haiko hivo, ukisaidia mtu maskini kwa kumpa pesa, ndo unapungukiwa na kuishiwa, ukitoa elf 10 ndo imeenda iyo hairudi..

Kikubwa, MTU ukiwa tajiri, ni vizuri usisaidie mtu yoyote kwenye maswala ya pesa, saidia mkeo ulie nae kwenye ndoa, na wanao tu..ndugu na watu wengine wakifa kwa njaa, au wakifa kwa kukosa elf 5 ya dawa, sawa tu..
Tafuta hela yako ufanye unayoyataka ww....
usipangie wenzio cha kufanya na pesa zao..
 
Saidia kila mtu ndugu rafiki watu maskini wasiojiweza.Ishi na kuipenda familia yako.Weka mambo sawa before its too late maana atakayeumia ni mke na watoto wako.Ukiongelea kuhusu Reginald isingekuwa rahisi kumjua yupi ni yupi maana pesa nyingi huja na mambo mengi. Sio kila rafiki ndugu mtu baki atakuwa na nia nzuri ila unapaswa kuishi nao jinsi walivyo ukisema uchuje watu huenda ukamkasirikia kila mtu
 
Kwenye haya maisha kuna uncertainties nyingi, Leo ww tajiri, kesho ww kapuku, reginald mengi angefilisika, angechekwa na kusemwa vibaya na hao hao watu aliokuwa anawasaidia..

Wanasema ukisaidia MTU maskini Kwa kumpa pesa ndo unabarikiwa, ila kiuhalisia haiko hivo, ukisaidia mtu maskini kwa kumpa pesa, ndo unapungukiwa na kuishiwa, ukitoa elf 10 ndo imeenda iyo hairudi..

Kikubwa, MTU ukiwa tajiri, ni vizuri usisaidie mtu yoyote kwenye maswala ya pesa, saidia mkeo ulie nae kwenye ndoa, na wanao tu..ndugu na watu wengine wakifa kwa njaa, au wakifa kwa kukosa elf 5 ya dawa, sawa tu..
Wewe Jack nini
 
Unapomtolea Mengi mfano kama huo unamaanisha nini mkuu?
Nisamehe kama nakumisjudge, are jacky's puppet?
Samahani kwa hilo.

Tukiendelea, naomba utambue kuna mila na desturi katika tamaduni zetu kwamfano uchaggani... yaani kule huwa ni ndugu tena ukoo. Huwa watu wanabebana. Watu wanainuana. Nataka utambue kuna makabila koo zina nguvu sana.

Huyo jacky angempenda mengi kama hangekua na pesa? Mengi pesa yake ameteseka yeye na ukoo wake na source ya pesa ikiwa ni mkewe binti shangali marehemu. Ndugu zake wametoka toka zero mpaka alikofikia. And maybe kama siyo wao wasingefikia hapo.

Ni wanawake wangapi wamewakimbia waume zao kisa hawana pesa na still ndugu zao wakasimama nao mpaka kuinuka tena?

On the contrary, kwa jamii ya kiafrica hata siku moja usikubali wewe peke yako ndo uwe don ama chied kwenye ukoo wakonpeke yako. Lawama zoote zitakua zoote zako. Kila ndugu atakulaumu hata kama huusiki na matatizo yao. Na ubaya zaidi siku ukianguka kumbuka hakuna wa kukuinua. Ila kama umewainua nduguzo siku ukianguka faster tuu unapata support. Ninao mfano hai. Jamaa alipata pesa, akaona siyo vizuri ngoja nipunguze mzigo. Akawasupport ndugu zake woote according to their wish. Siku yule mzee akaanguka. Ndugu wakakusanyika haraka sana. Wakajadili kisha wakamchangia. Jamaa with time akanyanyuka upyaaa.

Hata siku moja siwezi kuwa na raha eti naponda raha ilihali ndugu zangu wanateseka na njaa. Na mwenyezi Mungu unijaalie uwezo ili niwainue.

Swali la msingi, je, wakati ulipokua na uwezo, uliishi vipi na ndugu zako? Ulikua msaada kwao ama ndo dharau, kejeli etc? Ulikua msaada kwao pia?
Kama ulikua mwema kwao basi usiogope mwenyezi Mungu atakuinua tena juu zaidi na utakua wa viwango zaidi. Tuwapende ndugu zetu kwa madhaifu yao, tuwaelimishe na kuwasaidia.
Maishani waweza kuwa na partner ama ndugu we ama wabaya. Formula haiwezi fanana. Ila wema na ubaya vyote hulipwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwepa kuandika insha ndefu kama ushasema unaweza kuwa ume 'mis judge'
 
Back
Top Bottom