Reginald Munisi awapa mkono wa kwaheri CHADEMA, baada ya utumishi wake wa miaka 10 katika Sekretarieti ya chama

Reginald Munisi awapa mkono wa kwaheri CHADEMA, baada ya utumishi wake wa miaka 10 katika Sekretarieti ya chama

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Tunaweza kusema kama Timu Mbowe wameanza kujichekecha kimtindo baada ya Lissu kuchukua nafasi hiyo ya uwenyekiti wa CHADEMA
===================

Baada ya miaka 10 ya ajabu nikihudumu katika Sekretarieti ya chama cha CHADEMA, moyo wangu umejaa shukrani na furaha. Nimekuwa shahidi wa wenzangu kuonesha ushujaa, wakijitolea kwa dhati kwa ajili ya maendeleo yetu ya pamoja. Kuanzia ngazi za chini kabisa hadi uongozi wa juu, roho ya bidii na upendo kwa taifa letu imeangaza kwa nguvu. Natoa shukrani za dhati kwa kila mmoja, kwa shukrani maalum kwa Freeman Mbowe ambaye uongozi wake, ushirikiano wake, na msaada wake usioyumba vimenifanya nihisi kuwa sehemu ya familia hii ya kipekee.

Asante kwa kila msukumo, kila neno la kutia moyo, na kila tabasamu lenye matumaini. Safari yetu ya kujenga Tanzania ya ndoto zetu inaendelea, lakini kwa sasa, ninapiga magoti kwa moyo wote, nikiwa na heshima na shukrani kwa mwamko huu wa kipekee. Mwenyezi Mungu awajalie furaha na amani daima"

Snapinst.app_472638871_496561690127200_6017460707807794316_n_1080.jpg
 
Tunaweza kusema kama Timu Mbowe wameanza kujichekecha kimtindo baada ya Lissu kuchukua nafasi hiyo ya uwenyekiti wa CHADEMA
===================

Baada ya miaka 10 ya ajabu nikihudumu katika Sekretarieti ya chama cha CHADEMA, moyo wangu umejaa shukrani na furaha. Nimekuwa shahidi wa wenzangu kuonesha ushujaa, wakijitolea kwa dhati kwa ajili ya maendeleo yetu ya pamoja. Kuanzia ngazi za chini kabisa hadi uongozi wa juu, roho ya bidii na upendo kwa taifa letu imeangaza kwa nguvu. Natoa shukrani za dhati kwa kila mmoja, kwa shukrani maalum kwa Freeman Mbowe ambaye uongozi wake, ushirikiano wake, na msaada wake usioyumba vimenifanya nihisi kuwa sehemu ya familia hii ya kipekee.

Asante kwa kila msukumo, kila neno la kutia moyo, na kila tabasamu lenye matumaini. Safari yetu ya kujenga Tanzania ya ndoto zetu inaendelea, lakini kwa sasa, ninapiga magoti kwa moyo wote, nikiwa na heshima na shukrani kwa mwamko huu wa kipekee. Mwenyezi Mungu awajalie furaha na amani daima"

View attachment 3215089
Hongera sana.Mwaka huu kwa mara ya kwanza kura yangu kwa CCM kwa ngazi zote
 
Narudia, ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!
 
Tunaweza kusema kama Timu Mbowe wameanza kujichekecha kimtindo baada ya Lissu kuchukua nafasi hiyo ya uwenyekiti wa CHADEMA
===================

Baada ya miaka 10 ya ajabu nikihudumu katika Sekretarieti ya chama cha CHADEMA, moyo wangu umejaa shukrani na furaha. Nimekuwa shahidi wa wenzangu kuonesha ushujaa, wakijitolea kwa dhati kwa ajili ya maendeleo yetu ya pamoja. Kuanzia ngazi za chini kabisa hadi uongozi wa juu, roho ya bidii na upendo kwa taifa letu imeangaza kwa nguvu. Natoa shukrani za dhati kwa kila mmoja, kwa shukrani maalum kwa Freeman Mbowe ambaye uongozi wake, ushirikiano wake, na msaada wake usioyumba vimenifanya nihisi kuwa sehemu ya familia hii ya kipekee.

Asante kwa kila msukumo, kila neno la kutia moyo, na kila tabasamu lenye matumaini. Safari yetu ya kujenga Tanzania ya ndoto zetu inaendelea, lakini kwa sasa, ninapiga magoti kwa moyo wote, nikiwa na heshima na shukrani kwa mwamko huu wa kipekee. Mwenyezi Mungu awajalie furaha na amani daima"

View attachment 3215089
Wañawaondoa watu wao sasa.


Usiniulize kina nani. Fungua code
 
Alikuwa nani huyu? hawa ndio walikuwa wanufaika wa chama lkn hawakupitia shuruba za chama tawala sasa wanaona chama kimekuwa chama kweli wameanza kuaga,

Tunawatakia heri huko waendako, lisu piga kazi
Wewe ulikuwa unaijua Chadema kupitia mitandao, hawa unaowananga ndio wamefikisha Chadema hapo ilipo.

Ni vema tukaheshimu waliotangulia na kufanya kazi iliyotukuka
 
Wewe ulikuwa unaijua Chadema kupitia mitandao, hawa unaowananga ndio wamefikisha Chadema hapo ilipo.

Ni vema tukaheshimu waliotangulia na kufanya kazi iliyotukuka
Poor you, hizo takataka za mbowe kama hazijaridhishwa na ushindi wa lisu wafanye hima waondoke chamani wasitupe ugumu wa kazi, wabebe virago vyao wakimbie fasta ofisi inasafishwa sasa
 
Back
Top Bottom