habari wakuu napenda kuwataarifu kuwa join instruction kwa wanafunz waliochaguliwa I.F.M kuwa fomu za kujiunga na chuo hiko zinatoka officially jumatatu 09/09/2013
nawasilisha....
Hapo sina uhakika mkuu ila ni vyema ukifika hapo chuon ili ujue utaratibu mzma kwa undan zaidi