Wanajamvi naomba
kujulishwa juu ya usajili kwa mwaka wa kwanza saut-mwanza, maana mie
nimepata batch ya 3 na majina yaliwekwa net tar 5/10 wakat usajili
ulianza tang tar 23/9 na hawajaweka hadhar yeyote kwa sisi wa chagua la 3
ambao weng wet ni equivalent kuwa mwisho kurpot ni lini zaid ya
kuonesha penalt kwa atakaechelewa.
Msaada kwa anayejua kuhusu hili wadau