Registration SAUT - Mwanza vipi?

Patflax jr

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
72
Reaction score
1
Wanajamvi naomba kujulishwa juu ya usajili kwa mwaka wa kwanza saut-mwanza, maana mie nimepata batch ya 3 na majina yaliwekwa net tar 5/10 wakat usajili ulianza tang tar 23/9 na hawajaweka hadhar yeyote kwa sisi wa chagua la 3 ambao weng wet ni equivalent kuwa mwisho kurpot ni lini zaid ya kuonesha penalt kwa atakaechelewa.
Msaada kwa anayejua kuhusu hili wadau
 

mm pia nimechaguliwa saut civil ila hiyo batch ya 3 bado simo labda ya 4 cjui itakuwaje hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…