Rehema Chalamila a.k.a. Ray c asarenda kwa Yesu Kristo


Ukisikia mtu ameokoka ujue ana matatizo makubwa. Mtu akiwa mkristo wa kawada ni kawada, au akiwa mwislamu wa kawaida ni hali ya kawaida, lakini ukiona watu wanaingia kwenye fundamentalism ujue kuna tatizo akili, mwilini au rohoni. So it is manifestation of something inside that can not be visible.
 
Yesu anabatiza kila kukicha, kweli dini ya Allah inapuputika kila sekunde.
Ray C hakuwa muislamu lakini. Alikuwa mkatoliki. So ametoka ukatoliki na kuwa mprotestant. Soma maelezo yake aliyoyatoa kabla ktk link hii http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/09/ray-akanusha-kuwa-na-virusi-vya-vvu.html?m=1
 
Yesu anabatiza kila kukicha, kweli dini ya Allah inapuputika kila sekunde.

We Max hapa umeshachuma dhambi ya kuongea uongo nani kakwambia kua RC alikua Muislamu? Alafu hii ni mara ya pili nakuelewesha kua Leno Allah= God= Mungu lakin bado naona unaendekeza ushabiki wa dini,Kamwe dini haishabikiwi kama unavyoshabikia mpira fanya matendo mema yanayompendeza Mungu, kukaa na kushabikia udini hakutakusaidia chochote ktk maisha yako zaidi ya kuendelea kua mfuasi wa shetani,
kwa hio hapo dini ya Mwenyezi Mungu imepukutika kivipi?Dini ya Mwenyezi Mungu inapukutuka au mnapukutika nyinyi wafuasi wa shetani mnashabikia udini badala ya kufanaya matendo mema?
 
Kuna watu wanaleta mchezo na Yesu kristo wa Nazareth- unaokoka halafu unapaka "wanja"labda wokovu toka kwa Yesu Yusto au Bar Yesu
 

Previously even she had the same view like yours even more radical

than yours but but hope now time manifest boldly than this scribes!
 
Previously even she had the same view like yours even more radical

than yours but but hope now time manifest boldly than this scribes!

You may ask why is she going public with it? what is she trying to have us believe and why does she want us to believe so? Why doesn't she keep it to herself? Unajua kimsingi dini ni suala la mtu binafsi, wewe na mungu wako, matendo yako yanaweza kuonesha wazi kabisa kuwa umempokea Bwana, kumpokea Bwana kwa mbwebwe halafu vitendo vyako kichinichini vinakuwa vya kutisha hadi shetani mwenyewe anaogopa....that is terrible. Ni afadhari uwe kimya na kumcha mungu, kuliko kupaza sauti Mungu Mungu na kumsujudu shetani. Walokole walio wengi (si wote) are this kind.

Mara nyingi ukisikia mtu anatangaza kuwa mimi mlokelo, unatakuwa kujua kuwa this person is trying to find some refuge. Kuna jamaa mmoja alikuwa jambazi, lakini akawa amechoka na kukorofishana na majambazi wengine wakawa wanataka kumuua akaamua kutangaza kuwa mlokole, but the fact was he was not.

By the way mungu ndio anachagua watu, watu hawajichagulishi kwa Mungu, so it s GOD and only GOD anayweza kusema huyu ataokoka na huyu hataokoka.
 

You may ask why is she going public with it?

MATTHEW 10 : 33
10.33 But if anyone says before men that he has no knowledge of me, I will say that I have no knowledge of him before my Father in heaven.

The Word allows her to do so for multitude to be saved via her witness.

By the way mungu ndio anachagua watu, watu hawajichagulishi kwa Mungu, so it s GOD and only GOD anayweza kusema huyu ataokoka na huyu hataokoka.
2 PETER 3 : 9
3.9 The Lord is not slow in keeping his word, as he seems to some, but he is waiting in mercy for you, not desiring the destruction of any, but that all may be turned from their evil ways

The plan of God is all to be saved and have the life abundantly.
 
Nadhani hii ni kutafuta popularity iliyokwisha nyauka,ama ni aina nyingine ya dongo la kistaarabu kwa Zamaradi!
Ila kama ni kweli kampokea huyu Yesu,masiah awe na heri!
 
Allah ni kiarabu, God ni kiingereza, Mungu ni Kiswahili, Jah ni kwa wale wanaoamini katika Urastafarian, Lakini majina yote hayo Mungu, Alalh, Jah, God n.k yanamaanisha yule tunaemuabudu yaani Mungu. Sasa unaposema dini ya Allah ni sawa na umesema dini ya God, Mungu n.k. But all in all UDINI ulionao au unaoujenga hakusaidii hata kidogo shetani wewe!
Yesu anabatiza kila kukicha, kweli dini ya Allah inapuputika kila sekunde.
 
Kuna post mwenyewe Ray c kasema hajaokoka ila amebatizwa.. anyway hsyo ni mambo yake binafsi..

juzi tu hapa alikuwa anagombea bwana na zamaradi na kutoleana maneno Instagram...

loh aliniacha hoi baada ya kupost video clip ina maneno matatu tu I LOVE HIM.... akiyarudiarudia kuyatamka. haaaahaaa ......
 
Wabongo bwana nashangazwa na comment zao
 

Kama hizi ndio sababu zilizomfanya afanye hivyo basi inabidi tumwombee kwa mungu, atakuwa na matatizo yanayohitaji kufunga na maombi.
 
...angetangaza kujiunga na freemasons watu wasinge mshambulia, kweli kutangaza kuokoka ni vita live na shetani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…