Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Rehema.Pole mzee Mwakangale na familia yote na wajukuu wote wa Mzee John Mwakangale (Mwenyekiti wa zamani wa CCM-Mbeya). Steven popote ulipo nakupa pole sana katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na binamu yako.