Rejea kale🫵

Rejea kale🫵

Pasta Joshua

Member
Joined
Aug 2, 2020
Posts
14
Reaction score
110
Watu wengi wa kale waliamini kuwa vitu vya asili kama miti, mawe, mito, jua, mwezi, na wanyama vilikuwa na roho au nguvu za kiungu.

Jamii nyingi ziliamini kuwa roho za mababu zao zilikuwa na nguvu na zilihitaji kuheshimiwa ili kupata baraka au kuepuka maafa.

Skuizi mnasali kwa Ai,saaa Zingine hiyo mikosi yako inatokana na kukiuka Mila za kwenu🫵
 
Sasa unataka turejee kale wakati walochoamini wao na sisi ni tofauti kabisa, hatuna hata misingi ya imani zao
 
What's your point....🤔
Maana umezuka weeeee..... lakini haujasema hasa unakusudia kufikisha ujumbe gani mkuu🤔
 
Kumecha tse.....

Ptuuu, ptuuu, ptuuu

Ngeshukuru sana Mangi Ruwa wangiringa kiyo kisima mpaka kang'ama

Ptuuu ptuuu ngaterewa na mbora tsafo Mangi Ruwa...... undee mbora foo mtemeni, tukavelya umbe na mburu tukolye mabore.....

Uvaininge na vana vaa motu mbora foo mwai valisengeta maisha!

Vasheku na vameku tuimukieni uuh
 
Back
Top Bottom