Rejesho:kubadili dini niwe muislamu

Rejesho:kubadili dini niwe muislamu

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Wapendwa wa jf mambo zenu ,
Sisi hatujambo nipo okay,sasa kulikuwa na mwanadada tumuite Love , Alipata mimba ya X wake .

Halafu alipo mwambia ex wake x wake akamwambia amuoe kiserikali, akawaza akaona since mama yake kamshauri kulea familia ni watu wenye dini moja akaona bora awe muislam.

Sasa ndio akaniomba ushauri na nyie ndio mkanishauri . Sasa ameshabadilishwa dini na sasa ni muislam na harusi wiki ijayo . . So heri yake . Katika maamuzi yake .
 
Wapendwa wa jf mambo zenu ,
Sisi hatujambo nipo okay,sasa kulikuwa na mwanadada tumuite Love , Alipata mimba ya X wake .

Halafu alipo mwambia ex wake x wake akamwambia amuoe kiserikali, akawaza akaona since mama yake kamshauri kulea familia ni watu wenye dini moja akaona bora awe muislam.

Sasa ndio akaniomba ushauri na nyie ndio mkanishauri . Sasa ameshabadilishwa dini na sasa ni muislam na harusi wiki ijayo . . So heri yake . Katika maamuzi yake .
haina shida,badili tu uwe mwislamu
 
IMG-20240114-WA0615.jpg
 
Wapendwa wa jf mambo zenu ,
Sisi hatujambo nipo okay,sasa kulikuwa na mwanadada tumuite Love , Alipata mimba ya X wake .

Halafu alipo mwambia ex wake x wake akamwambia amuoe kiserikali, akawaza akaona since mama yake kamshauri kulea familia ni watu wenye dini moja akaona bora awe muislam.

Sasa ndio akaniomba ushauri na nyie ndio mkanishauri . Sasa ameshabadilishwa dini na sasa ni muislam na harusi wiki ijayo . . So heri yake . Katika maamuzi yake .
Ajifunze Uislam, kidogo kidogo, aanze na sala tano azijuwe na azitimize.
 
Hakuna ndoa ya kiislam inayofungwa mwanamke akiwa na mimba, hairuhusiwi mwanamke kuolewa akiwa mjamzito hadi ajifungue kwahiyo hiyo harusi ya wiki ijayo waihairishe kwanza
 
Wapendwa wa jf mambo zenu ,
Sisi hatujambo nipo okay,sasa kulikuwa na mwanadada tumuite Love , Alipata mimba ya X wake .

Halafu alipo mwambia ex wake x wake akamwambia amuoe kiserikali, akawaza akaona since mama yake kamshauri kulea familia ni watu wenye dini moja akaona bora awe muislam.

Sasa ndio akaniomba ushauri na nyie ndio mkanishauri . Sasa ameshabadilishwa dini na sasa ni muislam na harusi wiki ijayo . . So heri yake . Katika maamuzi yake .
Me nilijua ni wewe nikadharau kwakua najua dishi limeyumba jepesiiiiiii kama azam TV kumbe ilikuwa serious?
 
Back
Top Bottom