Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Jumapili saa 11 jioni kwa majira ya Afrika Mashariki kikosi cha Man Utd kitakuwa ugenini St. James Park kumenyana na wenjyeji wao Newcastle United ambayo inachechemea kwenye ligi.
Cha kufurahisha ni kuwa Kocha wa Man Utd hajawahi kushinda mchezo wa ligi katika dimba la St. James Park, je rekodi itaendelea? Mimi naamini Newcastle United watatufurahisha siku hiyo kwa kuendeleza rekodi yao Murua dhidi ya Jose Mourinho.
Povu ruksa...
Cha kufurahisha ni kuwa Kocha wa Man Utd hajawahi kushinda mchezo wa ligi katika dimba la St. James Park, je rekodi itaendelea? Mimi naamini Newcastle United watatufurahisha siku hiyo kwa kuendeleza rekodi yao Murua dhidi ya Jose Mourinho.
Povu ruksa...