Rekodi: Macedonia kazi waangusha mbuyu (Ger 1-2 Nmc)

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Huku wana Afrika mashariki wote tukiwa hatuendi michuano ya AFCON nchi changa ya Macedonia Kaskazini wameipiga timu ngumu ya Ujerumani wakiwa nyumbani kwao.

Ujerumani 1 Macedonia Kaskazini 2 hii ni rekodi kwa nchi zote mbili, Macedonia ikiwa imemfunga timu kongwe nyumbani kwake.
 
Hahaha, betting ni ngazi ngumu mno..Germany hapo itakua alipewa odds chache sanaa, probability ilikua 99.99% atshinda.,
 
Hahaha, betting ni ngazi ngumu mno..Germany hapo itakua alipewa odds chache sanaa, probability ilikua 99.99% atshinda.,
Hao underdog walipewa odds 21 kushinda ukiweka 5000
 
Nimecheck kwenye msimamo wao anaongoza Armenia, halafu wa pili ndio wao halafu watatu ndio Wajerumani. Kweli mpira umebadilika sana aisee
Sana leo hii Comoro ni ya kutoa droo na Misri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…