Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Kweli umevurugwa mkuu yaani ulichoandika hapa hukukipitia ukapost tuMkeka wanting umeumia vibaya sababu take germany mwehu kweli
Muwe mnaombaga magoli jamani,mtaendelea kupigwa daima kwa kukariri kwenuMkeka wanting umeumia vibaya sababu take germany mwehu kweli
Hao underdog walipewa odds 21 kushinda ukiweka 5000Hahaha, betting ni ngazi ngumu mno..Germany hapo itakua alipewa odds chache sanaa, probability ilikua 99.99% atshinda.,
Nimecheck kwenye msimamo wao anaongoza Armenia, halafu wa pili ndio wao halafu watatu ndio Wajerumani. Kweli mpira umebadilika sana aiseeHao underdog walipewa odds 21 kushinda ukiweka 5000
Sana leo hii Comoro ni ya kutoa droo na Misri?Nimecheck kwenye msimamo wao anaongoza Armenia, halafu wa pili ndio wao halafu watatu ndio Wajerumani. Kweli mpira umebadilika sana aisee