Rekodi mpya kuwekwa Marekani Leo November 5, 2024

Rekodi mpya kuwekwa Marekani Leo November 5, 2024

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris) Hii wakulungwa wameikataa
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

(Hatimae hayo hapo juu yametimia)

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
 
Hangaya anatuumiza kichwa, sijui Kamala akishinda itakuwaje
 
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris)
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
Atakuwa Rais wa pili kushinda vipindi viwili vya uRais visivyofuatana tangu 1893.
 
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris)
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
Kila laheri Kamala Harris
 
Kamala Harris ana nafuu kwa walimwengu kuliko mahafidhina kama Trump
Sisemi kwamba Trump hawezi kushinda lakini ikitokea Trump
pamoja na vituko vyake vyote, past and present, akashinda,
nitakiri kuwa the USA, niliyokuja kujiaminisha kwamba naijua, siijui!
 
Mimi akishinda Kamala marekani nitaiona ya kijinga kuliko bongo ya mama Abdul.
Mkuu, unasahau Marekani sio CCM. Kule kuna Katiba, mihimili na taasisi imara. Halafu mtu, awe wa jinsia, asili au rangi yoyote, kufikia hatua ya kugombea uRais wa Marekani kwenye vyama vikuu vya Republican na Democratic mpe heshima yake.

Kule ni brains tu ndizo zinapata nafasi ya kusikilizwa na kutathminiwa, si uwezo wa kucheza sindimba na kumwaga mipasho na vichambo. Na hakuna viti maalum wala upendeleo maalum kwa wanawake kwenye uwakilishi.

Soma carreer track ya Kamala Harris kuanzia alikotokea hadi alipofikia. Halafu tafakari na huyo unayetaka kumlinganisha naye.

Think again.
 
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris)
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
KWani unataka Kamala Achaguliwe sababu ya kuwa ni Mwanamke? Sasa bapo huoni unaleta ubaguzi?
 
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris)
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
Mshangazi anachukua nchi
 
Ulimwengu kumshuhudia mtawala wa kwanza wa kike wa Taifa lenye nguvu zaidi duniani ( Kamala Haris)
Au
Mbishi asiekata tamaa na kurudi ikulu baada ya kupoteza uchaguzi uliopita (Donald Trump)
Akishinda huu uchaguzi tena atakuwa ameweka rekodi 2 za kipekee,
1. Kuwazuia kina mama wawili kuwa viongozi wa Taifa kubwa (Hilary na Kamala), anatumika kudhibiti mfumo jike?
2. Kuongoza nchi kwa vipindi viwili visivyokua vya mfululizo (2 non-consecutive terms) Marais wengi kama si wote wameongoza vipindi zaidi ya kimoja kwa mfululizo

Akishinda Trump Leo it's means USA wantuambia gender balance ni propaganda tu, na gender roles ziheshimiwe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume tu na si vinginevyo bali mwanaume ndio kiongozi wa mwanamke, hayo mengine wanatulisha matango pori.

Akishinda Kamala basi tujiandae rasmi kisaikolojia kwa Ile wanayoiita Agizo Jipya la Dunia
Yaani Mambo ya utawala wa Mishangazi, Upinde, Abortion na kila aina ya uharibifu wa Maagizo ya Mungu

Yetu macho ndani ya masaa takribani 36-72 Toka Sasa.
Mungu ukaonekane huko maana Africa Bado tuna masomo mengi ya kujifunza kutokana na huyu kiranja mkuu wa Dunia (USA).

Wakati Mwema,
SETIC.
Kule kamala huku Samia we uogopi!
 
Sisemi kwamba Trump hawezi kushinda lakini ikitokea Trump
pamoja na vituko vyake vyote, past and present, akashinda,
nitakiri kuwa the USA, niliyokuja kujiaminisha kwamba naijua, siijui!
Mkuu dunia inabadilika. Liberals nao kwa kipindi kirefu wame-overreach ndio maana huko West sasa watu wengi wanatamani conservatives warejee kupunguza speed ya liberals na "kuokoa" wanachoona kama kuvuruga kabisa identity na mpangilio wa maadili na nidhamu katika nchi zao.

Yaani safari hii masuala ya "utamaduni" yamekuwa na umuhimu mkubwa kuliko ya uchumi.

Ndio maana watu kama Trump wanapewa nafasi ya kusikilizwa hata wakiongea uongo, upuuzi na ujinga wa kila aina na hata kutamani udikteta kama wa Putin, Kim Jong Un, Victor Orban, n.k.

Inasikitisha lakini ndio uhalisia. Demokrasia imeanza kuchokwa sababu ya liberals kuzidi kuvuka mipaka.
 
Kamala anatetea maovu mbalimbali ; anatetea uuaji wa watoto walio tumboni, anatetea wahamiaji haramu wanaoingia USA kila uchao na kuleta matatizo ya kijamii kwa wamarekani, anatetea ushoga.

Trump anasimamia values
 
Back
Top Bottom