Rekodi mpya kuwekwa Marekani Leo November 5, 2024

Rekodi mpya kuwekwa Marekani Leo November 5, 2024

Third World War is imminent !
Je ni yupi kati ya Kamala na Trump atakayeichochea moto ili ianze Rasmi ??!
Ngoja Tusubiri tuone !!
 
KWani unataka Kamala Achaguliwe sababu ya kuwa ni Mwanamke? Sasa bapo huoni unaleta ubaguzi?
Hapana, Namaanisha maamuzi ya USA wakati huu yatatupa mwelekeo juu ya Gender Balance na nafasi ya mwanamke katika utawala kwa jicho la tatu maana Hawa jamaa US ni sehemu kubwa ya deep state ya ulimwengu huu wa kuonekana kwa macho ya nyama.
Sasa kwa sababu 2016 walimkataa mwanamke kuongoza ni shauku yangu kuona uamuzi wa wao uchaguzi huu na implications zake kwenye medani za kijamii na kisiasa kwa ujumla.
 
Mkuu dunia inabadilika. Liberals nao kwa kipindi kirefu wame-overreach ndio maana huko West sasa watu wengi wanatamani conservatives warejee kupunguza speed ya liberals na "kuokoa" wanachoona kama kuvuruga kabisa identity na mpangilio wa maadili na nidhamu katika nchi zao.

Yaani safari hii masuala ya "utamaduni" yamekuwa na umuhimu mkubwa kuliko ya uchumi.

Ndio maana watu kama Trump wanapewa nafasi ya kusikilizwa hata wakiongea uongo, upuuzi na ujinga wa kila aina na hata kutamani udikteta kama wa Putin, Kim Jong Un, Victor Orban, n.k.

Inasikitisha lakini ndio uhalisia. Demokrasia imeanza kuchokwa sababu ya liberals kuzidi kuvuka mipaka.
Hatimae imekuwa
 
Back
Top Bottom