Hiyo ni mpaka dk 90 mech ya mwisho bingwa anajulikana
Timu nne haziwezi kukutana, labda iwe makundi πππIkitokea Chelsea ikakutana na Arsenal yaan timu zote nne zikakutana
Na yakome kwa ubaguzi wa rangi[emoji847]Mwaka huu Spain wanakua wapenzi watazamaji nchini kwao[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Bora watupumzisheeeNa yakome kwa ubaguzi wa rangi[emoji847]
Sawa Wewe mkweli nitajie Mwaka gani na ni timu zipi ziliingia,Acha uongo Spain wameshafanya hivyo mara nyingi tu, tatizo lako unajua mpira wa EPL tu
Man united vs Chelsea 2007/8. Kwa EUROPA bado haijajulikana nani watakwenda final.
ficha ujinga wako mashirika yote ya habari wanasema mara ya kwanza ww unaasume nini wakati timu nn fainali mbili haijawahi tokea ww unaakili z hapo unadhani ni timu mbili fainali mojaTeam 4 za spain imeshatokea mara mbili kufika fainali za eufa champ na europa... hiii miake ya 2010 kuja mbele...
hapo hamna historia mpya.