Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ishu ya uchafuzi wa mazingira technology imekua ya kupunguza madharaKwani mafuta hayana kazi nyingi na huko teknolojia hazijabadilika?........unaanzaje kupinga mradi mmoja wa bomba la mafuta wakati kuna mamilioni ya project za kuzalisha mafuta duniani na dunia bado inatumia nishati ya gesi na mafuta kwa kiwango kikubwa..........unafiki wa beberu upo palepale.