Upo sahihi kwani hizi taarabu anazoimba siku hizi hazina mvuto kwa wasio juwa KiswahiliUnacompare msanii wa west tena Nigeria yenye population ya zaidi ya milioni 200 na msanii kutoka East Africa Tena anayeimba kiswahili.
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hiyo makala.
Huu ni uchawiKWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Burudani
Rekodi ya Diamond YouTube inapoteza mvuto Afrika!
Jumapili, Machi 26, 2023
New Content Item (2)
By Peter Akaro
Mwandishi
Mwananchi Communication Limited
KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Tangu Diamond amejiunga YouTube Juni 12, 2011 amekusanya 'views' bilioni 2.1 na kuongoza ukanda huo lakini sasa rekodi yake inaanza kupoteza mvuto barani Afrika, hiyo ni ishara kuwa atakuja kuipoteza miaka michache tu ijayo.
Kwa mfano ukitazama rekodi za wasanii waliokuja hivi karibuni kama Rema na Ayra Starr wote kutokea Nigeria, utabaini Diamond kuna sehemu amekwama licha ya hesabu za jumla kumbeba kwa miaka zaidi ya miwili.
Hadi leo hakuna video ya wimbo ambao Diamond kafanya pekee yake (solo) iliyofikisha walau 'views' milioni 100, zote ambazo zimefanya hivyo kawashirikisha wasanii wengine tena wakubwa kwake kimuziki au kwa wakati huo walikuwa wanafanya vizuri.
Diamond ana nyimbo tatu zilizofikisha views milioni 100+ ambazo ni Yope Remix akishirikiana na Innoss'B, Inama akimshirikisha Fally Ipupa na Waah! akimshirikisha Koffi Olomide, wasanii wote aliowashirikisha ni kutokea DR Congo.
Video za nyimbo ambazo Diamond kafanya pekee yake na kufanya vizuri YouTube kwa kiasi chake ni Jeje (mil. 80) na Sikomi (mil. 61), hivyo tunaweza kusema Diamond amekuwa akibebwa zaidi na kolabo anazofanya na wasanii wengine.
Hata hivyo, Rema kupitia video ya wimbo wake, Calm Down iliyotoka Februari 11, 2022 tayari imegonga 'views' milioni 412 ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kutoka kwake.
Ikumbukwe hata video za Diamond ambazo zimefikisha 'views' milioni 100, hakuna iliyofanya hivyo ndani ya mwaka mmoja ila Rema kafanya hivyo mara nne yake tena kwa miezi 12 tu. Rema ndiye msanii wa kwanza Afrika kufanya hivyo wakati rekodi ya Diamond ni Kusini mwa Jangwa la Sahara tu.
Remix ya wimbo huo ambayo Rema kamshirikisha Selena Gomez, video yake iliachiwa Septemba 7, 2022 na ndani ya miezi saba sasa tayari imefikisha 'views' milioni 358. Kwa mwaka 2022 Rema alikuwa ndiye mwanamuziki aliyefanya vizuri zaidi YouTube Afrika wakati Diamond hakuwa hata ndani ya 10 bora!.
Rema ndiye alichukua nafasi ya kwanza na ya pili katika orodha ya video 10 zilizotazamwa zaidi YouTube Afrika 2022, video nyingine ni Last Last ya Burna Boy (mil. 140), Buga ya Kizz Daniel (mil. 108) na For My Hand ya Burna Boy (mil. 70).
Nyingine ni Finesse ya Pheelz (mil. 61), Emiliana ya Ckay (mil. 57), Ku Lo Sa ya Oxlade (mil. 54), No Wahala Remix ya 1da Banton (mil. 53) na Rush ya Ayra Starr (mil. 52).
Hata hivyo, kwa Diamond mambo yalikuwa tofauti kabisa, video yake iliyofanya vizuri zaidi ni ya wimbo 'Mtasubiri' akimshirikisha Zuchu iliyomaliza mwaka 2022 na views milioni 22 tu.
Rema ambaye alijiunga YouTube Aprili 7, 2019 ikiwa ni miaka minane baada ya Diamond, amefikisha jumla ya 'views' milioni 991 ndani ya miaka minne tu ikiwa ni karibia nusu ya 'views' za Diamond alizokusanya kwa miaka 12.
Kwa upande wake AyraStar ambaye ni msanii chipukizi Nigeria, hivi karibuni video ya wimbo wake 'Rush' iliyotoka Septemba 26, 2022 tayari imefikisha 'views' milioni 117 YouTube ikiwa ni miezi mitano tangu kuachiwa, hizi ni rekodi za solo ambazo Diamond hana!
Ikumbukwe mwaka 2019 Yemi Alade aliandika rekodi kama mwimbaji wa kwanza wa kike Afrika kufikisha 'views' milioni 100 YouTube, ni kupitia video ya wimbo wake, Johnny iliyotoka Machi 3, 2014
Katika orodha ya video 10 za muziki zilizotazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa muda wote, hakuna video hata moja ya Diamond, mwanzo ilikuwepo Yope Remix ila kwa sasa imetupwa nje, hivyo rekodi yake ya ujumla inazidi kukosa mvuto kabisa!
Na hizi ni nyimbo ambazo video zake zimetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara; Jerusalema ya Master KG (mil. 555), Magic in the Air ya Magic System (mil. 415), Love Nwantiti ya Ckay (mil. 371), Calm Down ya Rema (mil. 358), On The Low ya Burna Boy (mil. 323), Baby On Fire ya Die Antwoord (mil. 267), Fall ya Davido (mil. 259), Ye ya Burna Boy (mil. 227), Way Maker ya Sinachi (mil. 224) na Joro ya Wizkid (mil. 220).
KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Burudani
Rekodi ya Diamond YouTube inapoteza mvuto Afrika!
Jumapili, Machi 26, 2023
New Content Item (2)
By Peter Akaro
Mwandishi
Mwananchi Communication Limited
KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Tangu Diamond amejiunga YouTube Juni 12, 2011 amekusanya 'views' bilioni 2.1 na kuongoza ukanda huo lakini sasa rekodi yake inaanza kupoteza mvuto barani Afrika, hiyo ni ishara kuwa atakuja kuipoteza miaka michache tu ijayo.
Kwa mfano ukitazama rekodi za wasanii waliokuja hivi karibuni kama Rema na Ayra Starr wote kutokea Nigeria, utabaini Diamond kuna sehemu amekwama licha ya hesabu za jumla kumbeba kwa miaka zaidi ya miwili.
Hadi leo hakuna video ya wimbo ambao Diamond kafanya pekee yake (solo) iliyofikisha walau 'views' milioni 100, zote ambazo zimefanya hivyo kawashirikisha wasanii wengine tena wakubwa kwake kimuziki au kwa wakati huo walikuwa wanafanya vizuri.
Diamond ana nyimbo tatu zilizofikisha views milioni 100+ ambazo ni Yope Remix akishirikiana na Innoss'B, Inama akimshirikisha Fally Ipupa na Waah! akimshirikisha Koffi Olomide, wasanii wote aliowashirikisha ni kutokea DR Congo.
Video za nyimbo ambazo Diamond kafanya pekee yake na kufanya vizuri YouTube kwa kiasi chake ni Jeje (mil. 80) na Sikomi (mil. 61), hivyo tunaweza kusema Diamond amekuwa akibebwa zaidi na kolabo anazofanya na wasanii wengine.
Hata hivyo, Rema kupitia video ya wimbo wake, Calm Down iliyotoka Februari 11, 2022 tayari imegonga 'views' milioni 412 ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kutoka kwake.
Ikumbukwe hata video za Diamond ambazo zimefikisha 'views' milioni 100, hakuna iliyofanya hivyo ndani ya mwaka mmoja ila Rema kafanya hivyo mara nne yake tena kwa miezi 12 tu. Rema ndiye msanii wa kwanza Afrika kufanya hivyo wakati rekodi ya Diamond ni Kusini mwa Jangwa la Sahara tu.
Remix ya wimbo huo ambayo Rema kamshirikisha Selena Gomez, video yake iliachiwa Septemba 7, 2022 na ndani ya miezi saba sasa tayari imefikisha 'views' milioni 358. Kwa mwaka 2022 Rema alikuwa ndiye mwanamuziki aliyefanya vizuri zaidi YouTube Afrika wakati Diamond hakuwa hata ndani ya 10 bora!.
Rema ndiye alichukua nafasi ya kwanza na ya pili katika orodha ya video 10 zilizotazamwa zaidi YouTube Afrika 2022, video nyingine ni Last Last ya Burna Boy (mil. 140), Buga ya Kizz Daniel (mil. 108) na For My Hand ya Burna Boy (mil. 70).
Nyingine ni Finesse ya Pheelz (mil. 61), Emiliana ya Ckay (mil. 57), Ku Lo Sa ya Oxlade (mil. 54), No Wahala Remix ya 1da Banton (mil. 53) na Rush ya Ayra Starr (mil. 52).
Hata hivyo, kwa Diamond mambo yalikuwa tofauti kabisa, video yake iliyofanya vizuri zaidi ni ya wimbo 'Mtasubiri' akimshirikisha Zuchu iliyomaliza mwaka 2022 na views milioni 22 tu.
Rema ambaye alijiunga YouTube Aprili 7, 2019 ikiwa ni miaka minane baada ya Diamond, amefikisha jumla ya 'views' milioni 991 ndani ya miaka minne tu ikiwa ni karibia nusu ya 'views' za Diamond alizokusanya kwa miaka 12.
Kwa upande wake AyraStar ambaye ni msanii chipukizi Nigeria, hivi karibuni video ya wimbo wake 'Rush' iliyotoka Septemba 26, 2022 tayari imefikisha 'views' milioni 117 YouTube ikiwa ni miezi mitano tangu kuachiwa, hizi ni rekodi za solo ambazo Diamond hana!
Ikumbukwe mwaka 2019 Yemi Alade aliandika rekodi kama mwimbaji wa kwanza wa kike Afrika kufikisha 'views' milioni 100 YouTube, ni kupitia video ya wimbo wake, Johnny iliyotoka Machi 3, 2014
Katika orodha ya video 10 za muziki zilizotazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa muda wote, hakuna video hata moja ya Diamond, mwanzo ilikuwepo Yope Remix ila kwa sasa imetupwa nje, hivyo rekodi yake ya ujumla inazidi kukosa mvuto kabisa!
Na hizi ni nyimbo ambazo video zake zimetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara; Jerusalema ya Master KG (mil. 555), Magic in the Air ya Magic System (mil. 415), Love Nwantiti ya Ckay (mil. 371), Calm Down ya Rema (mil. 358), On The Low ya Burna Boy (mil. 323), Baby On Fire ya Die Antwoord (mil. 267), Fall ya Davido (mil. 259), Ye ya Burna Boy (mil. 227), Way Maker ya Sinachi (mil. 224) na Joro ya Wizkid (mil. 220).
Ni vizuri hii taarifa imekuja kitaalamu na namba zake kabisa. Watasema una nia mbaya na chuki binafsi ila mimi nimependa hii taarifa maana inatukumbusha uhalisia ulivyo.KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Burudani
Rekodi ya Diamond YouTube inapoteza mvuto Afrika!
Jumapili, Machi 26, 2023
New Content Item (2)
By Peter Akaro
Mwandishi
Mwananchi Communication Limited
KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Tangu Diamond amejiunga YouTube Juni 12, 2011 amekusanya 'views' bilioni 2.1 na kuongoza ukanda huo lakini sasa rekodi yake inaanza kupoteza mvuto barani Afrika, hiyo ni ishara kuwa atakuja kuipoteza miaka michache tu ijayo.
Kwa mfano ukitazama rekodi za wasanii waliokuja hivi karibuni kama Rema na Ayra Starr wote kutokea Nigeria, utabaini Diamond kuna sehemu amekwama licha ya hesabu za jumla kumbeba kwa miaka zaidi ya miwili.
Hadi leo hakuna video ya wimbo ambao Diamond kafanya pekee yake (solo) iliyofikisha walau 'views' milioni 100, zote ambazo zimefanya hivyo kawashirikisha wasanii wengine tena wakubwa kwake kimuziki au kwa wakati huo walikuwa wanafanya vizuri.
Diamond ana nyimbo tatu zilizofikisha views milioni 100+ ambazo ni Yope Remix akishirikiana na Innoss'B, Inama akimshirikisha Fally Ipupa na Waah! akimshirikisha Koffi Olomide, wasanii wote aliowashirikisha ni kutokea DR Congo.
Video za nyimbo ambazo Diamond kafanya pekee yake na kufanya vizuri YouTube kwa kiasi chake ni Jeje (mil. 80) na Sikomi (mil. 61), hivyo tunaweza kusema Diamond amekuwa akibebwa zaidi na kolabo anazofanya na wasanii wengine.
Hata hivyo, Rema kupitia video ya wimbo wake, Calm Down iliyotoka Februari 11, 2022 tayari imegonga 'views' milioni 412 ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kutoka kwake.
Ikumbukwe hata video za Diamond ambazo zimefikisha 'views' milioni 100, hakuna iliyofanya hivyo ndani ya mwaka mmoja ila Rema kafanya hivyo mara nne yake tena kwa miezi 12 tu. Rema ndiye msanii wa kwanza Afrika kufanya hivyo wakati rekodi ya Diamond ni Kusini mwa Jangwa la Sahara tu.
Remix ya wimbo huo ambayo Rema kamshirikisha Selena Gomez, video yake iliachiwa Septemba 7, 2022 na ndani ya miezi saba sasa tayari imefikisha 'views' milioni 358. Kwa mwaka 2022 Rema alikuwa ndiye mwanamuziki aliyefanya vizuri zaidi YouTube Afrika wakati Diamond hakuwa hata ndani ya 10 bora!.
Rema ndiye alichukua nafasi ya kwanza na ya pili katika orodha ya video 10 zilizotazamwa zaidi YouTube Afrika 2022, video nyingine ni Last Last ya Burna Boy (mil. 140), Buga ya Kizz Daniel (mil. 108) na For My Hand ya Burna Boy (mil. 70).
Nyingine ni Finesse ya Pheelz (mil. 61), Emiliana ya Ckay (mil. 57), Ku Lo Sa ya Oxlade (mil. 54), No Wahala Remix ya 1da Banton (mil. 53) na Rush ya Ayra Starr (mil. 52).
Hata hivyo, kwa Diamond mambo yalikuwa tofauti kabisa, video yake iliyofanya vizuri zaidi ni ya wimbo 'Mtasubiri' akimshirikisha Zuchu iliyomaliza mwaka 2022 na views milioni 22 tu.
Rema ambaye alijiunga YouTube Aprili 7, 2019 ikiwa ni miaka minane baada ya Diamond, amefikisha jumla ya 'views' milioni 991 ndani ya miaka minne tu ikiwa ni karibia nusu ya 'views' za Diamond alizokusanya kwa miaka 12.
Kwa upande wake AyraStar ambaye ni msanii chipukizi Nigeria, hivi karibuni video ya wimbo wake 'Rush' iliyotoka Septemba 26, 2022 tayari imefikisha 'views' milioni 117 YouTube ikiwa ni miezi mitano tangu kuachiwa, hizi ni rekodi za solo ambazo Diamond hana!
Ikumbukwe mwaka 2019 Yemi Alade aliandika rekodi kama mwimbaji wa kwanza wa kike Afrika kufikisha 'views' milioni 100 YouTube, ni kupitia video ya wimbo wake, Johnny iliyotoka Machi 3, 2014
Katika orodha ya video 10 za muziki zilizotazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa muda wote, hakuna video hata moja ya Diamond, mwanzo ilikuwepo Yope Remix ila kwa sasa imetupwa nje, hivyo rekodi yake ya ujumla inazidi kukosa mvuto kabisa!
Na hizi ni nyimbo ambazo video zake zimetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara; Jerusalema ya Master KG (mil. 555), Magic in the Air ya Magic System (mil. 415), Love Nwantiti ya Ckay (mil. 371), Calm Down ya Rema (mil. 358), On The Low ya Burna Boy (mil. 323), Baby On Fire ya Die Antwoord (mil. 267), Fall ya Davido (mil. 259), Ye ya Burna Boy (mil. 227), Way Maker ya Sinachi (mil. 224) na Joro ya Wizkid (mil. 220).
Diamond aache kupambana na madogo wanaokuja, muziki wake ubadilike kwa jinsi na yeye umri unavyokwenda. Hii tabia ya kumuweka Diamond kama kioo cha muziki wetu, kwamba akishuka, muziki wote wa Tanzania unashuka inatukwamisha sana maana haitoi nafasi kwa wanamuziki wapya kuja na kufanya vizuri. Nigeria wanatuachia hapo.Upo sahihi kwani hizi taarabu anazoimba siku hizi hazina mvuto kwa wasio juwa Kiswahili
Hao wanigeria waimbe kwa lugha igbo tuone watafika wapiKwa Kuongezea diamond Ndo Msanii Wa kwanza kwa umaarufu Afrika,Anayeimba Kwa Lugha Za Ndani Na si Kiingereza Au Kifaransa.
Anaimba Kwa lugha Adhwim Ya Kiswahili Na Bado nyimbo Zinapepea.
Diamond Ndo Msanii Kutoka Africa,Hawa wengine Kama Waafrika Kweli Basi Waimbe Kiafrika Rema, Ayra starr, Burna Boy waimbe Kwa Igbo. Wasanii wa Kusini Mwa afrika Waimbe Kwa yoruba, Zulu n.k
Mziki ukianguka wewe utaathirika na nini ?Sema hata hivyo Mondi kapambana sana Wakuu na inabidi tumpe support ili apate nguvu ya kurudi kwa kasi...
Save hii comment ikitokea Diamomd akaanguka leo kimziki bhas ujue Tanzania kwenye sekta ya muziki tutaanza kulinganishwa na Wazambia yaani kwa ufupi hata hao Wanaija mnaowashadadia kila siku wataanza kuwafungia vioo kwa sababu mtakuwa hamna impact yoyote kwao zaidi ya kutaka kuiba mpaka soko lenu la ndani muachwe mnashangaa tuuu.....
Hivi Mkuu hujui ni Watanzania wangapi wanaoendesha maisha yao kupitia Industry ya mziki[emoji848]Mziki ukianguka wewe utaathirika na nini ?
Hao hao wanamuziki ndiyo wataamia
Ova
Niliwai sikia sehemu nyingi warangi sio watu. Wana roho mbaya zaidi ya mashetani. Kuna kitu naanza prove.Mziki ukianguka wewe utaathirika na nini ?
Hao hao wanamuziki ndiyo wataamia
Ova
Wanatakaje kwa mfano niwapumbavu sana haoKWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba zinamkataa yeye binafsi!
YouTube ni mtandao wa kucheza video ulioanzishwa Februari 14, 2005, huko San Mateo, California nchini Marekani na kwa miaka sasa umekuwa ukiwalipa wasanii wa muziki kama wanavyofanya kwa wazalishaji maudhui wengine.
Tangu Diamond amejiunga YouTube Juni 12, 2011 amekusanya 'views' bilioni 2.1 na kuongoza ukanda huo lakini sasa rekodi yake inaanza kupoteza mvuto barani Afrika, hiyo ni ishara kuwa atakuja kuipoteza miaka michache tu ijayo.
Kwa mfano ukitazama rekodi za wasanii waliokuja hivi karibuni kama Rema na Ayra Starr wote kutokea Nigeria, utabaini Diamond kuna sehemu amekwama licha ya hesabu za jumla kumbeba kwa miaka zaidi ya miwili.
Hadi leo hakuna video ya wimbo ambao Diamond kafanya pekee yake (solo) iliyofikisha walau 'views' milioni 100, zote ambazo zimefanya hivyo kawashirikisha wasanii wengine tena wakubwa kwake kimuziki au kwa wakati huo walikuwa wanafanya vizuri.
Diamond ana nyimbo tatu zilizofikisha views milioni 100+ ambazo ni Yope Remix akishirikiana na Innoss'B, Inama akimshirikisha Fally Ipupa na Waah! akimshirikisha Koffi Olomide, wasanii wote aliowashirikisha ni kutokea DR Congo.
Video za nyimbo ambazo Diamond kafanya pekee yake na kufanya vizuri YouTube kwa kiasi chake ni Jeje (mil. 80) na Sikomi (mil. 61), hivyo tunaweza kusema Diamond amekuwa akibebwa zaidi na kolabo anazofanya na wasanii wengine.
Hata hivyo, Rema kupitia video ya wimbo wake, Calm Down iliyotoka Februari 11, 2022 tayari imegonga 'views' milioni 412 ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kutoka kwake.
Ikumbukwe hata video za Diamond ambazo zimefikisha 'views' milioni 100, hakuna iliyofanya hivyo ndani ya mwaka mmoja ila Rema kafanya hivyo mara nne yake tena kwa miezi 12 tu. Rema ndiye msanii wa kwanza Afrika kufanya hivyo wakati rekodi ya Diamond ni Kusini mwa Jangwa la Sahara tu.
Remix ya wimbo huo ambayo Rema kamshirikisha Selena Gomez, video yake iliachiwa Septemba 7, 2022 na ndani ya miezi saba sasa tayari imefikisha 'views' milioni 358. Kwa mwaka 2022 Rema alikuwa ndiye mwanamuziki aliyefanya vizuri zaidi YouTube Afrika wakati Diamond hakuwa hata ndani ya 10 bora!.
Rema ndiye alichukua nafasi ya kwanza na ya pili katika orodha ya video 10 zilizotazamwa zaidi YouTube Afrika 2022, video nyingine ni Last Last ya Burna Boy (mil. 140), Buga ya Kizz Daniel (mil. 108) na For My Hand ya Burna Boy (mil. 70).
Nyingine ni Finesse ya Pheelz (mil. 61), Emiliana ya Ckay (mil. 57), Ku Lo Sa ya Oxlade (mil. 54), No Wahala Remix ya 1da Banton (mil. 53) na Rush ya Ayra Starr (mil. 52).
Hata hivyo, kwa Diamond mambo yalikuwa tofauti kabisa, video yake iliyofanya vizuri zaidi ni ya wimbo 'Mtasubiri' akimshirikisha Zuchu iliyomaliza mwaka 2022 na views milioni 22 tu.
Rema ambaye alijiunga YouTube Aprili 7, 2019 ikiwa ni miaka minane baada ya Diamond, amefikisha jumla ya 'views' milioni 991 ndani ya miaka minne tu ikiwa ni karibia nusu ya 'views' za Diamond alizokusanya kwa miaka 12.
Kwa upande wake AyraStar ambaye ni msanii chipukizi Nigeria, hivi karibuni video ya wimbo wake 'Rush' iliyotoka Septemba 26, 2022 tayari imefikisha 'views' milioni 117 YouTube ikiwa ni miezi mitano tangu kuachiwa, hizi ni rekodi za solo ambazo Diamond hana!
Ikumbukwe mwaka 2019 Yemi Alade aliandika rekodi kama mwimbaji wa kwanza wa kike Afrika kufikisha 'views' milioni 100 YouTube, ni kupitia video ya wimbo wake, Johnny iliyotoka Machi 3, 2014
Katika orodha ya video 10 za muziki zilizotazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa muda wote, hakuna video hata moja ya Diamond, mwanzo ilikuwepo Yope Remix ila kwa sasa imetupwa nje, hivyo rekodi yake ya ujumla inazidi kukosa mvuto kabisa!
Na hizi ni nyimbo ambazo video zake zimetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara; Jerusalema ya Master KG (mil. 555), Magic in the Air ya Magic System (mil. 415), Love Nwantiti ya Ckay (mil. 371), Calm Down ya Rema (mil. 358), On The Low ya Burna Boy (mil. 323), Baby On Fire ya Die Antwoord (mil. 267), Fall ya Davido (mil. 259), Ye ya Burna Boy (mil. 227), Way Maker ya Sinachi (mil. 224) na Joro ya Wizkid (mil. 220).
Chanzo: Mwananchi
Hii hoja ya kijinga sana, kwani sisi tumekatazwa kuimba kizungu ili tufike mbali?Hao wanigeria waimbe kwa lugha igbo tuone watafika wapi
Post inataka kutuamisha ya kwamba hapo awali alikuwa nyimbo zake zikiongoza Sub-Saharan na sasa zimeshuka kitu ambacho ni uongo, Diamond kuwa na more than 2b views si nyimbo zake peke yake bali ni mkusanyiko wa contents zake zote anazozipost YouTube na hakuna wakati ambapo nyimbo zake zimekuwa zikipata views zaidi ya hit songs za Nigeria hivyo negativity ya post husika imekosolewa hapo kwani analazimisha kutuamisha kuwa Diamond ameshuka kwa kutumia mfano ambao si halisi.Naona watu wanatoa povu, wanataka Mondi Asifiwe tu. Hoja zijibiwe kwa hoja.
Je ameshuka au anazidi kupanda kimuziki?
Je anaelekea kubaki kuwa local artists au anazidi kutawala nje ya TZ na Afrika?