Post inataka kutuamisha ya kwamba hapo awali alikuwa nyimbo zake zikiongoza Sub-Saharan na sasa zimeshuka kitu ambacho ni uongo, Diamond kuwa na more than 2b views si nyimbo zake peke yake bali ni mkusanyiko wa contents zake zote anazozipost YouTube na hakuna wakati ambapo nyimbo zake zimekuwa zikipata views zaidi ya hit songs za Nigeria hivyo negativity ya post husika imekosolewa hapo kwani analazimisha kutuamisha kuwa Diamond ameshuka kwa kutumia mfano ambao si halisi.
Kwanini asiseme Wiz Kid, Burna Boy na Davido pia wameshuka kwani hawa youngsters wao wanawazidi kwenye views?
Kushuka kwa msanii si jambo geni lakini hata kama ni hater aweke mifano iliyo halisi.
Nimekubaliana na mchagiaji mmoja aliyeandika kwamba siku Diamond akiacha music tataacha kujilinganisha au kumnanga artist kwa kuzidiwa na artist wa Nigeria bali tutakuwa tukijipambanisha na
Wazambia na Wamalawi, levels za kujishindanisha na Nigerians(japo wala hatuwakaribii kwa achievements zao tangu enzi na enzi) ni kwa sababu tu kuna Diamond kwani wasanii wengine wote are just local artists.