Mkuu nasema nae, number one, nitampata wapi, nana, African beauty, hallelujah, mdogo mdogo? Ni taste za mziki wa kinaigeria au Congo?Mtoa post jaribu pia kuangalia total population ya nchi ya wanaozaliwa hawa wasanii.
Ukubwa wa nchi katika muziki,aina ya mziki wenyewe.
Diamond akiiba miziki/midundo ya Kinigeria au congo au kushirikiana na wasanii wa nje ndiyo hupata viewers kwa maana ya kwamba jamaa hana mziki huo ila sauti kwake kwa kuikuza nchi lakini sio mziki wa bongo fleva.
Yah Mkuu mimi nimesema kabisa wasave comment yangu hata Kenya wanaiogopa Tanzania sababu ya Diamomd pekee...., ila kihalisi tukimtoa Diamond Kenya wanakaribia kutuacha kimziki...., Yaani sisi tumebebwa na msanii mmoja kama Rwanda na Meddy wao ila Kenya wanazidi kufumua kimataifa kila siku mziki wa ndani wamemwachia Meja ajilie mdogomdogo amalize uzee wake salama.Post inataka kutuamisha ya kwamba hapo awali alikuwa nyimbo zake zikiongoza Sub-Saharan na sasa zimeshuka kitu ambacho ni uongo, Diamond kuwa na more than 2b views si nyimbo zake peke yake bali ni mkusanyiko wa contents zake zote anazozipost YouTube na hakuna wakati ambapo nyimbo zake zimekuwa zikipata views zaidi ya hit songs za Nigeria hivyo negativity ya post husika imekosolewa hapo kwani analazimisha kutuamisha kuwa Diamond ameshuka kwa kutumia mfano ambao si halisi.
Kwanini asiseme Wiz Kid, Burna Boy na Davido pia wameshuka kwani hawa youngsters wao wanawazidi kwenye views?
Kushuka kwa msanii si jambo geni lakini hata kama ni hater aweke mifano iliyo halisi.
Nimekubaliana na mchagiaji mmoja aliyeandika kwamba siku Diamond akiacha music tataacha kujilinganisha au kumnanga artist kwa kuzidiwa na artist wa Nigeria bali tutakuwa tukijipambanisha na
Wazambia na Wamalawi, levels za kujishindanisha na Nigerians(japo wala hatuwakaribii kwa achievements zao tangu enzi na enzi) ni kwa sababu tu kuna Diamond kwani wasanii wengine wote are just local artists.
Bila kuwa na Diamond Kenya na Uganda hatuwawezi, itarudi kama ilivyokuwa back in the day. Hatutakuwa tukiangalia figures(numbers) za Nigerian artists bali tutarudi kujilinganisha na jirani zetu na hatutawaweza kwani kiuhalisia wametuzidi kwani wao wana artists wengi ilhali sisi tuna artist mmoja tu.Yah Mkuu mimi nimesema kabisa wasave comment yangu hata Kenya wanaiogopa Tanzania sababu ya Diamomd pekee...., ila kihalisi tukimtoa Diamond Kenya wanakaribia kutuacha kimziki...., Yaani sisi tumebebwa na msanii mmoja kama Rwanda na Meddy wao ila Kenya wanazidi kufumua kimataifa kila siku mziki wa ndani wamemwachia Meja ajilie mdogomdogo amalize uzee wake salama.
Mbona umemjia juu huyo jamaa? Aliyeandika hayo ni gazeti la mwananchi' yeye amefanya kuipandisha tuKwani ungempa Hongera hata kwa hizo juhudi alizofanikiwa fanikisha ungepungukiwa nini? Unafikiri ni rahisi kama ulivyojichetua kuandika kwa kukosoa, Acha uchawi kaka, Yaani kijana wa kitanzania ambae hujafanikiwa unamchukia kijana wa kitanzania mwenzako aliyefanikiwa una chuki mbaya Sana ndugu yangu, jitahidi kuipunguza utakua na amani mnoo moyoni mwako!!
Usemacho ni sawa ila si kama mleta mada anavyo taka kuaminishi watu, Ni kweli namba zake zimeshuka ila yeye bado ni kinara east africa. Hakuna aliye mpiku hadi sasaNdio kawaida ya muziki kuna zama ambazo utatamba halafu lazima ushuke hata utoe ngoma kali kiasi gani lazima game likamatiwe na wengine tu
Hii ni kokote duniani ndivyo ilivyo kwenye music industry
Vizazi vinaenda vinabadilika nao wanakuwa na wasanii wao pendwa
Tukubali tusikubali jamaa kaweka legacy kwenye mziki wa bongo. Apewe heshima yake
Tehetehe hebu nitajie msanii mmoja tu wa kenya ambae anakimbiza kimataifaYah Mkuu mimi nimesema kabisa wasave comment yangu hata Kenya wanaiogopa Tanzania sababu ya Diamomd pekee...., ila kihalisi tukimtoa Diamond Kenya wanakaribia kutuacha kimziki...., Yaani sisi tumebebwa na msanii mmoja kama Rwanda na Meddy wao ila Kenya wanazidi kufumua kimataifa kila siku mziki wa ndani wamemwachia Meja ajilie mdogomdogo amalize uzee wake salama.
Acheni upuuzi asee Africa mashariki tz ndio ina wasanii wengi wanaofanya vizuriBila kuwa na Diamond Kenya na Uganda hatuwawezi, itarudi kama ilivyokuwa back in the day. Hatutakuwa tukiangalia figures(numbers) za Nigerian artists bali tutarudi kujilinganisha na jirani zetu na hatutawaweza kwani kiuhalisia wametuzidi kwani wao wana artists wengi ilhali sisi tuna artist mmoja tu.
Endelea kujidanganya, internationally tuna artist mmoja tu. Kenya na Uganda insingekuwa TZ kuna Diamond wangekuwa wanatutimulia vumbi kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.Acheni upuuzi asee Africa mashariki tz ndio ina wasanii wengi wanaofanya vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
na kingine ni kwamba hiyo record ya views billion 2 burna boy kaifikia tayari...Naona watu wanatoa povu, wanataka Mondi Asifiwe tu. Hoja zijibiwe kwa hoja.
Je ameshuka au anazidi kupanda kimuziki?
Je anaelekea kubaki kuwa local artists au anazidi kutawala nje ya TZ na Afrika?