Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Mtwara kuna SAUT? Nijuavyo kule SAUT ilibadilishwa na kuwa STEMMUCO!
Hivi Mtwara kuna SAUT? Nijuavyo kule SAUT ilibadilishwa na kuwa STEMMUCO!
Waandamane hadi kieleweke.. nchi ngumu hii
Mkuu wa chuo anapita kuhamasisha watu waingie madarasani lakini wanamjibu "you cant argue with a hungry person"
daah poleni........aisee ndugu zanguni!
japokuwa sie tulishapewa mpaka now linaelekea kuisha
ila nawaonea huruma ndugu zangu for real hivi serikali haijiulizi mnaishije katika hali kama hii.....for real sorry sorry my fellow's students
all the Best SAUT,fanyeni yenu tena diplomsia akishindikana basi wapingwe,cos hii serikali imeoza na sasa naona inanuka,kibinadamu bord wanajua mnakula nn sasa?na hawa police mm sijui wakoje aisee?wanaida serikali mbaya kabisa wengi wao walio pandishwa vyeo awajalipwa,lakini wakiambiwa nendeni mkazuie maandamano wanapiga watu,AKILI ZA KUAMBIWA JUMLISHA NA ZA KWAKO.ALL THE BEST NAWATAKIA MANDAAMANO MEMA YENYE TIJA KWA VYUO VYETU NA WATOTO WETU KWA UJUMLA,ILA POLISI WAKIWA piga msikae kimya,
daah poleni........aisee ndugu zanguni!
japokuwa sie tulishapewa mpaka now linaelekea kuisha
ila nawaonea huruma ndugu zangu for real hivi serikali haijiulizi mnaishije katika hali kama hii.....for real sorry sorry my fellow's students
Msalimieni Longino Lutabwelela, Aidan Msafiri, Kopoka na madam Maua. C tulimalza huko 2012 sasa tunakula bata maofisini,
Msalimieni Longino Lutabwelela, Aidan Msafiri, Kopoka na madam Maua. C tulimalza huko 2012 sasa tunakula bata maofisini,
Msalimieni Longino Lutabwelela, Aidan Msafiri, Kopoka na madam Maua. C tulimalza huko 2012 sasa tunakula bata maofisini,