Rekodi za Yanga dhidi ya Kaizer na wengine

Rekodi za Yanga dhidi ya Kaizer na wengine

Somo la historia limeshafutwa kwenye mitaala ya elimu tanzania
Limefutwa somo sio maandishi
Screenshot_20210516-153814.jpg
 
hii mechi Mohammed Hussein alipotea mchezoni kabla ata ya mechi kuanza, marefa walimuongelesha kingereza kingi akaingiwa na uoga matokeo yake mechi nzima akajikuta anaruka ruka tu uwanjani .. [emoji23][emoji23]
Nilimuona mpaka wakawa wakali kidogo.
 
Back
Top Bottom