Rekodi za Yanga v Simba zisizosemwa

Kuna timu inaanzia kwa mkapa baba jeni bye bye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
kitakachowapata watarejea kazi yao ya kupokea wageni.
 
Uto wajinga sana kwani miaka hiyo ya 1938 simba ilikuwa inaitwa jina hilo ama Sunderland?? na hiyo nembo ya Simba ndivyo ilikuwa ikionekana miaka hiyo?
 
Yule mwenye gazeti linalohusu yanga ni timu gani arushie kapicha plz
 
Kumbuk tu huo mwaka walikuwa hawaitwi Simba waliitwa the queens FC ninawasiwasi na hii
 
Yanga kweli ni mabingwa wa kihistoria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…