Reli ya Kenya yaanza kupumulia mashine

Reli ya Kenya yaanza kupumulia mashine

Wachina wachina wanapenda kulipua lipua sometime
 
yzihcn9hkngfwlwjidg5831f20f05d4a.jpg

Hii ndio kazi ya Mchina aliyoifanya, achilia mbali kuwa ni reli iliyojengwa kwa gharama za kutisha kuzidi reli ya Ethiopia ya umeme lakini ubora wa reli hiyo ni wakusikitisha.

fmzfazunq8evop592be3a4c1f81.jpg

Ukiachilia mbali ubovu wa matuta na udhaifu wa technology duni uliotumika lakini pia pameonekana hitilafu za umadhubiti wa miundombinu hiyo mara baada ya uzio wa reli hiyo kuanguka baada ya siku chache tu.View attachment 603024

Reli ya Kenya ambayo technology yake ndio iliyotumika kujenga reli ya TAZARA miaka ya 1960 imekua ikilalamikiwa na wananchi wa kenya hasa kwenye gharama na aina ya reli hiyo ambayo wanaona kama wametapeliwa.
The TAZARA Railway, also called the Uhuru Railway or the Tanzam Railway, is a railroad in East Africa linking the port of Dar es Salaam in Tanzania with the town of Kapiri Mposhi in Zambia's Central Province. The single-track railway is 1,860 km (1,160 mi) long and is operated by the Tanzania-Zambia Railway Authority(TAZARA).

The governments of Tanzania, Zambia and China built the railway to eliminate landlocked Zambia's
economic dependence on Rhodesia (now Zimbabwe) and South Africa, both of which were ruled by white-minority governments.[1] The railway provided the only route for bulk trade from Zambia's Copperbelt to reach the sea without having to transit white-ruled territories

huku sio mchina amejenga au wachina mara ngapi. hypocracy ya watanganyika ni mbovu. akili ndogo ni hatari sana!!!
upload_2017-10-6_12-9-32.jpeg
upload_2017-10-6_12-9-32.jpeg


TanzaniaTAZARADar.jpg


images


00350029:c351d8be04ce20113460ca24057a933c:arc614x376:w614:us1.jpg


XxjiweE005003_20160323_BNMFN0A005_11n.jpg
 
Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) has received four new diesel-electric mainline locomotives and 18 new passenger coaches valued at US$22.4 million.

Zambia : TAZARA signs investment cooperation agreement with Bombardier


Coaches2.jpg


TAZARA signs investment cooperation agreement with Bombardier

Coaches2.jpg



Zambia : TAZARA signs investment cooperation agreement with Bombardier

The Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) has signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Bombardier Transportation, the rail equipment division of the Canadian firm Bombardier Inc., to explore possibilities of investment cooperation.
 
Bombardier backs TAZARA

Bombadier%20Train.png

Bombardier backs TAZARA | TAZARA

As one of the strategies for repositioning ourselves towards boosting our haulage capacity, on 6th September 2017 in Dar es Salaam, we signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Bombardier Transportation to explore possibilities for investment cooperation.

With access to possible international funding options to support the revitalization of TAZARA, Bombardier Transportation has offered a preliminary turnkey solution for TAZARA to increase efficiency and capacity in the areas of track, rolling stock, signalling and telecommunications.

Following the signing of the MoU, we shall now create a joint team to undertake a feasibility study that will define and agree on the scope of the partnership, after which Bombardier Transportation will submit a full technical and financial proposal for our consideration.
 
tutumie picha za sasa ivi za sehemu izo ..

please tupe current photo ili tuamini
reli haiwezi ikaendeshwa kama kuna significant infrastructural damage.... zote mbili zilisharekebishwa kitambo sana, kungekua bado kuko hivyo ungeona picha kila siku, ingeona ikitumika kama propaganda kila siku na wale wanaopinga mradi huu
 
Sio mazuri, bila shaka ni kutokana na uajibikaji mbovu wa viongozi wetu , Africa. East Africans tusikubali
 
Back
Top Bottom