Reli ya SGR itakidhi mahitaji ya baadaye?

Reli ya SGR itakidhi mahitaji ya baadaye?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana kwenye reli katika usafirishaji wa abiria na mizigo.

Swali langu la msingi ni hili. Kama track ya reli iliyojengwa ni moja kwa maana treni haziwezi kupishana, je ratiba yake itakuwaje pale shughuli zake zitakapochangamka?

Kama design ya ujenzi uliofanyika ni kwamba treni itabidi zisubiriane kwenye intersections, je hilo halitakuja kuleta jams na delays kwa hiyo faida nzima ya kuwa na treni ya mwendo kasi itapotea?

Naomba ufafanuzi wa kitaalamu.
 
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana kwenye reli katika usafirishaji wa abiria na mizigo.

Swali langu la msingi ni hili. Kama track ya reli iliyojengwa ni moja kwa maana treni haziwezi kupishana, je ratiba yake itakuwaje pale shughuli zake zitakapochangamka?

Kama design ya ujenzi uliofanyika ni kwamba treni itabidi zisubiriane kwenye intersections.

Je hilo halitakuja kuleta jams na delays kwa hiyo faida nzima ya kuwa na treni ya mwendo kasi itapotea?

Naomba ufafanuzi wa kitaalamu.
Reli ndivo zilvyo ndugu, Hazitengenezwi kama barabara za lami

Kuna njia za kupishana
 
Zitawekwa sehemu maalumu za kupishana mkuu, hata USA zipo hivo, huwez jaza reli track mbili dar mwanza, gharama ni kubwa sanaaa,

Reli ndivo zilvyo ndugu, Hazitengenezwi kama barabara za lami

Kuna njia za kupishana
Sawa. Ila nadhani kulihitaji tracks zaidi ya moja zinazoingia stesheni kuu ili kuepusha jams. Muda utasema
 
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana kwenye reli katika usafirishaji wa abiria na mizigo.

Swali langu la msingi ni hili. Kama track ya reli iliyojengwa ni moja kwa maana treni haziwezi kupishana, je ratiba yake itakuwaje pale shughuli zake zitakapochangamka?

Kama design ya ujenzi uliofanyika ni kwamba treni itabidi zisubiriane kwenye intersections.

Je hilo halitakuja kuleta jams na delays kwa hiyo faida nzima ya kuwa na treni ya mwendo kasi itapotea?

Naomba ufafanuzi wa kitaalamu.

Swali la msing sana. Hili kosa pia. Limefanyika kwenye road za nchi hii, by that time Dar ilikuwa na watu laki 1 tu , hakukuonekana umuhimu wa kuweka miundombinu ya baadae

Matokeo yake kwa sasa hakusaidiki tena

Nina mashaka sana na planers na enjinia wa TZ if they look into future while plan pop
 
Sawa. Ila nadhani kulihitaji tracks zaidi ya moja zinazoingia stesheni kuu ili kuepusha jams. Muda utasema
Reli hazifanyi hivyo kazi.

train moja hubeba watu zaidi ya magari 100 na kuendelea na hazifukuzani ila zinaratiba, zinafanya kazi kwa ratiba na muda maalumu ambao unakuwa umekadiriwa train itakuwa iko wapi.

Pia kuna classes ambazo zinasimama vituo vingi kuzipisha nyingine

Train inayotoka Dar to Dodoma zinaweza kupishana na Train inayotoka Morogoro to Dar katika ya vituo vya njiani same na zinazoenda na Za mizigo.

Sawa ndugu yangu?
 
Swali la msing sana. Hili kosa pia. Limefanyika kwenye road za nchi hii, by that time Dar ilikuwa na watu laki 1 tu , hakukuonekana umuhimu wa kuweka miundombinu ya baadae

Matokeo yake kwa sasa hakusaidiki tena

Nina mashaka sana na planers na enjinia wa TZ if they look into future while plan pop
Exactly. Nilitaka kuligusia hilo la barabara nikaamua kuliacha. Barabara za kuunganisha mikoa zilitakuwa kujengwa walau njia 2-2 toka kipindi hicho hata kama mahitaji ya wakati ule yalikuwa madogo. Kwanza ingewezesha watu kusafiri kwa speed zaidi na ajali nyingi sana zilizowahi kutokea zingeweza kuepukika maana magari hayapishani. Kwa sababu ya wembamba wa barabara, zikaja tochi kudhibiti mwendo wa madereva kwa hiyo idea nzima ya kujenga barabara bora ili watu wafike kwa haraka ikapotea, labda kilichopatikana ni comfortability tu.
 
Reli hazifanyi hivyo kazi.

train moja hubeba watu zaidi ya magari 100 na kuendelea na hazifukuzani ila zinaratiba, zinafanya kazi kwa ratiba na muda maalumu ambao unakuwa umekadiriwa train itakuwa iko wapi.

Pia kuna classes ambazo zinasimama vituo vingi kuzipisha nyingine

Train inayotoka Dar to Dodoma zinaweza kupishana na Train inayotoka Morogoro to Dar katika ya vituo vya njiani same na zinazoenda na Za mizigo.

Sawa ndugu yangu?
Kama Serikali inahamia Dodoma, tutegemee movement ya watu kuongezeka sana ndani ya miaka 5 kati ya Dar - Morogoro - Dodoma ukiachilia mbali hizo zitakazokuwa zinaenda mbali zaidi kwa hiyo kutahitajika kuwa na trip kadhaa kila siku kati ya mikoa hii kwa njia ya treni. Sijajua ni vituo vipi hivyo unavyosema vimewekwa au vitakapowekwa track za ziada za kupishana ila kama kituo kikuu cha Dar kuna track moja tu inayoingia tutegemee delays zitakuwepo.
 
Exactly. Nilitaka kuligusia hilo la barabara nikaamua kuliacha. Barabara za kuunganisha mikoa zilitakuwa kujengwa walau njia 2-2 toka kipindi hicho hata kama mahitaji ya wakati ule yalikuwa madogo. Kwanza ingewezesha watu kusafiri kwa speed zaidi na ajali nyingi sana zilizowahi kutokea zingeweza kuepukika maana magari hayapishani.
Fikra zako ni nzuri sana, majinga ni mengi sana, siyo humu tu, hata duniani kwa ujumla.
Badala ya kujibu maswali yako, yanakubeza yakijifanya yanajua zaidi.
 
Zitawekwa sehemu maalumu za kupishana mkuu, hata USA zipo hivo, huwez jaza reli track mbili dar mwanza, gharama ni kubwa sanaaa,

Reli ndivo zilvyo ndugu, Hazitengenezwi kama barabara za lami

Kuna njia za kupishana
Design ya kituo kikuu cha Dar ni kuwa ina track moja tu inayoingia pale na kwa ile design upanuzi siyo rahisi kwa hiyo ni kama design iliyofanyika kudumu miaka mingi ijayo. Je inajitosheleza?
 
Kama Serikali inahamia Dodoma, tutegemee movement ya watu kuongezeka sana ndani ya miaka 5 kati ya Dar - Morogoro - Dodoma ukiachilia mbali hizo zitakazokuwa zinaenda mbali zaidi kwa hiyo kutahitajika kuwa na trip kadhaa kila siku kati ya mikoa hii kwa njia ya treni. Sijajua ni vituo vipi hivyo unavyosema vimewekwa au vitakapowekwa track za ziada za kupishana ila kama kituo kikuu cha Dar kuna track moja tu inayoingia tutegemee delays zitakuwepo.
Reli hazijengwi sambasamba na main purpose ya Reli ni kuoffload barabara za kawaida hasa kwenye mizigo mikubwa.

Ukianza kuzungmzia Dodoma miaka 5 unazungumzia pia Reli za Mjini.

Kama unaijua Train inayofanya kazi Dar Es Salaam kati ya posta na Pugu, vile ndio train zinavo-operate, miji yote mikubwa vyombo vya public transport vinafanya kazi kwa muda na havipangiwi na watu kusimama hovyo hovyo
 
Design ya kituo kikuu cha Dar ni kuwa ina track moja tu inayoingia pale na kwa ile design upanuzi siyo rahisi kwa hiyo ni kama design iliyofanyika kudumu miaka mingi ijayo. Je inajitosheleza?
Kitu kikuu cha Dar Es Salaam kwenye embarkation kuna track mbili which means we can have 2 two 3 tains operating

Pia kuna njia nyingine inayoinga badarini kwa ajili ya mizigo ambayo kituo kituo kikubwa kinachofata ni pugu
 
Kitu kikuu cha Dar Es Salaam kwenye embarkation kuna track mbili which means we can have 2 two 3 tains operating

Pia kuna njia nyingine inayoinga badarini kwa ajili ya mizigo ambayo kituo kituo kikubwa kinachofata ni pugu
Aha. Nashukuru kwa ufafanuzi huu. Nilijua kuna track moja maana kwenye lile daraja lake niliona kama ipo moja
 
sgr1.png


Hii ni video ya miaka 2 iliyopita na hapa ni sehemu ya embarkation, kuna track 2 which means we can have multiple routes wakati wa kushusha na kupandisha watu na hizi train zinaweza kupishana 1 hour apart
 
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana kwenye reli katika usafirishaji wa abiria na mizigo.

Swali langu la msingi ni hili. Kama track ya reli iliyojengwa ni moja kwa maana treni haziwezi kupishana, je ratiba yake itakuwaje pale shughuli zake zitakapochangamka?

Kama design ya ujenzi uliofanyika ni kwamba treni itabidi zisubiriane kwenye intersections, je hilo halitakuja kuleta jams na delays kwa hiyo faida nzima ya kuwa na treni ya mwendo kasi itapotea?

Naomba ufafanuzi wa kitaalamu.
Kwani unafikri train huwa zinapishana kama mabasi? Umeangalia kwenye vituo nako kuna track moja?
 
View attachment 2977076

Hii ni video ya miaka 2 iliyopita na hapa ni sehemu ya embarkation, kuna track 2 which means we can have multiple routes wakati wa kushusha na kupandisha watu na hizi train zinaweza kupishana 1 hour apart
Nilikuwa najua kuna track moja inayoingia pale ndiyo msingi wa hoja yangu ulipokuwa. Tunaelimishana. Hivi ndiyo majadiliano yanatakiwa kufanyika. Wewe umejibu hoja yangu kwa usahihi.
 
Back
Top Bottom