stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Hii ni station ya Morogoro (Sina hakika)
Kuna track 5, kuna weza kukawa na train ambayo itaanza safari nusu saa au dk 45 baada ya hii kwenda dodoma, pi kuna weza kukawa na train ambayo inaenda dar baada ya hii kufika hicho kituo nk.
Swa ni lini tutaunganisha mikoa mingine na SGR