stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
YapNilikuwa najua kuna track moja inayoingia pale ndiyo msingi wa hoja yangu ulipokuwa. Tunaelimishana. Hivi ndiyo majadiliano yanatakiwa kufanyika.
Hoja yako ni ya msingi sana hasa kwenye mwendo kasi.Nilikuwa najua kuna track moja inayoingia pale ndiyo msingi wa hoja yangu ulipokuwa. Tunaelimishana. Hivi ndiyo majadiliano yanatakiwa kufanyika. Wewe umejibu hoja yangu kwa usahihi.
Hizi treni zije na nauli rafiki ili nauli za mabasi pia zishuke sana. Mwenye haraka sana anapanda treni, mwenye nauli ndogo ambaye yuko tayari kwenda taratibu anapanda basi. Pia barabara kubwa sipanuliwe ili wenye magari binafsi wanaotaka kushindana na speed ya SGR wajiachie 😀😀Hoja yako ni ya msingi sana hasa kwenye mwendo kasi.
Barabara zetu huwa zinafata straight line, so hilo sio sustainable njia ya mwendo kasi zilitakiwa zitafutiwe route za peke yake
Kwani Kwenye stesheni hujaona tracks zaidi ya 5?!Sawa. Ila nadhani kulihitaji tracks zaidi ya moja zinazoingia stesheni kuu ili kuepusha jams. Muda utasema
Dar moro ni kilomete 200 ila zimejengwa 300 kwa ajili hiyo unayoseme ukitoa kituo kikuu pale reli inapo anzia pi pana njia mbili kama kilomete 3 kila upande ukija pugu ivyo avyo soga ruvu vituo vyote hadi Moro vinanjia mbili mbili kwaiyo kama treni moja inatoka Moro kuja dar na dar kwenda Moro zitapishana kituo cha kati kimo wapo
Nimeshafafanuliwa, nimeelewa na kuridhika na majibu ya stormryderKwani Kwenye stesheni hujaona tracks zaidi ya 5?!
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana kwenye reli katika usafirishaji wa abiria na mizigo.
Swali langu la msingi ni hili. Kama track ya reli iliyojengwa ni moja kwa maana treni haziwezi kupishana, je ratiba yake itakuwaje pale shughuli zake zitakapochangamka?
Kama design ya ujenzi uliofanyika ni kwamba treni itabidi zisubiriane kwenye intersections, je hilo halitakuja kuleta jams na delays kwa hiyo faida nzima ya kuwa na treni ya mwendo kasi itapotea?
Naomba ufafanuzi wa kitaalamu.
Zitawekwa sehemu maalumu za kupishana mkuu, hata USA zipo hivo, huwez jaza reli track mbili dar mwanza, gharama ni kubwa sanaaa,
Reli ndivo zilvyo ndugu, Hazitengenezwi kama barabara za lami
Kuna njia za kupishana
Sawa. Ila nadhani kulihitaji tracks zaidi ya moja zinazoingia stesheni kuu ili kuepusha jams. Muda utasema
Swali lako ni la kitoto sana, kwani kwenye hizi MGR zinapishana vipi?
Yeah huyu ni mtoto kweli na si ajabu hajawahi panda treni, ni wa kuhurumia tu
Swali la msing sana. Hili kosa pia. Limefanyika kwenye road za nchi hii, by that time Dar ilikuwa na watu laki 1 tu , hakukuonekana umuhimu wa kuweka miundombinu ya baadae
Matokeo yake kwa sasa hakusaidiki tena
Nina mashaka sana na planers na enjinia wa TZ if they look into future while plan pop
Ni wazi kutakuwa na uhitaji wa kufanya upanuzi wa miundombinu wanayojenga sasa kwa siku za mbele na inawezekana siku hizo za mbele siyo nyingi kama wanavyodhani.Niliwahi sana kuonya serikali kuhusu jambo la kujenga reli yenye railway track moja tu kwa nchi kubwa kama hii inayotarajia kuwa gateway ya nchi majirani kama Congo, Uganda, Rwanda, Zambia, etc. Nilisema pale mwanzoni kabisa kuwa tusijenge reli kisiasa, tujenge two-way railway track kama tupo serious. Gharama za ujenzi zisingekuwa mara mbili kama watu wanavyofikiri, pengine ingeongezeka 15-20% tu ya gharama zote. Nchi tunaongozwa na wanasiasa katika mambo yote na tutaendelea kupigwa sana!