Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tembea kwa miguu! ati Tshs 24,000? SGR itajiendesha vp?povu la nini?!!hivi hadi leo hii unafahamu baada ya ule mkutano wa wadau walipokataa hiyo nauli iliyopendekezwa ya 24,000 nini kinaendelea baina ya TRC Na LATRA?!!usilolijua litakusumbua.Hiyo 15000 utaisubiri sana!!mambo ya UJAMAA dunia nzima yamesha fail!!mkitaka vitu vizuri lazima vina gharama!! ila kupanga ni kuchagua nauli inaweza kuwa hata buku 5 kinachopungua serikali inapunguza kwenye madawa ina toa ruzuku.
hao wagonjwa wameshindwa hata kuvuka kupitia ramp iliyopo? kama hivyo hata tunnel wangeshindwa kutumia, hao ni wa escalator na elevator! Huna hoja!Reli imeugawa mji pande mbili wamewanyima wakaazi haki ya kukutana kwa kuwatenganisha na uzio wa waya pasipo ulazima wakati mbadala upo. Wa huku ni wa huku na wa kule ni wa kule. Bila kujali wanategemea huduma za Jamii KWA kuingilia mfano shule, masoko , nyumba za Ibada. Ndo shida ya madesigner kutowshirikisha wakaazi wa eneo husika.
Chek pale Mbezi pana ulazima gani wa kujenga daraja badala ya kujenga daraja la chini wazee, wagonjwa hawawezi panda juu kule
Tunnel Ina kuwa na step na pia inakuwa na slide watashindwaje kuvuka SAsa underpasshao wagonjwa wameshindwa hata kuvuka kupitia ramp iliyopo? kama hivyo hata tunnel wangeshindwa kutumia, hao ni wa escalator na elevator! Huna hoja!
kwani daraja halina "slide"? yaani ramps without steps (stairs)? Au lugha tatizo? kwa hiyo unamaana kwenye tunnel unashuka tuu na hupandi upande wa pili? Wacheni malalamiko yasiyo na hoja!Tunnel Ina kuwa na step na pia inakuwa na slide watashindwaje kuvuka SAsa underpass
Tunnel haina steep slope kama overpass.Hadi ufike juu then upate level shughuli.kwani daraja halina "slide"? yaani ramps without steps? Au lugha tatizo? kwa hiyo unamaana kwenye tunnel unashuka tuu na hupandi? Wacheni malalamiko yasiyo na hoja!
wacha uvivu kijana hata tunnel pia mtalalamika haswa mkianza kukutana na ngeta!Tunnel haina steep slope kama overpass.Hadi ufike juu then upate level shughuli.
Underpass unateleza tu simple slope
Ngeta itoke wapi wakati inakuwa openly na mwanga wa kutosha plus machinga wamepanga safu zao.wacha uvivu kijana hata tunnel pia mtalalamika haswa mkianza kukutana na ngeta!
MY TAKE; Hivi zile za Kenya zinatumia mfumo upi?, Kuna siku ziliwahi kugonga Ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Underpasses alias Tunnels huwa zina giza!Ngeta itoke wapi wakati inakuwa openly na mwanga wa kutosha plus machinga wamepanga safu zao.
Ubunifu unaweka open space ya machinga kama hofu ni wazee wa ngeta
Hivi wale ambao hawana miguu kabisa wamefikiriwaje?, Mimi ninapendekeza serikali iweke watu maalumu wa kuwabeba watu ambao hawawezi kutembea kwa sababu mbalimbali, wao pia ni watanzania wanalipa Kodi[emoji23][emoji23][emoji23]Reli imeugawa mji pande mbili wamewanyima wakaazi haki ya kukutana kwa kuwatenganisha na uzio wa waya pasipo ulazima wakati mbadala upo. Wa huku ni wa huku na wa kule ni wa kule. Bila kujali wanategemea huduma za Jamii KWA kuingilia mfano shule, masoko , nyumba za Ibada. Ndo shida ya madesigner kutowshirikisha wakaazi wa eneo husika.
Chek pale Mbezi pana ulazima gani wa kujenga daraja badala ya kujenga daraja la chini wazee, wagonjwa hawawezi panda juu kule
Ninawapiga mlemlee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bro ugomvi uliouanzisha mimi simo. Labda wapite hapa huku wamefumba macho.
Huna hoja mzee! Tulia tu!Ngeta itoke wapi wakati inakuwa openly na mwanga wa kutosha plus machinga wamepanga safu zao.
Ubunifu unaweka open space ya machinga kama hofu ni wazee wa ngeta
Aisee! !Hivi wale ambao hawana miguu kabisa wamefikiriwaje?, Mimi ninapendekeza serikali iweke watu maalumu wa kuwabeba watu ambao hawawezi kutembea kwa sababu mbalimbali, wao pia ni watanzania wanalipa Kodi[emoji23][emoji23][emoji23]
Au nimekosea mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee! !