Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Kwanza kabisa nawasalimia.
Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi.
Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea ninapenda kuongelea kitu kinachoitwa faith. Kila mtu dunia yupo na faith kuanzia mototo mpaka Mzee. Unaweza ukawa na faith na daktari, baba, mke wako, elimu, Mungu nk.
Katika suala la faith haijalishi kuwa mwanasayansi au mtu wa dini wote wanakuwa na faith.
Sasa tunakuja kwenye upande wa dini. Dini zimekuwapo miaka na miaka na zinaendelea kuwepo. Msingi mkubwa wa dini ni kwenye swali la WHY!? Kwanini kuna magonjwa, kwanini jua linatoa mwanga nk. Zipo dini za aina tofauti tofauti zingine zipo za zinazoamini Mungu mmoja, zingine Miungu wengi na zingine haziamini uwepo wa Mungu.
Katika kutafuta kujibu swali la why!? Ndipo zinatokea dini na Imani tofauti tofauti kulingana na ujibuji wa swali hilo.
Kwa upande wa sayansi. Kila mtu ni mwanasayansi tangu akiwa mototo. Msingi mkubwa wa sayansi ni kujibu swali la HOW. Mfano ukipewa USB uchomeke kwenye laptop Utakuwa na observation, utatengeneza Hypothesis, Experiment baadae conclusion. Kama conclusion itakuwa poa utatengeneza theory. Kwamba kumbe kuchomeka USB kwenye Laptop alama inayoonesha logo ya USB inatakiwa kuwa juu.
Sasa basi. Kutokana na maelezo haya ni kwamba mwanasayansi na waumini wa dini hawana ugomvi wowote. Bali ugomvi uliopo ni Dini baina ya Dini au Wanasayansi baina ya Wanasayansi.
Ni hayo tu.
Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi.
Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea ninapenda kuongelea kitu kinachoitwa faith. Kila mtu dunia yupo na faith kuanzia mototo mpaka Mzee. Unaweza ukawa na faith na daktari, baba, mke wako, elimu, Mungu nk.
Katika suala la faith haijalishi kuwa mwanasayansi au mtu wa dini wote wanakuwa na faith.
Sasa tunakuja kwenye upande wa dini. Dini zimekuwapo miaka na miaka na zinaendelea kuwepo. Msingi mkubwa wa dini ni kwenye swali la WHY!? Kwanini kuna magonjwa, kwanini jua linatoa mwanga nk. Zipo dini za aina tofauti tofauti zingine zipo za zinazoamini Mungu mmoja, zingine Miungu wengi na zingine haziamini uwepo wa Mungu.
Katika kutafuta kujibu swali la why!? Ndipo zinatokea dini na Imani tofauti tofauti kulingana na ujibuji wa swali hilo.
Kwa upande wa sayansi. Kila mtu ni mwanasayansi tangu akiwa mototo. Msingi mkubwa wa sayansi ni kujibu swali la HOW. Mfano ukipewa USB uchomeke kwenye laptop Utakuwa na observation, utatengeneza Hypothesis, Experiment baadae conclusion. Kama conclusion itakuwa poa utatengeneza theory. Kwamba kumbe kuchomeka USB kwenye Laptop alama inayoonesha logo ya USB inatakiwa kuwa juu.
Sasa basi. Kutokana na maelezo haya ni kwamba mwanasayansi na waumini wa dini hawana ugomvi wowote. Bali ugomvi uliopo ni Dini baina ya Dini au Wanasayansi baina ya Wanasayansi.
Ni hayo tu.