How do you know something does not exist?
Nioneshe 3 tu!
Eiyer mimi na wewe tulikuwa tunaongelea maovu ya mungu wa Waisraeli, mbona umekuja huku? Anyways.....
Na mimi nakujibu your first Q kwa swali,u as a Christian, unajuaje Allah doesn't exist?
Contradictions:-
Yohana 3:13-hakuna aliyepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka kutoka mbunguni, mwana wa binadamu
2 Wafalme 2:11-na Eliya akaanza kupanda katika ile dhoruba ya upepo kuelekea mbimguni
Yakobo 1:13-mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu..kwamaana mungu hawezi kujaribiwa wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote
Mwanzo 22:1-baada ya mambo hayo,mungu wa kweli akamjaribu Abraham.....
Kutoka 20:4-usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala........
Kutoka 25:18-20-nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu...........
2 Samweli24:1- Again the anger of the LORD burned against Israel, and he incited David against them, saying, "Go and take a census of Israel and Judah
1 Nyakati 21:1- na shetani akasimama kushindana na Iarael, akachochea Daudi ahesabu Israeli.
*nimeandika kwa English kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu
1Wafalme 15:33-katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme juu ya Israeli yote kule Tirsa kwa miaka 24
(kwahiyo Baasha alikufa mwaka wa 27 wa utawala wa Asa)
2Nyakati 16:1- katika mwaka wa 36 wa utawala ws Asa, Baasha mfalme wa Israeli alikuja kupigana ma Yuda............
Zaburi 58:10- Mwadilifu atashangilia kwasababu ameona kisasi. Ataosha miguu yake katika damu ya waouvu
Methali 24:17- adui yako anapoanguka usishangilie, naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe.
1 Nyakati 21:11,12-basi Gadi akaja akaingia kwa Daudi, akamwambia: "Yehoca amesema hivi, 'jichagulie moja,; kama kuwe na njaa kwa miaka mitatu, au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali, na upanga wa adui zako ukufikie........
2Samweli 24:13- basi Gadi akaingia kwa Daudi akamwambia: "je njaa ikujie katika nchi yako kwa miaka saba, au miezi mitatu ya wewe kukimbia mbele ya adui zako......
Mathayo 27:5- basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake kijinyonga
Matendo 1:18-kwa hiyo mtu huyo alinunua shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu, akaanguka kichwa kwanza, akapasuka kwa kelele katikati ya matumbo yake yote yakamwagika nje.
:wave: