The belief of "there is no God" Ndio imani yenyewe. Sasa nani ni less intelligent? Yule anaye "AMINI" HAKUNA Mungu na kukana kuwepo Mungu hiyo si Imani, AU yule anaye "AMINI" kuna Mungu na kukubali hiyo ni imani?
Vilaza wamezidi JF.
Mparokia kapanda jazba tayari!
Teh teh teh!
Unamkosea kwa kumuita kilaza, wewe ndo unakosea yeye kasema hawana dini, hajasema hawana imani, pitia comment yake vizuri mkuu.
Mkuu acha kuuchanganya mambo ni mauaji gani yamefanya na wauwaji wanasema wanauwa kwa jina la Jehova?
Kuna tofauti kubwa kati ya Waislam na Wakristo
Hao ni Waislam unless unipe ushahidi wa kuthibitisha vinginevyo
Hao wanajilikana kabisa kwakuwa wanasema wanatetea dini ya haki,dini ya mungu wao na wanamtaja jina,kuwachanganya Wakristo na hawa watu ni kututusi mkuu!!!!
sorry if you feel offended brother, sio lengo langu kumkwaza yeyote. Nnachoonyesha tu, ni kwamba watu wengi sana wameuwawa kwa mkono wa dini, biblia tu yenyewe inaonesha vita za watu wa dini na hao waitwao wamataifa (kuna vita hiyo ambayo Jua lilisimama or something, maelfu ya watu waliuwawa). Mid centuries makanisa yalikua yanachoma moto wachawi na waliokua wanapingana na mafundisho yao. Juu hapo niliandika scientist BRUNO ni mmoja wa waliochomwa moto miaka hiyo kwa kusema Dunia inazunguka Jua, astronomer Cecco na alichomwa moto Kanisani kwa kufundisha watu kua Dunia ni duara. Infact miaka ya 1300 kanisa lilikua brutal
gosh!!!Ahhh, the old age debate between science and the religion on who knows better! Atheists(mostly scientists) term religious people as of low intelligence since they're stagnant and won't change their methodology and minds even over logical things! Ilianzia tangu kwa kina Galileo ambapo waliadhibiwa na kuuwawa by the hand of the church just by claiming the Earth is not the centre of the universe and that its just a small part that rotates the sun and stuff. I'm a scientist and i do believe in the existence of God, but i also believe he put forward a set of rules through which our universe operates, ila vitu kama kurelate lack of maybe rain with demons na kuanza kukemea and stuff au kupinga kwa nguvu zote evolution when there is proof everywhere on fossils collected na kusema science is demonic ni baadhi ya vitu vinavyosababisha kauli hizo. I think ni vyema kama dini zingekua zinapokea baadhi ya vitu positively na sio kupinga tu just because they're not in the holly books.Another thing personally i never get ni demonic possession, really?
Nope atheists believe that there is no God of any sort. Wala hawana dini hata moja and they have never harmed no one brother!! Most Atheist kabisa ni scientists (esp Quantum physicists). Wao wanaamini The universe created itself and no God is responsible, so why kill anyone over something that does not exist! Ila Mtu akishakua tu na dini wakikutana na asiye wa dini yake matatizo(I'm not saying all though, but most of em)
Angalia nyie mnavyo wapapatikia WAZUNGU. ETI MTUME WENU ALIKUWA MZUNGU, MAKUBWA HAYA.Bro hizo ni fikra zako! Na kila mtu ana haki ya kusema analo liona ni sawa kwake!
Tatizo linaletwa na wale wanao buni hizo dini na kujaribu kupata watu weengi ili wawadanganye na kuanza kuwatumia!
We tazama ugalatia! Japo kuwa chanzo chake kiko middle east! Lkn kuanzia picha ya mungu wao, wadhamini wao , viongozi wakuu wao, na hata hayo makanisa makuu yooote ni WAZUNGU!!
Sasa hapo anaabudiwa MZUNGU? AU MUNGU??
Hata huko tanzania basi wana imani kuwa yule padre au mchungaji anaesema kiingereza ndio anae faa sana na yuko karibu zaidi na mungu!
Yesu alizaliwa middle east lkn sura yake kwenye makanisa yoote ni MZUNGU!!
Sasa mpaka hivyo vyoo ndani ya makanisa ni vya kizungu!
Hii si balaa hii?? Yaani hata kwenda choo basi wanaiga wazungu. Wanatumia makaratasi badala ya maji!!
Mi nakwambia hayo kwa sababu nimekwenda shule ya kanisa na nimeishi na wagalatia karibu utoto wangu woote!
Kila kitu ni kuiga wazungu! Wakati huku kwa wazungu makanisa yako tupu!!
Hapo ndio utashindwa kushangaa!
Unamkosea kwa kumuita kilaza, wewe ndo unakosea yeye kasema hawana dini, hajasema hawana imani, pitia comment yake vizuri mkuu.
Jibu swali kijana wa muhammada:
Muhammadan, how do you communicate to uncommunicative demigod?
Wapi hao/
Je wanakuwa wanasema wanatetea dini gani kama Boko haram wanavyosema wanatetea dini ya Allah na wanataka Nigeria iongozwe na sharia?
JE,WANAKUWA WAMESHIKILIA KITABU GANI HAO UNAODAI WANAINGIA KWENYE NCHI ZA KIISLAM NA KUUWA WATOTO?
MaxShimba una ID's kibaoo ! ...duuuh !
MaxShimba una ID's kibaoo ! ...duuuh !
Prophet Muhammad and Islam HATE Black People
Ishaq 243:
I heard the Apostle say: Whoever wants to see Satan should look at Nabtal!' He was a black man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks . Allah sent down concerning him: To those who annoy the Prophet there is a painful doom." [9:61] "Gabriel came to Muhammad and said, If a black man comes to you his heart is more gross than a donkey's.'
Next Muhammad was a owner of "black" slaves[/SIZE][/FONT]
Ohh Allah and Muhammad, WHY WHY WHY
Ishaq 374:
The black troops and slaves of the Meccans cried out and the Muslims replied, Allah destroy your sight, you impious rascals.
Angalia nyie mnavyo wapapatikia WAZUNGU. ETI MTUME WENU ALIKUWA MZUNGU, MAKUBWA HAYA.
In Hadith no.63,vol 1, it says: "When a man arrived at the mosque, he asked, "who amongst you is Muhammad?" The companions of the prophet replied "THIS WHITE MAN RECLINING ON HIS ARM".