Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Let us see if it is proper for Africans to accept Islam:

1) "(Mohammed) You are only a Warner and forevery nation there is a guide." (13:7)

The principle given by the Qur’an here proves that as per his ownstandards Mohammed can only be a guide for his nation i.e. Arabs.

2) "And we have sent no messenger but withthe language of his people, that he might make (the message) clear forthem." (14:4)

This principle also proves that as per his own standards Mohammedcan only be a guide for Arabic speaking people.

3) "He is (Allah) who has raised among theunlettered people a messenger from among themselves" (62:2)

So Mohammed claims only to be a prophet for "Umeen" theunlettered people of Arabia. It is also interesting to note here that"Umeen" could also mean people of Makkah (note-4).

4) "And this (Qur’an) is a blessed book which we haverevealed, confirming that which was (revealed) before it, so that you(O prophet)may warn the mother of the cities (Makkah) and those aroundher." (6:92)

"And thus we have revealed to you an Arabic Qur’an, sothat you may warn the mother of the cities (Makkah) and those aroundher."(42:7)

The above verses clearly show that Mohammed claims to have receiveda revelation in Arabic to warn people of Makkah and those living closeto it, of course the Arabic speaking people.

Islam is not for Africans. Islam is for Arabs.

Exactly!!!!!!
 
Don't you know Koran inasema Yesu yupo Mbinguni, hivi huwa unaielewa Koran yenu iliyo jaa shaka weye, au ni wale wale wafuata Mkumbo mnao karirishwa ayats kwa bakora. Pathetic allahic religion.

teh teh teh teh! Halafu nimeshakushtukia!
Mtu mwenye sura nyingi MaxShimba !!
Teh teh teh teh!
Unageuza rangi ya wino lkn unajisahau kubadili lugha "WEYE" teh teh teh!

Elimu yako ya kata inakusumbua sana muchungwaji!
Kitabu chako kimechakachuliwa left right centre!
All you know is kashfa na matusi!
Teh teh teh teh! Haki ya nani nyie ndio sababu kubwa ya kuliangusha kanisa!!

Hebu tuonyeshe uzuri wa ukiristo hata kidogo! Manake mi ninacho ona hapa ni vurugu tu! Hebu angalia biblia inavyo muweka mwanamke ktk jamii!!

Corinthians 11:3
But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God.

1 Corinthians 14:34-36
Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience as also saith the law. And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.

Ephesians 5:22-24
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body.
Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

1 Timothy 2:11-15
Let the woman learn in silence with all subjection. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. For Adam was first formed, then Eve. And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. Notwithstanding she shall be saved in childbearing.

Titus 2:4-5
Teach the young women to be ... obedient to their own husbands, that the word of God be not blasphemed.

1 Peter 3:1
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands

Womans in the bible is a property of a husband!! Or is like an worthless object.

Why max why !!!?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mjasiria,
Kwani hao watakuwa wameolewa na nani?

Utawaowa wewe!
Nakuuliza! Kwanini hujajibu maswali yangu.?
Mbona nyie wakiristo mkiulizwa maswali mnakimbia!? Au andiko ndio linawafundisha hivyo??
 
Last edited by a moderator:
Sio wewe tu walioshindwa kuielewa biblia hata wanaojiita wasomi nao wanatoka kapa kila uchao,huwa nasha ngaa kuwa wanasema hiki ni kitabu kilichoandikwa kwa makosa na watu wa kawaida sana,hivi msomi anashindwaje kuelewa maandishi ya asie msomi?
?

Sasa unamaana huyo mungu wa biblia alifanya makusudi kuifanya biblia kuwa ngumu kueleweka??
Au alipoumba hao wanaadamu alikuwa hajui kuwa uwezo wao wa kuelewa ni mdogo??
Au unataka kusema kuwa ukiristo ni dini ya wasomi wa universities? ?

Hebu weka majibu safari hii! Usikimbie.
 
Sasa unamaana huyo mungu wa biblia alifanya makusudi kuifanya biblia kuwa ngumu kueleweka??

Nani amesema biblia ni ngumu?
Au alipoumba hao wanaadamu alikuwa hajui kuwa uwezo wao wa kuelewa ni mdogo??

Haya maneno nani ameyatamka?
Au unataka kusema kuwa ukiristo ni dini ya wasomi wa universities? ?

Hebu weka majibu safari hii! Usikimbie.

Hapo kwenye bluu ni dini gani hiyo?
 
Utawaowa wewe!
Nakuuliza! Kwanini hujajibu maswali yangu.?
Mbona nyie wakiristo mkiulizwa maswali mnakimbia!? Au andiko ndio linawafundisha hivyo??

Maswali gani?
 
Mkuu mjasiria,
Kwani hao watakuwa wameolewa na nani?
Mkuu Eiyer, huyu jamaa sijui anatoa wapi hizi tafsiri, ila hicho alichoandika na hiyo aya ni vitu viwili tofauti. Hiyo tafsiri aliyotoa haiendani na kilichoandikwa kwa lugha ya kiarabu hata chembe. Angalia tafsiri sahihi hapa chini.

(37:22) (Then will the command be given): "Muster all the wrong-doers[SUP]14[/SUP] and their spouses[SUP]15[/SUP] and the deities whom they used to serve
14. "The unjust people" does not only imply those who committed injustices in the world, but as a Quranic term zalamo implies to every such person, who might have adopted the way of rebellion and disobedience against Allah.
15. The word "azwaj" in the original text might also imply their wives, who were their associates in this rebellion, and also all those people who were rebellious and disobedient like them. Moreover it may also mean that the culprits of different categories will be gathered together in separate groups.

Checki hapa au hapa kwa maelezo zaidi
 
Nani amesema biblia ni ngumu?


Haya maneno nani ameyatamka?


Hapo kwenye bluu ni dini gani hiyo?

Umeona sasa!? Unajirusha rusha na kutoa povu kwa mara ingine tena!
We umetamka hapo juu kuwa biblia hata kwa hao wanaojiita wasomi inawashinda kuilewa!! Na umesema kuwa unatakiwa kuwa makini saaana unapoisoma!

Sasa nakuuliza kwa nini huyo mungu paulo akaifanya kuwa ngumu kiasi hicho ambacho mpaka wasomi wakuuuuubwa kama wewe ndio waielewe na kututafsiria sisi ambao sio wasomi??

Na unatakiwa uwe makini saaana unapoisoma! KWANI BIBLIA INA UMEME AU VIRUSI!?

Ina maana biblia ina ubaguzi!?
 
Maswali gani?

Mi naona hiki kipande hapa kutoka ktk biblia kitakufaa sana.

Proverbs 29:20 (New Living Translation)There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.!!!
 
Duh, pashageuka Nigeria hapa!! Ndo maana hua wanasema "People don't kill people, people with religion kill people" Atheist na non believers wao wanaishi kwa amani tere, cause they never argue who's God is mightier or better. Ila watu wenye dini ndo wauaji wa kwanza, which is the most ironic thing in history, yaan wenye Dini wanaua kuliko hata wasio nayo!!!
 
Duh, pashageuka Nigeria hapa!! Ndo maana hua wanasema "People don't kill people, people with religion kill people" Atheist na non believers wao wanaishi kwa amani tere, cause they never argue who's God is mightier or better. Ila watu wenye dini ndo wauaji wa kwanza, which is the most ironic thing in history, yaan wenye Dini wanaua kuliko hata wasio nayo!!!

Good guy Hii misemo umepata wapi !?
We hujui ethiest na hao wenye kubumba hizi dini za kuabudu wazungu ndio sababu ya kuwa na corruption ktk dunia leo!
Na umwagaji wa damu unasababishwa na majitu yasio penda wal kufuata haki!
 
So, tukiangalia maana ya religion Christianity sio religion? :what:


Nimekwambia lete facts kutoka Biblia tuone, wewe unaleta viattachment vya watu. Unaposema na au zungumza na au jadili Ukristo, kitabu pekee kinacho kubalika ni BIBLIA. Period. Wewe unacho fanya ni sawa na Mwalimu wa Hisabati kufundisha somo lake kwa vitabu vya Historia, wapi na wapi kijana. NDIO MAANA WASIO NA AKILI NI NON THEISTS. WOTE NI MONKEY INCARNATE.
 
Good guy Hii misemo umepata wapi !?
We hujui ethiest na hao wenye kubumba hizi dini za kuabudu wazungu ndio sababu ya kuwa na corruption ktk dunia leo!
Na umwagaji wa damu unasababishwa na majitu yasio penda wal kufuata haki!

Nope atheists believe that there is no God of any sort. Wala hawana dini hata moja and they have never harmed no one brother!! Most Atheist kabisa ni scientists (esp Quantum physicists). Wao wanaamini The universe created itself and no God is responsible, so why kill anyone over something that does not exist! Ila Mtu akishakua tu na dini wakikutana na asiye wa dini yake matatizo(I'm not saying all though, but most of em)
 
Umeona sasa!? Unajirusha rusha na kutoa povu kwa mara ingine tena!
We umetamka hapo juu kuwa biblia hata kwa hao wanaojiita wasomi inawashinda kuilewa!! Na umesema kuwa unatakiwa kuwa makini saaana unapoisoma!

Sasa nakuuliza kwa nini huyo mungu paulo akaifanya kuwa ngumu kiasi hicho ambacho mpaka wasomi wakuuuuubwa kama wewe ndio waielewe na kututafsiria sisi ambao sio wasomi??

1 Kor 1-31
1 Paulo, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu,
2 kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu, pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo kila mahali, Bwana wao na wetu.
3 Neema na iwe kwenu na amani, zitokazo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.
4 Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;
5 kwa kuwa katika kila jambo mlitajirika katika yeye, katika maneno yote, na maarifa yote;
6 kama ushuhuda wa Kristo ulivyothibitika kwenu;
7 hata hamkupungukiwa na karama yo yote, mkikutazamia sana kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo;
8 ambaye atawathibitisha hata mwisho, ili msilaumiwe siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Mungu ni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa Mwanawe, Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu faraka, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.
11 Kwa maana, ndugu zangu, nimearifiwa habari zenu na wale walio wa nyumbani mwa Kloe, ya kwamba iko fitina kwenu.
12 Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.
13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;
15 mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.
16 Tena naliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nalimbatiza mtu ye yote mwingine.
17 Maana Kristo hakunituma ili nibatize, bali niihubiri Habari Njema; wala si kwa hekima ya maneno, msalaba wa Kristo usije ukabatilika.
18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
19 Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
20 Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?
21 Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa.
22 Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima;
23 bali sisi tunamhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upuzi;
24 bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wayunani, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.
25 Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.
26 Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;
27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;
28 tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;
29 mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.
30 Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;
31 kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.

Sasa utaamua umpokee kristo au ubaki na huyo mungu wako ambae ataenda jehanam!!!!!!!!!


Bukhari :: Book 9 :: Volume 93 :: Hadith 481

Narrated Anas:

The Prophet said, "(The people will be thrown into Hell ( Fire) and it will keep on saying, 'Is there any more?' till the Lord of the worlds puts His Foot over it, whereupon its different sides will come close to each other, and it will say, 'Qad! Qad! (enough! enough!) By Your 'Izzat (Honor and Power) and YOUR KARAM (Generosity)!' Paradise will remain spacious enough to accommodate more people until Allah will create some more people and let them dwell in the superfluous space of Paradise.
"

Endelea tu!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom