Kutoa Povu ni kawaida yenu waparokia!
Unaposema kitu always fuatisha na andiko!
Ubishi wako utakuingiza katika adhabu mbaya sana km hutotaka kuuona ukweli!!
Hapa tunaona mungu wako ana njaa!
Jesus Curses the Fig Tree
Jesus was hungry and when he found that the Fig Tree bore no fruit (it was not the season) he cursed it. Later on the disciples noted that the tree had withered. (paraphrased) Mark 11:12-14.-
Na hapa kumbe mungu ana watoto kedekede na wala sio yesu tu!!
Nephilim: The Sons of God
When men began to increase in number on the earth and daughters were born to them, the sons of God saw that the daughters of men were beautiful, and they married any of them they chose. Genesis 6:1
Sasa we endelea kudanganya watu!
Huo uongo utakutokea puani!!
Nioneshe andiko kwenye Quran linalomzungumzia Yesu,usiniletee la Isa,Isa sio Yesu
Yesu kwa kiarabu ni Yeshu sio Isa!
Quraan verse-4:156-159
-"That they rejected Faith; That they uttered against Mary A grave false charge; -That they said (in boast): -'We killed Christ Jesus The son of Mary, The Messenger of Allah.' -But they killed him not, Nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjunction to follow, for of a surety they killed him not. -Nay, Allah raised him up Unto Himself;-and Allah Is Exalted in Power, Wise.
-And there is none of the people of the book (Jews and Christians)-But must believe in him -(Jesus) Before his death;-And on the Day of Judgment-He (Jesus) will be a witness Against them."--
Enyi wakiristo na waparokia!
Mungu atawaadhibu kwa kumsingizia uongo!!
Wacheni uongo!
Watu waliotafsiri Quran ni waongo kama wewe
Isa ni jina la kiarabu ambalo halina tafsiri kama lilivyo jina Allah,kudai Isa ni Yesu ni uongo
Hebu niambie Isa kwa kiswahili ni nini kama utaweza!
Hebu niambie Isa kwa Kigiriki ni nini!
Lakini Yesu inajulukana kwa lugha zote hizo
Hebu nipe huohuo mstari hapo kwa kiswahili kama utakuwa umeandikwa Yesu,labda uubadilishe wewe
Uislam unaenezwa kwa njia 2
Moja:Ugaidi
Mbili:Uongo
Wewe upo kwenye kitengo cha uongo!!!!!!!!
Huko kutokuwa na dini,ndio dini yenyewe,dini maana ni mfumo wa maisha,sasa iweje mtu aseme hana dini.Hao wanaosema hawana dini,hawajuwa nini maana ya dini.Dini,maana yake ni mfumo wa maisha unaojichagulia,huko kusema huna dini ndio dini yenyewe.
Sawa wewe ni mkweli! Na wewe ni muungwana!
Na hao waliotafsiri quraan wamesema uongo kwa sababu wanalipwa sio? Na kuna msomi kama Eiyer yeye anajua kuliko waislamu wooote!
Wewe huwezi kukubali haki hatta siku moja!
Mungu ameshasema ktk quraan!
"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao" quraan (2:120).
Na sisi kufuata mila za kunywa damu na kitimoto na kuabudu masanamu ya mzungu hatuwezi.!
Amesema kweli Mwenyezi Mungu Mkarimu.
Hii inahusiana nini na nilichokisema?
Amesema Mwenyezi Mungu:
وَلَوْ أَنَّهُمْ أَقَامُوا التَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْهِم مِّن رَّبِّهِمْ لَأَكَلُوا مِن فَوْقِهِمْ وَمِن تَحْتِ أَرْجُلِهِم-ۚ مِّنْهُمْ أُمَّةٌ مُّقْتَصِدَةٌ-ۖ وَكَثِيرٌ مِّنْهُمْ سَاءَ مَا يَعْمَلُون----"
Na kama wangalisimamisha Taurati na Injili na yale yaliyoteremshwa kwao kutoka kwa Mola wao (Qur-aan), kwa yakini wangalikula vya juu yao na vya chini ya miguu yao. Lakini wako watu miongoni mwao washikao njia nzuri. Lakini wengi wao wanayoyafanya ni mabaya kabisa."[Al-Maaidah 5: 66]
-Na mwenye kufuata miongozo isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu Mtukufu na Mitume Wake (‘Alayhimus Salaam), basi huyo atakuwa amekhiari njia ya upotofu na ataharibikiwa hapa duniani kwa kutomfuata Muumba wa dunia na vilivyomo.
Mwenyezi Mungu Amewasifu wale wanaowacha miongozo yake kuwa na ni Makafiri, Mafaasiq, na Madhaalim. [Al-Maaidah 5: 44-47]
Rudini kwenye njia iliyo ya haki enyi wagalatia ili mpate kuokoka!
Na hakika adhabu ya mungu ni kali isio na mfano! Wala haina mwisho!
Naomba unijibu haya maswali:
Huyu mungu uliyem-quote anaitwa nani?
N hiyo injili anayoizungumzia ipo kwenye kitabu gani?
Ndugu Eiyer mi na hakika kuwa wewe kujibu hizi hoja ni kutaka kuonyesha kuwa uko sawa! Na mimi/sisi waislamu tuko kwenye makosa!
Lkn nakuomba ujiulize peke yako! Wala huna haja ya kunijibu humu JF!
1.Je! Kama imani yako ni kweli! Mbona kuna mgongano mkubwa saaana ktk kitabu chako.??
2.mamia kwa maelfu ya watu tofauti wakiwemo wasomi wa hali ya juu kabisa. Ma celebrities, wachungaji, mapadri, waalimu na watu wa kawaida wanaacha maisha yao yenye mishahara minono! Na wengine wanatengana na familia zao lkn wanaamua na kuuwanauacha ukristo kila siku! Kila siku na kuingia kwenye uislamu!
3. Juu ya uislamu kutukanishwa na vyombo vya habari dunia kila siku. Na wewe pia kuwaita waongo na magaidi! Lkn hakupunguzi watu kuingia ktk hii dini kila siku! Yaani kweli unadhani takriban 2 billion people leo hii yaaani wote wanaabudu MUNGU MMOJA TU! ni bahati mbaya??
Hebu tafuta nafasi ya kufikiri kidogo!
Kabla hujavuta pumzi yako ya mwisho!! Tafadhali sana! Tena saana! Nakuomba ufikirie tu!
sasa hebu niambie, kama wewe kweli ni mfuasi wa yesu! Hebu angalia hapa chini UONE MWENYEWE JE! ALIVYO FANYA YESU NA WEWE NI SAWA!!?Haya ndio majibu ya maswali yangu niliyokuuliza?
Pia kuhusu watu kuingia uislam kwa wingi kama unavyodai,usidhani hili sisi hatulijui,tunalijua sana na tumeshatahadharishwa zamani kabla Mohammad hajazaliwa soma hii kwa faida yako:
1 Tim 4:1-5
1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;
5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba
Zingatia nilipo bold!
Toka huko kwa mashetani wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
​There is NONE
acha mzaha wewe, watafeli necta. chezea necta wewe ha ha ha haRed: Zikowapi hizo ''collected proof of evolutions'' ? ina maana wewe kama ni mzazi nawe unawafundisha wanao kwamba binadam wametokana na evolution,kwamba hata wewe ni advanced SOKWE tu kutokana na evolutions ? Ndugu yangu mimi ni Theist, naamini katika evolution at micro level,na sio macro level kama waumini wa evolution wanavyotaka kutuaminisha, na amini evolutions katika species moja na si kwamba samaki anaweza kuwa tembo,au tutegemee baada ya miaka millioni moja kutokana na mabadiliko ya tabia nchi binadam wanaweza kubadilika na kuwa Twiga kwa kuwa joto litaongezeka na vyakula kuadimika kwani miti ya miiba itatawala ambayo hustahimili ukame,hivyo katika juhudi za binadam kuendana na ahali halisi shingo itarefuka na kuwa kama twiga tuwaonao leo au mfano wao,(ujinga huu mimi siwezi kumfundisha mwanangu,ama wanangu nawaambia ukweli, evolution hawaezi kuielewa kama inazungumziwa at macro level,wanatakiwa wakariri tu ili waweze kujibu maswali,SIO KWELI nao wanatakiwa kutafakari...
shambani mwa bwana mavuno ni mengi wavunaji ni wachache sana. njia ya upotevuni ni pana na waingio ni wengi sana. imetabiriwa siku za mwisho watakuwepo wapinga kristo wengi, haishangazi kinachotokea. ukristo haujatabiriwa kuzishinda imani zote duniani, kwakuwa haipiganii dunia bali ufalme wa mungu. vita vyetu sio juu ya damu na nyama bali ni dhidi ya falme na mamlaka za shetani na pepo wachafu (majini, mapepo, maruhani, e.tc.) katika ulimwengu wa roho. mungu ni mwema. ndio maana inasisitiza kumpenda hata adui ili tuwe kama baba yetu aliyembinguni anayemwangazia kila mtu mbaya na mwema jua lake.Ndugu Eiyer mi na hakika kuwa wewe kujibu hizi hoja ni kutaka kuonyesha kuwa uko sawa! Na mimi/sisi waislamu tuko kwenye makosa!
Lkn nakuomba ujiulize peke yako! Wala huna haja ya kunijibu humu JF!
1.Je! Kama imani yako ni kweli! Mbona kuna mgongano mkubwa saaana ktk kitabu chako.??
2.mamia kwa maelfu ya watu tofauti wakiwemo wasomi wa hali ya juu kabisa. Ma celebrities, wachungaji, mapadri, waalimu na watu wa kawaida wanaacha maisha yao yenye mishahara minono! Na wengine wanatengana na familia zao lkn wanaamua na kuuwanauacha ukristo kila siku! Kila siku na kuingia kwenye uislamu!
3. Juu ya uislamu kutukanishwa na vyombo vya habari dunia kila siku. Na wewe pia kuwaita waongo na magaidi! Lkn hakupunguzi watu kuingia ktk hii dini kila siku! Yaani kweli unadhani takriban 2 billion people leo hii yaaani wote wanaabudu MUNGU MMOJA TU! ni bahati mbaya??
Hebu tafuta nafasi ya kufikiri kidogo!
Kabla hujavuta pumzi yako ya mwisho!! Tafadhali sana! Tena saana! Nakuomba ufikirie tu!
shambani mwa bwana mavuno ni mengi wavunaji ni wachache sana. njia ya upotevuni ni pana na waingio ni wengi sana. imetabiriwa siku za mwisho watakuwepo wapinga kristo wengi, haishangazi kinachotokea. ukristo haujatabiriwa kuzishinda imani zote duniani, kwakuwa haipiganii dunia bali ufalme wa mungu. vita vyetu sio juu ya damu na nyama bali ni dhidi ya falme na mamlaka za shetani na pepo wachafu (majini, mapepo, maruhani, e.tc.) katika ulimwengu wa roho. mungu ni mwema. ndio maana inasisitiza kumpenda hata adui ili tuwe kama baba yetu aliyembinguni anayemwangazia kila mtu mbaya na mwema jua lake.
Yesu alishasema nira yangu ni laini na mzigo ni mwepesi.akasema bila mimi nyinyi hamwezi lolote. Yesu hasemi kuhubiri kwa mbinu, hila ama uwongo ili kupata wafuasi bali kuhubiri kwa kusimama katika kweli, kibidi hata mauti ikufikie kama iliyomfikia stefano kwa kupigwa mawe. Ndio maana alisema msimwogope yule auae mwili tu, bali yule anaeweza kuangamiza mwili na roho yako katika jehanam ya moto. Kwani uwongo ni dhambi kuu na mshahara wa dhambi ni mauti. Alisisitiza, msiape kwa mbingu wala kwa ardhi, bali kweli yenu na iwe kweli Zaidi ya hapo yanatoka kwa yule mwovu(shetani). Pia anatuasa sisi tuwe nuru ya kumulikia watu wengine, yaani tusiwe na hila bali tuwe mfano kwa matendo yetu na haki. Yesu kristo hakuunda dini bali ni watu waliamua kujiundia dini zao. . Dini hizi ndizo zinazotufunganisha na makundi yanayotofautiana interest na kutokuelewana. Yeye aliagiza watu kwenda ulimwenguni kote kuwahubiri mataifa na kuwafanya wanafunzi wake wakiwabatiza kwa jina la baba, mwana na roho mtakatifu. Wako wasioelewa lakini wapo wanaojua ukuu wa yesu na kazi zake lakini kwasababu mbalimbali za mamlaka walizonazo hapa duniani wanazipenda na kuona bora wampinge. Alishaonya, yule amkanaye mbele za watu na yeye atamkana mbele ya baba yake aliyembinguni, pia yule ampendaye baba yake, ama mama yake kuliko yeye(yesu) hamstahili. Anayetaka kumfuata yesu ajikane nafsi yake kwanza. yesu ameonya giza na nuru havichanganyiki, yaani mungu na shetani hawana shirika. Uwezi kumtumikia shetani na huku unamtumikia mungu. Baada ya yesu kufufuka alihitimisha mbio za shetani pale aliposema shetani ameshahukumiwa, hivyo basi shetani hana nafasi yoyote katika sehemu ya ule mti wa uzima bali wanadamu wamepewa tena bure wajongee kuufikia utimilifu. Na imeandikwa siku za mwisho watu watajitenga na ile kweli na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani. Mchafu na azidi kuwa mchafu na mtakatifu na azidi kutakaswa naja upesi kumlipa kila mtu sawa sawa na matendo yake.
| 2013.09.07 (Hamarweyne, Somalia) - Eighteen people are pulled into pieces by a suicide bomber outside a restaurant. |
| 2013.09.06 (Gujrat, Pakistan) - Two children are among a family of seven Shiites exterminated in their home by Sipah-e-Sahaba gunmen. |
| 2013.09.05 (Gajiram, Nigeria) - Sharia proponents torch a village and shoot fifteen locals to death. |
| 2013.09.05 (Nasr City, Egypt) - A suicide bomber praises Allah and then kills two bystanders. |
| 2013.09.04 (Maaloula, Syria) - At least eight defenders are killed when Islamists storm a Christian village and shell a church. |
| 2013.09.04 (Ghazni, Afghanistan) - A man and his two sons are shot to death in their own home by Islamic hardliners. |