Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Mimi sijakwambia uamini quraan! Lkn kukataa tafsiri za kweli na kuwaita wasomi woote duniani waongo huo ni utoto na ubishi usio na maana!
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa
Ach kutokwa povu we maamuma
Tafsiri ipi ya kweli?
Mimi hapa ninakuambia kuwa hao ni waongo na ushahidi nimekupa,wawko uko wapi?
Kila mtu anajua na kila kitabu kimeandikwa kuwa issa ni yesu!
Lkn wewe una tafsiri unazojua mwenyewe!
Tazama biblia ya kiarabu inamuita nani Jesus! Halafu utapata jibu!
Hizi sio fact ni uongo na nimekuambia hivyo
Si uthibitishe?
Wewe unakataa kwakuwa hutaki kukubali sio kwa sababu una ushahidi wowote
Hata waislam bil 1.5 wanaamini Allah tafsiri yake ni Mungu
Hata Mohammad aliwaambia waislam kuwa dunia ni flat
[h=3]Qur'an 20:53[/h] الذي جعل لكم الارض مهدا وسلك لكم فيها سبلا وانزل من السماء ماء فاخرجنا به ازواجا من نبات شتى Allathee jaAAala lakumu al-ardamahdan wasalaka lakum feeha subulan waanzala mina alssama-imaan faakhrajna bihi azwajan min nabatinshatta
He Who has, made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced diverse pairs of plants each separate from the others.
Qur'an 20:53
Haya huyu hapa mwanasayansi wa kiislam anadai kuwa dunia ni flat Muslim scientist says world is flat and the sun revolves around the earth because Quran says so. - YouTube
Muamini na huyo maana wewe kila kitu unaamini
Nimekupa ushahidi hapo kuwa Isa sio Yesu wewe unabwabwaja tu!
Kumbuka quraan ya kiswahili inatumia majina yoote ya asili kama yalivyo!
Na haina tabia ya kugeuza geuza kama biblia!
Biblia imegeuza wapi?
Biblia imeandikwa kwa zaidi ya ligha 200 dunia nzima
Iweje kitabu kiandikwe kiingereza halafu majina yawe kwa kirumi wakati majina yale yana tafsiri kiingereza?
Huo ni usanii!
Na mwisho wa yote ni wewe ndio utakae potea hapa! Manake karibu wasomi woote duniani wanakubaliana na tafsiri niliokupa mimi!
Sasa ndio maana nikakwambia umejinyonga na kamba yako mwenyewe!
Wasomi wote wa wapi?
Unaposema wasomi unamaanisha nini?
Unajua maana ya wote we maamuma?
Mimi nimekupa fact hapa
Yesu kwa kiarabu sio Isa hao waliotafsiri Biblia ni WAONGO kama wewe
Nilikuambia kuwa dini yenu inaenezwa kwa njia kuu 2
1:Ugaidi
2:Uongo
Wewe uko kwenye kitengo cha uongo ndo maana nimekuambia unipe ushahidi unajibu mambo ya ajabu ajabu tu!