Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Mimi sijakwambia uamini quraan! Lkn kukataa tafsiri za kweli na kuwaita wasomi woote duniani waongo huo ni utoto na ubishi usio na maana!


Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa
Ach kutokwa povu we maamuma

Tafsiri ipi ya kweli?
Mimi hapa ninakuambia kuwa hao ni waongo na ushahidi nimekupa,wawko uko wapi?
Kila mtu anajua na kila kitabu kimeandikwa kuwa issa ni yesu!
Lkn wewe una tafsiri unazojua mwenyewe!

Tazama biblia ya kiarabu inamuita nani Jesus! Halafu utapata jibu!

Hizi sio fact ni uongo na nimekuambia hivyo
Si uthibitishe?
Wewe unakataa kwakuwa hutaki kukubali sio kwa sababu una ushahidi wowote

Hata waislam bil 1.5 wanaamini Allah tafsiri yake ni Mungu
Hata Mohammad aliwaambia waislam kuwa dunia ni flat

[h=3]Qur'an 20:53[/h] الذي جعل لكم الارض مهدا وسلك لكم فيها سبلا وانزل من السماء ماء فاخرجنا به ازواجا من نبات شتى Allathee jaAAala lakumu al-ardamahdan wasalaka lakum feeha subulan waanzala mina alssama-imaan faakhrajna bihi azwajan min nabatinshatta
He Who has, made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced diverse pairs of plants each separate from the others.
Qur'an 20:53



Haya huyu hapa mwanasayansi wa kiislam anadai kuwa dunia ni flat Muslim scientist says world is flat and the sun revolves around the earth because Quran says so. - YouTube
Muamini na huyo maana wewe kila kitu unaamini

Nimekupa ushahidi hapo kuwa Isa sio Yesu wewe unabwabwaja tu!


Kumbuka quraan ya kiswahili inatumia majina yoote ya asili kama yalivyo!
Na haina tabia ya kugeuza geuza kama biblia!

Biblia imegeuza wapi?
Biblia imeandikwa kwa zaidi ya ligha 200 dunia nzima
Iweje kitabu kiandikwe kiingereza halafu majina yawe kwa kirumi wakati majina yale yana tafsiri kiingereza?
Huo ni usanii!

Na mwisho wa yote ni wewe ndio utakae potea hapa! Manake karibu wasomi woote duniani wanakubaliana na tafsiri niliokupa mimi!
Sasa ndio maana nikakwambia umejinyonga na kamba yako mwenyewe!

Wasomi wote wa wapi?
Unaposema wasomi unamaanisha nini?
Unajua maana ya wote we maamuma?
Mimi nimekupa fact hapa
Yesu kwa kiarabu sio Isa hao waliotafsiri Biblia ni WAONGO kama wewe

Nilikuambia kuwa dini yenu inaenezwa kwa njia kuu 2
1:Ugaidi
2:Uongo

Wewe uko kwenye kitengo cha uongo ndo maana nimekuambia unipe ushahidi unajibu mambo ya ajabu ajabu tu!
 
Yesu ni jina tu kama majina mengine inategemea unamuongelea Yesu yupi? Aliyetabiriwa na manabii, akaja duniani, akafa, akazikwa, akafufuka kisha akapaa au unamwongelea Yesu yupi, wako wengi. Lazima mtu awe wazi/makini anaposema Yesu au Jesus anamaanisha kitu gani au nani?

maneno yako ni kweli kuwa yesu ni jina tu!
Hapo ndipo utakapo tambua ni nani mwenye kusema uongo na kubuni vitu bila ushahidi wala mantiki!
Mi namuongelea yesu mwana wa mariam aliyezaliwa bila baba na akatangaza jina la MUNGU! na yeye mwenyewe akisali na kuabudu MUNGU MMOJA TU! Na akiwaamrisha wanafunzi wake kuabudu MUNGU MMOJA! ambae mara nyingi alikuwa anamuita kwa sifa ya BABA ALIYE JUU! AU BABA MTUKUFU! AU BABA ALIYE MBINGUNI.
Na ni yule YESU ambae alikuwa nabii na mtumishi wa MUNGU MKUU.
 
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa
Ach kutokwa povu we maamuma

Tafsiri ipi ya kweli?
Mimi hapa ninakuambia kuwa hao ni waongo na ushahidi nimekupa,wawko uko wapi?


Hizi sio fact ni uongo na nimekuambia hivyo
Si uthibitishe?
Wewe unakataa kwakuwa hutaki kukubali sio kwa sababu una ushahidi wowote

Hata waislam bil 1.5 wanaamini Allah tafsiri yake ni Mungu
Hata Mohammad aliwaambia waislam kuwa dunia ni flat

[h=3]Qur'an 20:53[/h] الذي جعل لكم الارض مهدا وسلك لكم فيها سبلا وانزل من السماء ماء فاخرجنا به ازواجا من نبات شتى Allathee jaAAala lakumu al-ardamahdan wasalaka lakum feeha subulan waanzala mina alssama-imaan faakhrajna bihi azwajan min nabatinshatta
He Who has, made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced diverse pairs of plants each separate from the others.
Qur'an 20:53



Haya huyu hapa mwanasayansi wa kiislam anadai kuwa dunia ni flat Muslim scientist says world is flat and the sun revolves around the earth because Quran says so. - YouTube
Muamini na huyo maana wewe kila kitu unaamini

Nimekupa ushahidi hapo kuwa Isa sio Yesu wewe unabwabwaja tu!




Biblia imegeuza wapi?
Biblia imeandikwa kwa zaidi ya ligha 200 dunia nzima
Iweje kitabu kiandikwe kiingereza halafu majina yawe kwa kirumi wakati majina yale yana tafsiri kiingereza?
Huo ni usanii!



Wasomi wote wa wapi?
Unaposema wasomi unamaanisha nini?
Unajua maana ya wote we maamuma?
Mimi nimekupa fact hapa
Yesu kwa kiarabu sio Isa hao waliotafsiri Biblia ni WAONGO kama wewe

Nilikuambia kuwa dini yenu inaenezwa kwa njia kuu 2
1:Ugaidi
2:Uongo

Wewe uko kwenye kitengo cha uongo ndo maana nimekuambia unipe ushahidi unajibu mambo ya ajabu ajabu tu!

Sasa mtu mwenye elimu kama ya kwako si kama kuongea na mti tu!

Aliyekufundisha tafsiri kuwa "..HE MADE THE EARTH SPREAD OUT" maana yake ni "FLAT" ni padri gani!!?

Sasa mtu huna hata aibu kidogo jamani!
Hebu nenda kwenye dictionary, halafu tafuta neno"spread out" uone kama utapata "FLAT"!!

JALAFU UNASEMA WALIO TAFSIRI BIBLIA NA WALIO TAFSIRI QURAAN WOTE WAONGO!!

sasa wewe ni mtu wa kuelekezwa kitu ukaelewa kweli!!??

UKIRISTO WA KUDANDIA BILA ELIMU NI MBAYA SANA!!
 
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa
Ach kutokwa povu we maamuma

Tafsiri ipi ya kweli?
Mimi hapa ninakuambia kuwa hao ni waongo na ushahidi nimekupa,wawko uko wapi?


Hizi sio fact ni uongo na nimekuambia hivyo
Si uthibitishe?
Wewe unakataa kwakuwa hutaki kukubali sio kwa sababu una ushahidi wowote

Hata waislam bil 1.5 wanaamini Allah tafsiri yake ni Mungu
Hata Mohammad aliwaambia waislam kuwa dunia ni flat

[h=3]Qur'an 20:53[/h] الذي جعل لكم الارض مهدا وسلك لكم فيها سبلا وانزل من السماء ماء فاخرجنا به ازواجا من نبات شتى Allathee jaAAala lakumu al-ardamahdan wasalaka lakum feeha subulan waanzala mina alssama-imaan faakhrajna bihi azwajan min nabatinshatta
He Who has, made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced diverse pairs of plants each separate from the others.
Qur'an 20:53



Haya huyu hapa mwanasayansi wa kiislam anadai kuwa dunia ni flat Muslim scientist says world is flat and the sun revolves around the earth because Quran says so. - YouTube
Muamini na huyo maana wewe kila kitu unaamini

Nimekupa ushahidi hapo kuwa Isa sio Yesu wewe unabwabwaja tu!




Biblia imegeuza wapi?
Biblia imeandikwa kwa zaidi ya ligha 200 dunia nzima
Iweje kitabu kiandikwe kiingereza halafu majina yawe kwa kirumi wakati majina yale yana tafsiri kiingereza?
Huo ni usanii!



Wasomi wote wa wapi?
Unaposema wasomi unamaanisha nini?
Unajua maana ya wote we maamuma?
Mimi nimekupa fact hapa
Yesu kwa kiarabu sio Isa hao waliotafsiri Biblia ni WAONGO kama wewe

Nilikuambia kuwa dini yenu inaenezwa kwa njia kuu 2
1:Ugaidi
2:Uongo

Wewe uko kwenye kitengo cha uongo ndo maana nimekuambia unipe ushahidi unajibu mambo ya ajabu ajabu tu!
Hebu pata faida hapa ewe mgalatia!!

Hii ni historia kamili ya uzao wa jesus kuanzia babu yake!

Watch "who is Jesus [MUST WATCH]" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=IeTls2p5p_Y&feature=youtube_gdata_player
 
Umeandika maneni meeeengi!
Na kila mara unarudia kusema kuwa " ufalme wa baba" baba yetu" mungu baba"n.k
Wakati huohuo unamuita yesu "mungu"

2013! Jaribu kutoka nje ya box hata kwa siku moja! Halafu soma andiko lako. Uone mwenyewe litakavyo kuchanganya!

Yesu mmoja! Humo humo anaitwa mungu!
Na huyo yesu humohumo anaomba kwa mungu!
Mara yesu akiwafundisha wanafunzi wake kumuheshimu na kumuabudu mungu mkuu!
Mara yesu anaitwa mungu aliyekuwepo!

Kila mara vinakaliwa vikao na makanisa makuu na kuaibadili biblia na kuweka sheria mpya!
Hapa juzi tumeona kuwa papa mwenyewe amekubali kuwa hakuna kosa wanawake kuw makadinali! Wakati biblia inakataa katakata! Ndoa za kiliberali! Biblia inakataza. Viongozi wa makanisa wanaongelea suala la kuihalalisha na hivi tunavyoongea wameshaanza kuitumia biblia hio hio kuhalalisha wanamme kuoana!

Sasa wewe kariri tu hayo maandiko! Lkn ukweli unauona mwenyewe!
Dini na imani ya haki haina haja ya kuchakachuliwa hata siku moja!
Kama maandiko haya yametoka kwa mungu basi hayawezi kugongana, mengine yakataze na mengine yakubali!

Hutopata faida yyt kuufahamu ukweli baada ya kufa!
Ukweli uko waazi kabisa! Lkn kiburi na kutafuta maslahi ya huu ulimwengu vinawafanya wengi vipofu!
Mauti hayako bali ndugu! Amka sasa kabla muda haujaisha!
yesu ameagiza enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu...wakiwabatiza kwa kufuata utatu mtakatifu. we are jesus students for god sake. fundisho la trinity linahitaji muda sana, lakini ukae ukijua kwa vyovyote vile yesu ndiye mwenye mamlaka yote duniani na mbinguni. na kwa kutununua na damu yake pale msalabani tunapata wokovu. na atarudi kuhukumu. hivyo ukimwita mungu ama binadamu tu, fahamu ya kwamba amri za mungu zimeandikwa katika kila dhamiri ya kila mtu, hivyo dhamiri yako itakuwa shahidi wako siku ile kama ilikuambia ukweli ukaujua na kuukataa kwa makusudi ama unachoamini ni kweli. hayo mambo yakubadilisha maandiko yalishasemwa ya kwamba atakaye punguza atapunguziwa sehemu ya ule mti wa uzima na atakayezidisha ataongezewa yale mapigo yaliyoandikwa. sishauri kuisoma biblia kama kitabu kilichoandikwa na wanafasihi, kwani waandishi wazamani hawakwa wamebobea katika lugha katika viwango vyetu vya kuweza kuchakachua maneno katika maana zaidi ya moja, baki ipo haja ya kuielewa. fahamu sifa za yesu kisha jaribu kupata ufumbuzi yey atakuwa nani.
 
Mkuu mbokaleo, hapo umepigilia msumari wa moto kwenye kidonda tehe tehe tehe!

Tunasema goli moja point tatu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbokaleo, hapo umepigilia msumari wa moto kwenye kidonda tehe tehe tehe!

Tunasema goli moja point tatu!

Wewe ni kipofu na huyo mwenzako nae ni kipofu
Endeleeni kwenda halafu mtakapoishia msitulaum!!!!!!!!!!!
 
Unaweza kuwa umedandia treni kwa mbele
Jusus-kiingereza
Yesu-kiswahili
Yeshu-kiarabu
Ihesus-kigiriki
Yeshua-kiebrania

Sasa niambie Isa ni nani/nini?

.........unajua kiarabu au unaropoka tu !..........Jesus ni Yesu ?............kwa nini libadilike ?
kuna mtu kaitwa katika Biblia "Emmanuel" huyu nae ni nani ??:whistle:
 
Kufanya majadiliano na waislam inahitaji moyo sana

Ok, Yesu ni Jesus hebu niambie nimejinyongaje na kamba yangu mwenyewe?

Angalia maelezo yangu hapa chini na angalia nilipo bold ili uelewe maana huenda hujanielewa



Baada ya kufafanua namna jina la Yesu linavyobadilika kutoka lugha moja kwenda nyingine nilimuuliza Ally Kombo swali kuwa Isa ni nini/nani kwasababu Isa ni neno la kiarabu na halina maana ya Yesu kwa kiswahili wala sio Jesus kwa kiingereza na nilikuanbia kuwa waliotafsiri Quran kutoka kiarabu kwenda kiingereza walikosea kutafsiri Isa kuwa Jesus kwa kuwa Isa sio Jesus

Nimekuthibitishia hilo kwa kukupa tafsiri zaidi 3 za jina la Yesu kwa lugha tofauti

Yesu kwa kiarabu sio Isa
Yesu kwa kiarabu ni Yeshu

Sasa niambie Isa maana yake nini kwa kiswahili?

....Kiarabu unakijua ?.............nataka kujua kwa nini Yesu ibadilike kuwa Jesus ??............katika Biblia kunatajwa 'Emmanueli' huyu ni nani ??? Eiyer ?:whistle:
 
Mkuu mbokaleo, hapo umepigilia msumari wa moto kwenye kidonda tehe tehe tehe!

Tunasema goli moja point tatu!

Nafurahi kukuona mkuu Tayeb waparokia chembe kidevu!
Teh teh teh teh!!

Hawa waparokia Wabishi kama wamelishwa mwarobani!!

Lzm twende nao adoado mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Mbona "like carpet" hujaiweka we maamuma?



Ndio maana nakuambia wewe unakurupuka na hujui unachoandika
Umerithi uongo kutoka kwa waongo!

Hio "kama carpet " haionyeshi chochote kuhusu dunia kuwa flat.!! Hio ni imaginations zako!!

Elimu za kata ni balaa kuu!
We unadandia maneno bila kusoma mwenyewe!

Labda nikuulizw swali fupi hapa!

JE NI NANI ALIYEANDIKA AGANO JIPYA!!

YAANI ALIYEKUSANYA HAYO MANENO NA KUYAWEKA KWENYE KITABU! HALAFU AKALIITA AGANO JIPYA!
 
....Kiarabu unakijua ?.............nataka kujua kwa nini Yesu ibadilike kuwa Jesus ??............katika Biblia kunatajwa 'Emmanueli' huyu ni nani ??? Eiyer ?:whistle:

Nimeshakujibu yote haya!!!!!!!!!!
 
yesu ameagiza enendeni ulimwenguni mwote mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu...wakiwabatiza kwa kufuata utatu mtakatifu. we are jesus students for god sake. fundisho la trinity linahitaji muda sana, lakini ukae ukijua kwa vyovyote vile yesu ndiye mwenye mamlaka yote duniani na mbinguni. na kwa kutununua na damu yake pale msalabani tunapata wokovu. na atarudi kuhukumu. hivyo ukimwita mungu ama binadamu tu, fahamu ya kwamba amri za mungu zimeandikwa katika kila dhamiri ya kila mtu, hivyo dhamiri yako itakuwa shahidi wako siku ile kama ilikuambia ukweli ukaujua na kuukataa kwa makusudi ama unachoamini ni kweli. hayo mambo yakubadilisha maandiko yalishasemwa ya kwamba atakaye punguza atapunguziwa sehemu ya ule mti wa uzima na atakayezidisha ataongezewa yale mapigo yaliyoandikwa. sishauri kuisoma biblia kama kitabu kilichoandikwa na wanafasihi, kwani waandishi wazamani hawakwa wamebobea katika lugha katika viwango vyetu vya kuweza kuchakachua maneno katika maana zaidi ya moja, baki ipo haja ya kuielewa. fahamu sifa za yesu kisha jaribu kupata ufumbuzi yey atakuwa nani.

Kama unasema" DAMU YA YESU IMETOKA KWA AJILI YA DHAMBI YETU"

MBONA HAPOHAPO BIBLIA INASEMA" KILA MTOTO ANAZALIWA NA DHAMBI??"

AISEE MNATUCHANGANYA!!??
 
Hio "kama carpet " haionyeshi chochote kuhusu dunia kuwa flat.!! Hio ni imaginations zako!!

Elimu za kata ni balaa kuu!
We unadandia maneno bila kusoma mwenyewe!

Labda nikuulizw swali fupi hapa!

JE NI NANI ALIYEANDIKA AGANO JIPYA!!

YAANI ALIYEKUSANYA HAYO MANENO NA KUYAWEKA KWENYE KITABU! HALAFU AKALIITA AGANO JIPYA!

Nikikuambia wewe ni kilaza unakataa

Kwani biblia ni nini?
 
Naomba ujue kwamba siiamini Quran kuwa ni kitabu kitakatifu achilia mbali kuwa kimeandikwa na Mungu,hivyo unapojibu swali langu achana kabisa na hicho kitabu labda nikuulize swali ambalo majibu yake utayatoa humo

Swali nililokuuliza jibu lake halitoki kwenye Quran kama vile ambavyo swali langu sijalitoa kwenye Biblia au Quran

Unaponiwekea mistari ya kitabu ambacho mimi najua kimetoka kwa mtu tu mmoja aliyejidai amekutana na Mungu na ameandika mambo mengi tu ya uongo kama hili http://www.faithfreedom.org/Articles/MohammadAsghar50418.htm sitaweza kukuelewa ndugu yangu

Naomba uniambie ni nini tafsiri ya Isa kwa kiswahili au lugha nyingine yoyote unayoijua tofauti na kiarabu!

........kuna post zako nyingine umequote Qur'an, ulikuwa na maana gani kama hukitambui kuwa ni Kitabu cha dini ?
hebu tupe tafsiri ya Yesu kwa kilugha chenu ???😕:confused2:
 
Back
Top Bottom