Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Huenda hukusoma nilichoandika au ulisoma halafu hukuelewa

Nilikuambia kwamba kuna watu wanafanya mambo kwa kisingizio cha dini wakati dini zenyewe wanazodai kuzitetea ziko kinyume nao

Hayo makanisa yaliyokuwa yanawachoma watu moto yalikuwa na ngenda yao na sio kumtetea Mungu kwakuwa Mungu mwenyewe haitaji watu wamtetee kwa kuuwa watu wengine

Hivyo vita vya kwenye biblia ningekushauri uachane nanvyo kwakuwa havipo kama unavyodhani wewe,na kama vipo kama unavyodhani wewe ni bora akaleta ushahidi hapa

Nimekupa mfano wa dini zinazouwa kwa mujibu wadini hizo na sijui nikitu gani kinakufanya ulazimishe mambo ambayo hayapo!

filepicker%2FSmUkT70KSkmYzsqFbe7W_white_flag.jpg
 
A Liar
We know indeed that it grieves thee the things they say; yet it is not thee they cry lies to, but the evildoers - it is the signs of God that they deny. S. 6:33 Arberry

And if they call you a liar
And if they call you a liar, truly apostles before you were called liars, and to Allah are all affairs returned. S. 35:4 Shakir; cf. Q. 34:8; 42:24
, say: My work is for me and your work for you; you are clear of what I do and I am clear of what you do. S. 10:41 Shakir

A Forger/Plagiarizer
And when it is said to them, 'What has your Lord sent down?' they say, 'Fairy-tales of the ancients.' S. 16:24 Arberry
And when We change a Verse [of the Qur'an, i.e. cancel (abrogate) its order] in place of another
Nay, they say: "These (revelations of the Qur'an which are inspired to Muhammad) are mixed up false dreams! Nay, he has invented it! Nay, he is a poet! Let him then bring us an Ayah (sign as a proof) like the ones (Prophets) that were sent before (with signs)!" S. 21:5 Hilali-Khan

But the misbelievers say: "Naught is this but a lie which he has forged, and others have helped him at it." In truth it is they who have put forward an iniquity and a falsehood. And they say: "Tales of the ancients, which he has caused to be written: and they are dictated before him morning and evening." Say: "The (Qur'an) was sent down by Him who knows the mystery (that is) in the heavens and the earth: verily He is Oft-Forgiving, Most Merciful." S. 25:4-6 Y. Ali; cf. Q. 6:25; 8:31; 10:38; 11:13, 35; 16:24; 83; 27:68; 46:8-9, 17; 52:33; 68:15; 83:13
, and Allah knows the best of what He sends down, they (the disbelievers) say: "You (O Muhammad) are but a Muftari! (forger, liar)." Nay, but most of them know not. S. 16:101 Hilali-Khan

Tell that to Mbokaleo. I'm not a Muslim.
 

THIS IS HOW YOUR god OF BIBLE COMMUNICATES!!


1."I do not permit a woman to teach or to have authority over a man. She must be quiet." (1 Timothy 2:12)
2."Go, now, attack Amalek, and deal with him and all that he has under the ban. Do not spare him, but kill men and women, children and infants, oxen and sheep, camels and asses." (1 Samuel 15:3)

Ushasikia wavyotetea mauaji ya watoto? Eti sasa wakikua wakiamua kulipiza kisasi, ndomana mungu aliagiza wauawe tu.

Siku niliyosikia hiyo sababu, it was a point of no return for me.

Sijui kama jibu la Eiyer litakuwa sawa au tofauti. Soo many possible interpretations for a verse,AND WHEN YOU DARE INTERPRET IT THE WRONG WAY U DEAD :Cry::help:
 
M Mkwawa na huyo mwiislam mwenzako mmevamia thread na mnaichakachua kwa kuposti u.puuzi na uj.inga wenu wa kutukanana na kukashifiana,....i.e mmepotosha mwelekeo wa thread kwa ujuha na ufia dini wenu.,..please can you stop...!


Huyo Muislam sio mwenzangu.

[h=1]How many people has atheism killed?[/h]Joseph Stalin, Atheist: 20 million plus dead
Mao-Tse-Tung, Atheist: 40 million plus dead
Adolf Hitler, Atheist: 10 million plus dead
Pol Pot, Atheist: 2 million dead
Kim-Il-Sung, Atheist: 5 million dead

Just to name a few.
Fidel Castro, Atheist: 1 million dead
 
Mpaka utoke kifungoni utakua umeipata
Wewe huyu humuoni?

Quran (2:216) - "Fighting is prescribed for you, and ye dislike it. But it is possible that ye dislike a thing which is good for you, and that ye love a thing which is bad for you. But Allah knoweth, and ye know not."

Na hii ayat ndio inawapa nguvu magaid akina Boko Haram:

Quran (4:74) - "Let those fight in the way of Allah who sell the life of this world for the other. Whoso fighteth in the way of Allah, be he slain or be he victorious, on him We shall bestow a vast reward."

Yaani hii dini yenu hovyo sana,asiekubali dini yenu hii ndio adhabu yake:

Quran (4:89) - "They but wish that ye should reject Faith, as they do, and thus be on the same footing (as they): But take not friends from their ranks until they flee in the way of Allah (From what is forbidden). But if they turn renegades, seize them and slay them wherever ye find them; and (in any case) take no friends or helpers from their ranks."

Mistari ya hovyo ni mingi sana kwenye kitabu hiki cha Mohammad aliyejipa cheo chaa uungu!!!!!!!!!!!!!!!
Yaani nyie bana!!!!!!!!

Amma kweli kipofu ni kipofu tu mpaka siku ya mwisho!!
Yaani wewe unataka kulinganisha aya inayoruhusu watu kupigana vita kwa ajili ya kujilinda wao na imani yao,
Na mistari ktk biblia ianayo ruhusu watu kubamiza watoto wachanga kwenye mawe kwa kukipiza kisasi!!?

Amma kweli biblia haikukosea kusema

Proverbs 29:20 (New Living Translation)There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.!!!

Uparokia na ukiristo ni kaazi kwelikweli!!
 
Huyo Muislam sio mwenzangu.

How many people has atheism killed?

Joseph Stalin, Atheist: 20 million plus dead
Mao-Tse-Tung, Atheist: 40 million plus dead
Adolf Hitler, Atheist: 10 million plus dead
Pol Pot, Atheist: 2 million dead
Kim-Il-Sung, Atheist: 5 million dead

Just to name a few.
Fidel Castro, Atheist: 1 million dead

THOSE NUMBERS HAS NO AUTHENTIC SOURCES AT ALL!!

WATCH HERE FROM OUR LOVING BIBLE!! HOW MANY PEOPLE THE god OF BIBLE KILLED!!



I kill ... I wound ... I will make my arrows drunk with blood, and my sword shall devour flesh. -- Deuteronomy 32:39-42

2391421 people!


LOOK HERE!!

Dwindling In Unbelief: How many has God killed?

[h=2]Who, how, why did god kill people in the bible?[/h]

Lot's wife for looking back- Gen.19:26
Er who was "wicked in the sight of the Lord"- Gen.38:7, 1 Chr.2:3,
Onan for spilling his seed- Gen.38:10,
Pharaoh and 600 chariot captains (plus his entire army) - Ex.14:8
For dancing naked around Aaron's golden calf- Ex.32:27-28, 35,
Aaron's sons for offering strange fire before the Lord- Lev.10:1-3, Num.3:4, 26:61
A blasphemer- Lev.24:10-23
A man who picked up sticks on the Sabbath- Num.15:32-36,
Korah, Dathan, and Abiram (and their families)- Num.16:27,
Burned to death for offering incense- Num.16:35, 26:10,
For complaining- Num.16:49,
For "committing whoredom with the daughters of Moab" - Num.25:9,
Midianite massacre (32,000 virgins were kept alive)- Num.31:1-35,
God tells Joshua to stoned to death Achan (and his family) for taking the accursed thing.- Joshua 7:10-12, 24-26,
God tells Joshua to attack Ai and do what he did to Jericho (kill everyone).- Joshua 8:1-25,
Joshua kills 5 kings and hangs their dead bodies on trees- Joshua 10:24-26
God delivered Canaanites and Perizzites- Judges 1:4
Ehud delivers a message from God: a knife into the king's belly- Jg.3:15-22,
God delivered Moabites- Jg.3:28-29,
God forces Midianite soldiers to kill each other.- Jg.7:2-22, 8:10,
The Spirit of the Lord comes on Samson- Jg.14:19,
The Spirit of the Lord comes mightily on Samson- Jg.15:14-15,
Samson's God-assisted act of terrorism- Jg.16:27-30,
"The Lord smote Benjamin"- Jg.20:35-37,
More Benjamites- Jg.20:44-46
For looking into the ark of the Lord- 1 Sam.6:19
God delivered Philistines- 1 Sam.14:12
Samuel (at God's command) hacks Agag to death- 1 Sam.15:32-33
"The Lord smote Nabal."- 1 Sam.25:38
Uzzah for trying to keep the ark from falling- 2 Sam.6:6-7, 1 Chr.13:9-10
David and Bathsheba's baby boy- 2 Sam.12:14-18
Seven sons of Saul hung up before the Lord- 2 Sam.21:6-9
From plague as punishment for David's census (men only; probably 200,000 if including women and children)- 2 Sam.24:15, 1 Chr.21:14
A prophet for believing another prophet's lie- 1 Kg.13:1-24
Religious leaders killed in prayer contest- 1 Kg.18:22-40
God delivers the Syrians into the Israelites' hands- 1 Kg.20:28-29
God makes a wall fall on Syrian soldiers- 1 Kg.20:30
God sent a lion to eat a man for not killing a prophet- 1 Kg.20:35-36
Ahaziah is killed for talking to the wrong god.- 2 Kg.1:2-4, 17, 2 Chr.22:7-9
Burned to death by God- 2 Kg.1:9-12
God sends two bears to kill children for making fun of Elisha's bald head- 2 Kg.2:23-24
Trampled to death for disbelieving Elijah- 2 Kg.7:17-20
Jezebel- 2 Kg.9:33-37
God sent lions to kill "some" foreigners - 2 Kg.17:25-26
Sleeping Assyrian soldiers- 2 Kg.19:35, Is.37:36
Saul- 1 Chr.10:14
God delivers Israel into the hands of Judah- 2 Chr.13:15-17
Jeroboam- 2 Chr.13:20
"The Lord smote the Ethiopians."- 2 Chr.14:9-14
God kills Jehoram by making his bowels fall out- 2 Chr.21:14-19
Judean soldiers- 2 Chr.28:6
Ezekiel's wife- Ezek.24:15-18
Ananias and Sapphira- Acts 5:1-10
Herod- Acts 12:23

Just for fun here too is a video in which the first part deals with the topic of biblical killings. It seems that YHWH was a veritable killing machine
 
THOSE NUMBERS HAS NO AUTHENTIC SOURCES AT ALL!!

WATCH HERE FROM OUR LOVING BIBLE!! HOW MANY PEOPLE THE god OF BIBLE KILLED!!
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]al-Qaeda Vows to Slaughter Syrian Christians...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]McCain: Allah Akbar is A-OK[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Woman Converted to Islam Without Her Knowledge...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Swedish Town Reels from 'Allah is Gay' Scandal...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muslim Students Survive Brush with Bacon...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Obama Congratulates Pro-Sharia Organization...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CAIR Praises Firing of Walmart Worker Despite Apology...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Assassination Attempt on Swedish Cartoonist...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]British Soldier Gets Sex Change, Embraces Islam, Finds Husband[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Polio Poised to Soar in Wake of Taliban's Targeted Attacks...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Syrian Rebels Shell Hospital 'with Allah's Permission'...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Canadian Cleric: Amputation Cheaper than Jail...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Six Shiite Children Slaughtered by Sunni Gunmen...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8-Year-Old Seminary Student Molested by Imam...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Gambian Women Flee Genital Mutilation...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UNRWA Posts Pic of Infamous Bombmaker on Site...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iran Seeks to Stop Christianity Crisis...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afghan Police Fish with Rockets - 6 Children Killed...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Palestinians Demand Gas Masks from Israel...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Clerics Take Down School Principal with Blasphemy Charge...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11-Year-Old Chained, Sold into 'Marriage' by Father...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD](Italy) Man Beats Wife According to 'Rules of Islam'...[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Syrian Rebels Shell Hospital 'with Allah's Permission'...[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]al-Qaeda Vows to Slaughter Syrian Christians...[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ushasikia wavyotetea mauaji ya watoto? Eti sasa wakikua wakiamua kulipiza kisasi, ndomana mungu aliagiza wauawe tu.

Siku niliyosikia hiyo sababu, it was a point of no return for me.

Sijui kama jibu la Eiyer litakuwa sawa au tofauti. Soo many possible interpretations for a verse,AND WHEN YOU DARE INTERPRET IT THE WRONG WAY U DEAD :Cry::help:

Sina hakika wewe ni ktk waparokia au atheist!! lkn nataka kukuliza kitu hapa!!

kwa nini hawa wakiristo wanapoonyeshwa uovu na ruhsa ya kufanya mauwaji ya kinyama kwenye biblia,

badala ya kutoa maelekezo wanageuza topic kabisa?? why?
and it happens to all of them!!
 
Najua Allah ni nini!



Sio wewe tu walioshindwa kuielewa biblia hata wanaojiita wasomi nao wanatoka kapa kila uchao,huwa nasha ngaa kuwa wanasema hiki ni kitabu kilichoandikwa kwa makosa na watu wa kawaida sana,hivi msomi anashindwaje kuelewa maandishi ya asie msomi?

Nirudi kwenye swali lako:
Unaposoma biblia unahitaji uwe makini sana kama unataka uielewe
Hapo yesu alikuwa anazungumza na watu ambao hawajafika mbinguni na mara nyingi wamekuwa wakimbishia kuhusu yale aliyokuwa anawaambia hivyo hakukosea kuwaambia hakuna aliepanda mbinguni kwani kati yao hakuna aliyepanda kwenda huko isipokuwa Yesu mwenyewe
Hapo hakumaanisha kuwa tangu dunia iumbwe hakuna aliyeenda mbinguni[rejea kauli yake alipokuwa anawaambia kuwa hakuna aliyeisikia sauti ya Mungu wakati Musa alizungumza na Mungu]




Hapa ni kwamba ni kweli Mungu hamjaribu yoyote bali kila mmoja hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe,lakini unatakiwa ujue kuwa kuna mambo Mungu anaweza kuyafanya kwa sababu maalum na mahali maalum
Mungu kumjaribu Ibrahimu kulikuwa kuna sababu maalum,pia kuna mambo Mungu aliyakataza na akaja kuyaruhusu baadhi na mengine aliyaruhusu nyakati maalum na kwa watu maalum tu[rejea Amri ya Mungu kukataza kujifanyia sanam na alipomruhusu Musa kutengeneza nyoka wa shaba]


Rejea jibu langu la swali lako la pili!


Kwenye haya maswali yako kuna utata
Naomba unithibitishie kuwa haya matukio yalitokea wakati mmoja na yalihusu mtu yuleyule
Majina ya Wayahudi yalikuwa yanafanana na kujirudiarudia hivyo unaweza kujichanganya ukidhani biblia imejichanganya[rejea Yuda iskariote na Yuda mwaadilifu wote hawa walikuwa wanafunzi wa Yesu,Yohana mbatizaji na Yohana mwanafunzi wa Yesu,Sauli mfalme na Sauli aliekuja kuitwa Paulo n.k] unapotoa maandiko kufuatia majina inahitajika utoe maelezo ya kutosha kuthibitisha kuwa yanazungumzia mtu mmoja lakini matukio yanakinzana!


bubbs biblia inaeleweka kama utataka kuielewa
Hapo kuna matukio mawili tofauti
Zaburi inazungumzia hukumu,kama ingekuwa leo tungesema ni hukumu ya kimahakama,hakuna anaechukia mtuhumiwa wake aliemtendea uovu akihukumiwa kwa haki
Mithali inazungumzia kitu kingine na nadhani unajua ni kwanini inaitwa mithali
Hapo inazungumzia baina ya mtu na mtu na sio mtuhumiwa na mahakama!



Rejea jibu langu la swali lako la pili!




Unapoona neno kujinyonga unaelewa nini?

Haha Eiyer. I read your text while smiling. You reminded me of when I was a Jehovah's Witness and believed we were "god's channel" to mankind. Those people really wish they were Jesus.

About Yesu na kupanda mbinguni, je, Yesu hakuwa akiongea na Wayahudi?

About mungu kujaribu, :bored: sasa mbona Umesema hicho hicho. Mungu hujaribu!!!! Sawa, hujaribu kwa sababu maalum. Hamna ubishi. Ndo hihivyo hujaribu watu! and that is not a fun experience!!! While peter said hajaribu watu!!!! Au nina kichwa kigumu??

About kufurahia mwovu akianguka. LOL. So let me get your logic. Mtu aliyekuuzia kiwanja hewa akija kupata accident akawa kipofu usifurahie, usubirie kufurahia wakati wa punishment official ya mungu? In other words, you're reconciling the two bible verses by saying they mean that one should postpone their joy when their enemy falls to until when the enemy gets an official fall/punishment from god?

Kuhusu kufa kwa Yuda, I think ungeisoma kwa English usingeniuliza tena kuwa kujinyonga ni nini. English translations clearly says that he "hanged" himself. Au utaniuliza tena kuhang manaake nini? I know the way some Christians reconcile the two verses. I want to hear your version Eiyer.

About David na sensa, that was the same incident. Soma context. And then after you can tell me how you reconcile them. And do you really think David angefanya the same thing na kutuma the same person, na kijutia the same tena?

About Asa, its the same person. Kasome sura mbili before na sura mbili after sura hizo za vitabu viwili nilivyokupa. Matukio yaleyale. After, I would like to hear the way you reconcile them.

Kuhusu sheria kuhusu sanamu. So kwa ufupi mungu huweka sheria na kuamua kuvunja for his own purposes. Mungu wa biblia hubadilikana na hali. He learns! He learns new ways to deal with his people. You know kama he could negotiate with the Israelites hadi kuvunja sheria zake mwenyewe, mbona mimi sipati hiyo chance? Is it cause I'm not a Jew?

Deuteronomy 7:6-FOR YOU ARE A HOLLY PEOPLE TO JEHOVAH YOUR GOD. ITS YOU JEHOVAH YOUR GOD HAS CHOSEN TO BECOME HIS PEOPLE, A SPECIAL PROPERTY, OUT OF ALL THE PEOPLE THAT ARE ON THE SURFACE OF THE GROUND :disapointed:
 
Last edited by a moderator:
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]al-Qaeda Vows to Slaughter Syrian Christians...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]McCain: Allah Akbar is A-OK[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Woman Converted to Islam Without Her Knowledge...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Swedish Town Reels from 'Allah is Gay' Scandal...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muslim Students Survive Brush with Bacon...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Obama Congratulates Pro-Sharia Organization...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
TR]
[TD]CAIR Praises Firing of Walmart Worker Despite Apology...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Assassination Attempt on Swedish Cartoonist...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]British Soldier Gets Sex Change, Embraces Islam, Finds Husband[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Polio Poised to Soar in Wake of Taliban's Targeted Attacks...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Syrian Rebels Shell Hospital 'with Allah's Permission'...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Canadian Cleric: Amputation Cheaper than Jail...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Six Shiite Children Slaughtered by Sunni Gunmen...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8-Year-Old Seminary Student Molested by Imam...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Gambian Women Flee Genital Mutilation...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UNRWA Posts Pic of Infamous Bombmaker on Site...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iran Seeks to Stop Christianity Crisis...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afghan Police Fish with Rockets - 6 Children Killed...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Palestinians Demand Gas Masks from Israel...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Clerics Take Down School Principal with Blasphemy Charge...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11-Year-Old Chained, Sold into 'Marriage' by Father...[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 5, bgcolor: #cece9c"]
spacer.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD](Italy) Man Beats Wife According to 'Rules of Islam'...[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Syrian Rebels Shell Hospital 'with Allah's Permission'...[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]al-Qaeda Vows to Slaughter Syrian Christians...[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]

Tatizo..Waislamu bado wanafwata sheria za Musa. Maybe nyingine wame maneuver.

Lakini kwani Mungu wa Waisraeli hakuagiza Waisraeli wakaue mataifa mengine yasiyomwabudu mungu wao? Hadi watoto na wanyama. Kuchoma mahekalu yao na vitu vyao. Hadi kuchukua watoto/mabinti bikra I.e ubakaji.

Kwani mungu wa Waisraeli hakuruhusu kuuza watoto wakike kama watumwa?

Unashangaa mke kupigwa? kama mungu waisraeli aliruhusu kuuza watoto wa kike kama watumwa, na kama mabwana wao wangetaka kulala nao wangelala nao mradi wawatunze (i.e mke), na waliruhusiwa kupiga watumwa mradi wasife baada ya siku mbili. automatucally Wake 'wives" waliruhusiwa kupigwa. :noidea:
 
Sina hakika wewe ni ktk waparokia au atheist!! lkn nataka kukuliza kitu hapa!!

kwa nini hawa wakiristo wanapoonyeshwa uovu na ruhsa ya kufanya mauwaji ya kinyama kwenye biblia,

badala ya kutoa maelekezo wanageuza topic kabisa?? why?
and it happens to all of them!!

Mbokaleo, tofauti ya mungu wa waislamu na mungu wa Waisraeli ni nini? (note, mungu wa wayahudi hakuja duniani kujiua kisha kujifufua, huyowingine).

Mungu wa waislamu si yule aliyewapa Waisraeli sheria na miongozo ambayo mimi na wewe tumeshupalia kupinga?

Sijapata muda lwenda through the thread, nataka kuona unavyojibu tuhuma dhidi ya kitabu chenu.
:wave:
 
Sina hakika wewe ni ktk waparokia au atheist!! lkn nataka kukuliza kitu hapa!!

kwa nini hawa wakiristo wanapoonyeshwa uovu na ruhsa ya kufanya mauwaji ya kinyama kwenye biblia,

badala ya kutoa maelekezo wanageuza topic kabisa?? why?
and it happens to all of them!!

Mbokaleo, tofauti ya mungu wa waislamu na mungu wa Waisraeli ni nini? (note, mungu wa wayahudi hakuja duniani kujiua kisha kujifufua, huyowingine).

Mungu wa waislamu si yule aliyewapa Waisraeli sheria na miongozo ambayo mimi na wewe tumeshupalia kupinga?

Sijapata muda lwenda through the thread, nataka kuona unavyojibu tuhuma dhidi ya kitabu chenu.
:wave:
 
Where did I say! YOU ARE A MUSLIM??

I just wonder why you seek attention without a valid reasons! !
Me na wewe nani anaseek attention? Did I go around quoting random people?

Then why did you quote me a Quran verse from nowhere???
 
Wapi biblia inasema kuwa YESU ALISEMA MIMI NI MUNGU!!?
mbona mnataka kuturudisha nyuma tena!!?
Hili somo tumeshalimaliza zamaaaani!
Mpaka wakolosai wakaanza matusi humu!!
Haya na wewe toa andiko!
WAPI YESU KASEMA MIMI NI MUNGU??
AU MIMI MNIABUDU!
nasubiri jibu!
Kama huna, basi siku nyingi acha uongo!
yohana 14

5. Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
6 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.

7. Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
8 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
9 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
10 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.

yohana 1: Hapo Mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.

2 Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu.
3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
4 Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
. gud day. hapa nashawishika kuamini kuwa yesu ni mungu. for real
 
Where did I say! YOU ARE A MUSLIM??

I just wonder why you seek attention without a valid reasons! !
Whoa whoa whoa, sorry. I thought this post was by Mkwawa.

He quoted me a Quran verse and I told him/her to give it to you b'se I'm not a Muslim.....u misunderstood.
 
Haha Eiyer. I read your text while smiling. You reminded me of when I was a Jehovah's Witness and believed we were "god's channel" to mankind. Those people really wish they were Jesus.

About Yesu na kupanda mbinguni, je, Yesu hakuwa akiongea na Wayahudi?

About mungu kujaribu, :bored: sasa mbona Umesema hicho hicho. Mungu hujaribu!!!! Sawa, hujaribu kwa sababu maalum. Hamna ubishi. Ndo hihivyo hujaribu watu! and that is not a fun experience!!! While peter said hajaribu watu!!!! Au nina kichwa kigumu??

About kufurahia mwovu akianguka. LOL. So let me get your logic. Mtu aliyekuuzia kiwanja hewa akija kupata accident akawa kipofu usifurahie, usubirie kufurahia wakati wa punishment official ya mungu? In other words, you're reconciling the two bible verses by saying they mean that one should postpone their joy when their enemy falls to until when the enemy gets an official fall/punishment from god?

Kuhusu kufa kwa Yuda, I think ungeisoma kwa English usingeniuliza tena kuwa kujinyonga ni nini. English translations clearly says that he "hanged" himself. Au utaniuliza tena kuhang manaake nini? I know the way some Christians reconcile the two verses. I want to hear your version Eiyer.

About David na sensa, that was the same incident. Soma context. And then after you can tell me how you reconcile them. And do you really think David angefanya the same thing na kutuma the same person, na kijutia the same tena?

About Asa, its the same person. Kasome sura mbili before na sura mbili after sura hizo za vitabu viwili nilivyokupa. Matukio yaleyale. After, I would like to hear the way you reconcile them.

Kuhusu sheria kuhusu sanamu. So kwa ufupi mungu huweka sheria na kuamua kuvunja for his own purposes. Mungu wa biblia hubadilikana na hali. He learns! He learns new ways to deal with his people. You know kama he could negotiate with the Israelites hadi kuvunja sheria zake mwenyewe, mbona mimi sipati hiyo chance? Is it cause I'm not a Jew?

Deuteronomy 7:6-FOR YOU ARE A HOLLY PEOPLE TO JEHOVAH YOUR GOD. ITS YOU JEHOVAH YOUR GOD HAS CHOSEN TO BECOME HIS PEOPLE, A SPECIAL PROPERTY, OUT OF ALL THE PEOPLE THAT ARE ON THE SURFACE OF THE GROUND :disapointed:
nukuu 'kama wewe kweli ni mwana wa mungu ujiokoe mwenyewe na utuokoe''-yule jambazi mmoja aliyesulubiwa na yesu alisikika akisema hivyo.ukitafakari utaona alikuwa logical. even though connotation ya ujiokoe na utuokoe haikuwa na nia njema bali inaonyesha alilenga kukebehi tu. todays we've many people who blasphemy god using logic comments. just imagine. well., Am not sure what there consequence will be.
 
Back
Top Bottom