Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Unabii unaomhusu Yesu kwenye Agano la Kale

Ahadi alizotoa kwa Hawa, Ibrahimu na Daudi zote zilimsema Yesu kuwa ni mtoto wao halisi. Kwa kweli, Agano lote la Kale lilionyesha mbele na kutabiri kumhusu Kristo. Sheria ya Musa, ambayo Israeli iliwapasa waitii kabla ya wakati wa Kristo, mara nyingi ilionyesha mbele kuja kwa Yesu:"Torati ilikuwa ni kiongozi kutuleta kwa Kristo," (Gal. 3:24).Basi kwenye siku kuu ya Pasaka, mwana kondoo asiye na kasoro ilibidi achinjwe (Kut. 12: 3-6); hii inamaanisha dhabihu ya Yesu,"mwana kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu" (Yn. 1: 29; 1 Kor.5:7). Hali ya kutokuwa na doa ambayo ilitakiwa kwa wanyama wote wanaotolewa kuwa dhabihu ilitabiri jambo lililokuwa mbele la sifa njema kamili ya Yesu (Kut. 12:5; 1Pet. 1: 19).
Zaburi zote na vitabu vya manabii vya Agano la Kale kuna unabii usiohesabika kumhusu Masihi atakavyokuwa. Hasa walilenga kwa kuelezea jinsi atakavyo kufa. Wayahudi kukataa kukubali wazo la Masihi anaye kufa laweza tu kwa sababu ya wao kutoangalia unabii huu, baadhi yake sasa unatolewa:

Unabii ulio katika Agano la KaleUmetimilika kwa Kristo

[TD="width: 47%"]"Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha ?" (Zaburi 22: 1) [/TD]
[TD="width: 53%"]Haya yalikuwa kabisa ni maneno ya Yesu palemsalabani (Math. 27: 46) .[/TD]

[TD="width: 47%"]"Laumu ya wanadamu na mzaha wa watu. wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakatikisa vichwa vyao; Husema, umtegemee (yaani, alimtegemea) Bwana; na amponye; na amwokoe sasa, maana apendezwa naye" (Zaburi 22: 6 -8) .[/TD]
[TD="width: 53%"]Israeli walimdharau Yesunao walimdhihaki (Luk. 23:35 8:53) ; walitikisa vichwa vyao (Math.27:39), walisema haya maneno alipokuwa msalabani (Math. 27:43). [/TD]

[TD="width: 47%"]"…. Ulimi wangu waambatana na taya zangu; wamenizuia mikono na miguu" (Zab. 22:15,16) [/TD]
[TD="width: 53%"]Huu ulitimia Kristo)alipokuwa na kiu msalabani (Yn.19:28) . Kuzuiwa mikono na miguu ni tendo la kusulubiwa ambalo limetajwa.[/TD]

[TD="width: 47%"]"Wanagawanya nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura" (Zab. 22: 18) [/TD]
[TD="width: 53%"]Utimilifu kabisa wa huu unapatikana katika Mathayo. 27:35. [/TD]

[TD="colspan: 2"]Ujue ya kwamba Zaburi 22: 22 ni bayana imenukuliwa kumhusu Yesu katika Waebrania 2:12 .[/TD]

[TD="width: 47%"]"Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, namsikwao kwa wana wa mama yangu Maana wivu wa nyumba yako umenila" (Zab. 69: 8,9) [/TD]
[TD="width: 53%"]Huu vema unaelezea mawazo.ya Kristo kuvunjwa urafiki toka kwa Wayahudi ndugu zake na jamaa yake mwnyewe (Yn. 7:3 -5 ; Math12: 47 -49) . Huu umenukuliwa Yn. 2:17. [/TD]

[TD="width: 47%"]"Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; nami nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki" (Zab. 69:21). [/TD]
[TD="width: 53%"]Jambo hili lilitokea wakati Kristo akiwa msalabani (Math. 27:34). [/TD]

[TD="colspan: 2"]Sura nzima ya Isaya 53 ni unabii wa kustaajabisha wa kifo cha Kristo na ufufuo, kila msitari ulikuwa unatimia bila kosa. Mifano miwili tu inatolewa: -[/TD]

[TD="width: 47%"]"Kama mwana-Kondoo apelekwaye machinjoni…. Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam hakufunua kinywa chake" (Isa. 53:9) [/TD]
[TD="width: 53%"]Kristo, Mwana kondoo wa Mungu, alikaa kimya wakati wa hukumu yake (Math. 27:12,14) [/TD]

[TD="width: 47%"]Wakamfanyia kaburi pamoja na wabaya, na pamoja na matajiri katika kufa kwake" (Isa. 53:9) [/TD]
[TD="width: 53%"]Yesu alisulubiwa pamoja na wahalifu (Math. 27:38), bali alizikwa ndani ya kaburi la mtu tajiri (Math. 27:57-60) [/TD]

Ni ajabu ndogo ya kwamba Agano Jipya linatukumbusha ya kuwa"Torati na Manabii"wa Agano la Kale ndio msingi wetu kumweka Kristo (Mdo. 26:22; 28: 23; Rum 1: 2,3; 16: 25,26). Yesu mwenyewe alitahadhalisha kwamba kama hatumwelewi vema"Musa na Manabii", hatuwezi kumfahamu (Luk. 16:31; Yn. 5:46, 47).

Ikiwa Torati ya Musa ilionyesha mbele kwa Kristo, nao manabii walitabiri habari zake, unakuwa ni ushahidi wa kutosha kwamba Yesu kuishi katika mwili kabla ya kuzaliwa. Mafundisho potofu ya kwamba"aliishi akiwa na mwili Kristo kabla ya kuzaliwa yanafanya ahadi zilizorudiwa -rudiwa kwamba atakuwa mzao (mtoto) wa Hawa, Abrahamu, na Daudi ni upuuzi. Kama alikuwa tayari anaishi mbinguni wakati hizi ahadi zinatolewa, Mungu angekuwa amekosea kuwaahidi watu hawa kupata mtoto atakayekuwa masihi. Ukoo wa Yesu, ulioandikwa kwa Mathayo 1 na Luka 3, unaonyesha jinsi Yesu alikuwa na mfuatano wa mababu ambao mlolongo wao unarudi nyuma hadi kwa wote ambao Mungu alifanya nao ahadi.

Ahadi aliyoahidiwa Daudi kuhusu Kristo inakanusha kuishi na mwili wake wakati ahadi ilipofanywa:"Nitainua mzao wako nyuma yako, atakayetoka viunoni mwako ….Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa mwanangu"(2 Sam. 7: 12,14), Fahamu wakati ujao ulivyotumika hapa. Kwa kuwa Mungu atakuwa Baba ya Kristo, haiwezekani kwamba mwana wa Mungu tayari alikuwa akiishi wakati ule hapo ahadi zilipokuwa zinafanywa. Ikiwa mzao wako"atatoka viunoni mwako"inaonyesha ya kuwa alikuwa mtoto halisi mwenye mwili wa Daudi."Bwana amemwapia Daudi neno la kweli …. Baadhi ya wazao wa mwili wako nitawaweka katika kiti chako cha enzi"(Zab. 132:11).

Sulemani alikuwa wa kwanza kutimiza ahadi, lakini tayari kwa kuwa alikuwa akiishi wakati hizi ahadi zinatolewa (2 Sam. 5: 14), utimizwaji mkuu wa ahadi hii kuhusu Daudi kuwa na mzao wa mwili atakaye kuwa ni mwana wa Mungu, anatajwa Kristo (Luk. 1: 31-33)."Nitamchipushia Daudi chipukizi la haki"(Yer. 23:5) - yaani, Masihi.
Kama huu msemo wa kutaja wakati ujao katika unabii mwingine kuhusu Kristo umetumika."Mimi nitawaondokeshea (Israeli) nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe (Musa)"(Kum. 3:22,23, ambao unabainisha "nabii"kuwa ni Yesu."Bikira (Mariamu) atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake"Emmanueli"(Isa. 7:14). Huu kwa utimilifu ni wazi Kristo alipozaliwa. (Math. 1: 23).
 
[h=2]Nafasi ya Kristo katika mpango wa Mungu[/h]Mungu hafanyi Uamuzi wa mipango yake bila kufikiri, akivumbua sehemu za ziada kwa kusudi lake kama historia ya mwanadamu inavyofunua. Mungu alikuwa na mpanngo kamili ulioelezwa kwa taratibu tangu mwanzo wa uumbaji (Yn. 1:1). Nia yake kuwa na mwana katika mpango wake basi ulikuwa toka mwanzo. Agano la Kale linadhihirisha maelekeo tofauti - tofauti ya Mungu kwenye mpango wake wa wokovu katika Kristo.


Mara nyingi tumeonyesha kwa kueleza kuwa katika ahadi, unabii wa utabiri, na mifano ya torati ya Musa, Agano la Kale daima linafunua kusudi la Mungu kwa Kristo. Ilikuwa ni kwa sababu ya maarifa ya Mungu hata akawa na mwana, ndipo uumbaji Mungu akaufanya uwepo (Ebra. 1: 1, 2, neno dogo la kiyunani;"kwa"katika U.V. ni bora ingetafsiriwa"sababu ya"). Ilikuwa sababu Kristo hata enzi za historia ya mwanadamu ziliruhusiwa na Mungu (Ebra.1: 2 (kiyunani). Kinachofuata ni kwamba ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu kushuka chini katika miaka, kama taarifa ilivyoandikwa katika Agano la Kale, ina ushahidi tele wa Kristo.


Ubora wa Kristo na ukubwa wake mno na umuhimu wa asili kwa Mungu ni vigumu kwetu kufahamu kabisa. Basi ni kweli kusema kwamba Kristo alikuwamo ndani ya fikira za Mungu na kusudi tangu mwanzo, ingawa alikuja kuishi tu kimwili alipozaliwa na Mariamu. Waebrania 1: 4, 7, 13,14 inasisitiza kwamba Kristo hakuwa Malaika wakati akiwa na mwili unaopatikana na mauti alikuwa mdogo punde kuliko Malaika (Ebra. 2:7), alikuja inuliwa kuwa na heshima kubwa kuliko wao sababu alikuwa ni"Mwana wa pekee wa Mungu"(Yn. 3: 16). Awali tumeonyesha ya kwamba namna pekee ya kuwako ambako Maandiko yamefundisha ni kuishi kwa umbo la mwili, kwa hiyo Kristo hakuishi akiwa'Roho' kabla ya kuzaliwa. 1 Pet. 1: 20 unaisema nafasi kwa machache; Kristo"alijulikana tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya dunia, lakini alifunuliwa mwisho wa zamani hizi". Yesu alikuwa kiini kikuu cha Injili, ambacho Mungu'aliahidi kabla kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko Matakatifu, yaani, habari za mwanawe, …….. Yesu Kristo Bwana wetu, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili; na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya Utakatifu, kwa ufufuo wa wafu' (Rum. 1:1 -4).


Hivi unaeleza Muhutasari wa historia ya Kristo: -

  1. Aliahidiwa katika Agano la Kale - yaani, katika mpango wa Mungu
  2. Aliumbwa akiwa mtu aliye na mwili kwa kuzaliwa na bikira, akiwa ni mzao wa Daudi;
  3. Kwa ajili ya tabia timilifu ("roho ya Utakatifu"), iliyoonekana wakati wa maisha ya mwili unaopatikana na mauti.
  4. Alifufuliwa, na tena hadharani alielezewa kuwa ni Mwana wa Mungu na mitume waliopewa kipawa cha roho ya kuhubiri.

MAARIFA YA MUNGU
Tutakuwa tumesaidiwa mno kufahamu jinsi gani Kristo alikuwa ndani ya Moyo wa Mungu hapo mwanzo, ambapo kwa mwili hakuwapo, kama tukiukubali ukweli kwamba Mungu anajua mambo yote ambayo yatatokea'wakati ujao'; Ana maarifa ya kujua jambo kabla halijatokea. Kwa sababu hiyo Mungu anaweza kusema na kufikiri kuhusu mambo ambayo hayapo, kana kwamba yapo. Haya ndiyo maarifa yake kabisa ya wakati unaokuja. Mungu'anataja mambo yasiyokuwepo kana vile yapo' (Rum. 4:17). Kwa sababu hiyo anaweza kueleza"Mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote"(Isa. 46: 10).Kwa sababu hii, Mungu anaweza kutangaza wafu kama kwamba wapo hai, na anaweza kuwasema watu kama wapo hai kabla ya kuzaliwa.


"Shauri", au neno la Mungu, lilimtabiri Kristo tangu mwanzo; alikuwa siku zote katika kusudi la Mungu au"mapenzi". Basi ilikuwa yakini kwmba wakati fulani Kristo kwa mwili atazaliwa; Mungu atatimiza kusudi lake alilolisema katika Kristo. Uhakiki wa maarifa ya Mungu kujua mambo kabla, umeletwa ndani ya neno lake lililo la kweli. Biblia ya kiebrania ina kiarifa cha'utimilifu wa unabii', (1 Nyak. 22: 1), wakati bado hekalu lilikuwa limeahidiwa tu na Mungu. Hiyo ilikuwa imani yake kwa neno hilo la ahadi ambayo Daudi alitumia wakati aliokuwapo kutangaza mambo ya wakati ujao. Maandiko yana mifano tele ya Maarifa ya Mungu kujua mambo kabla. Mungu alikuwa na hakika mno kwamba atatimiza ahadi kwa Ibrahimu, ambayo alimwambia:"Uzao wako nimewapa nchi hii …."(Mwa. 15:18) wakati Ibrahimu hata mtoto hakuwa naye. Wakati wa kipindi kile kile kabla ya uzao (Isaka / Krsito) haujazaliwa, tena Mungu akamwahidi:"Nimekuweka uwe Baba wa mataifa mengi"(Mwa. 17: 5). Kweli,Mungu"hutaja hayo mambo yasiyokuwapo kana kwamba yapo"
Kristo alisema hivyo wakati wa utumishi wake jinsi Mungu'amempa vyote mikononi mwake (Kristo)"(Yn. 3:35), ingawa suala hili wakati ule halikuwa hivyo."umeweka vitu vyote chini ya nyayo zake (Kristo) ….. lakini sasa hatujaona vitu vyote kutiwa chini yake"(Ebra. 2: 8).


Mungu alitangaza mpango wake wa wokovu kupitia kwa Kristo"kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu"(Luk. 1: 70). Kwa sababu walijumuika kwa karibu sana na mpango wa Mungu, watu hawa wamesemwa kana kwamba wenyewe waliishi mwanzo, ingawa suala si hivyo. Badala yake, tunaweza kusema manabii walikuwa katika mpango wa Mungu tangu mwanzo. Yeremia ni mfano mkuu. Mungu alimwambia:"Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua; na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa"(Yer. 1:5). Hivyo Mungu alijua kila kitu kumhusu Yeremia hata kabla ya uumbaji. Kwa namna hiyo Mungu aliweza kusema kuhusu mfalme wa Uajemi, Koreshi, kabla ya kuzaliwa kwake, akitumia msemo unaodokeza wakati ule alikuwako (Isa. 45: 1 -5). Waebrania 7: 9-10 ni mfano mwingine wa msemo huu wa kuwako kiumbe umetumika kumhusu mtu ambaye wakati ule alikuwa hajazaliwa.
Kwa njia iyo hiyo kama Yeremia na manabii wamesemwa kama wanaishi hata kabla ya uumbaji, kwa ajili ya wao kushiriki katika mpango wa Mungu, hivyo waamini wa kweli wamesemwa kuwa wanaishi wakati ule. Ni dhairi kwamba kimwili hatukuishi wakati ule isipokuwa katika fikira za Mungu. Mungu"alituokoa akatuita kwa wito mtakatifu ……… bali kwa makusudi yake yeye na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele"(2 Tim.1:9).

Mungu"alivyotuchagua katika yeye (Kristo) kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu …. Kwa kuwa alitangulia kutuchagua …. Sawa sawa na uradhi wa mapenzi yake"(Efe. 1: 4,5). Wazo zima kwa kila mmoja kutangulia kujulikana na Mungu tangu mwanzo, na kwisha kuchaguliwa kwa wokovu, inaonyesha kwamba walikuwemo katika fikira za Mungu hapo mwanzo (Rum. 8: 27; 9:23).


Kwa mwangaza wa yote haya, Sio ajabu kwamba Kristo, kama kujumlisha kusudi la Mungu, anaweza kusemwa kama amekuwapo tangu mwanzo katika mawazo ya Mungu na mpango, ingawa kwa mwili hakufanya hivyo. Alikuwa ni"Mwana-kondoo aliyechinjwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu"(Uf. 13: 8). Yesu mwenyewe hakufa wakati ule; alikuwa ni"Mwana-kondoo wa Mungu"aliyetolewa kuwa sadaka karibu miaka 4,000 baadaye Msalabani (Yn. 1:29; 1 Kor. 5:7). Kwa njia hiyo hiyo kama Yesu alivyochaguliwa tangu mwanzo (1 Pet 1:20), hivyo na waaminio (Efe. 1: 4; kwa Kiyunani ni neno moja"kuchaguliwa"limetumika katika mistari hii). Shida yetu kwa kufahamu yote haya ni kwa sababu hatuwezi kwa urahisi kufikiri jinsi Mungu anavyoshughulika nje ya wazo la wakati.'Imani' ndio uwezo wa kutazama mambo toka mtazamo wa maana ya Mungu, pasipo sharti la muda.
 
[h=2]Yesu wa Historia[/h]Ikiwa, kama wengine wanavyodai, hakuna ushaidi wa kwamba Yesu wa Nazareti aliwahi kuishi, basi kuwepo kabisa Ukristo ni vigumu kueleza. Ni kuuliza jumla ya vitu vyote vikubwa kwa kutegemea mtu yeyote aamini kwamba mamilioni ya watu zaidi ya miaka 2,000 iliyopita wameweka imani zao kwa mtu fulani ambaye hakuwako, na kuwa na mkazo wa imani hii kwake hata wakakusudia kueneza imani yao kuhusu yeye ulimwenguni pote, aghalabu kwa hatari ya mateso na mauti. Wakristo na Wayahudi kwa ujumla hawana shida kukubali kuwa Mohamedialiwahi kuwapo, ingawa wanakataa kazi yake na mafundisho. Kwa kweli tunakubali kuwa watu mashuhuri sana wa historia walikuwako bila kuhitaji kutazama tena kwa kuchunguza ushahidi. Mara nyingi uchambuzi umefanywa kwa upana wa matokeo yanayofahamika ya historia, k.m. ile vita ya Hastings ambayo ilifanyika mwaka 1066, ushahidi madhubuti umepatikana kwa kadiri ya ugumu kuupata kwa bahati.


Ni jambo la hakika kwamba kwa nguvu wanakana hivi kabisa kuwahi kuwako Yesu wa Nazareti hapana shaka ni kuuliza maswali ya jambo la uhakika kupita hali iliyotendwa, kutaka kutafuta udhuru wa kufaa kutokubali sababu zake kuwako na kufahamu kazi yake Masihi. Hili hasa linaonekana kweli inapofahamika kwamba wao wenyewe Wayahudi wa kwanza walikubali kuwa mtu aitwaye Yesu aliwahi kuishi katika karne ya kwanza. Ushahidi ufuatao wa historia ya kuwahi kuwako Yesu wa Nazareti unaonyesha kwamba hauwezi kuondoshwa kama theologia ya uvumbuzi wa watu. Taarifa nyingi za kusaidia katika sehemu hii ni habari zilizopatikana toka kwaGary Hebermas,'Ushahidi wa Kale wa maisha ya Yesu'.


1). Ticitus alikuwa mwana -historia wa Roma ambaye vitabu vyake vikubwa viwili kuhusu karne ya kwanza ("Annals"- taarifa ya uvumbuzi ulioandikwa mwaka kwa mwaka, na"Histories"- masimulizi ya historia) vyote viwili vinamtaja Yesu na Ukristo. Aliandika katika"Annals"(karibu mwaka 115 B.K.).


"Kundi la watu waliochukiwa kwa machukizo yao, walioitwa Wakristo na watu wa vivi hivi. Kristo ni jina limetokana na Christus asili yake, alipata adhabu kubwa mno wakati wa kipindi cha utawala wa Tiberio kwenye mikono ya mmoja wa maliwali wetu, Pontio Pilato".
Mfalme Tiberio alitawala toka mwaka wa 14 - 37 B.K., wakati ambao ni kipindi Kristo aliuwawa, kulingana na taarifa. Ticitus vile vile anaeleza jinsi imani ya kundi hili"Ilivyotokea sio katika Uyahudi pekee, chanzo cha kwanza (mambo haya), bali hata katika Rumi", anaendelea kueleza jinsi Wakristo walivyochukiwa sana, nao wengi wao waliuwawa katika mji wa Roma. Taarifa yote hii ya Yesu inalingana na taarifa ya Agano Jipya, Wafuasi na mitume wa kwanza walieneza mafundisho yao kwanza Uyahudi, na kisha katika ulimwengu wote wa Roma, pamoja na mji wa Rumi, kwa upinzani mkubwa kwao.


2.) Suetonius, mwandishi wa historia mwingine wa Kirumi, alitoa maelezo juu ya utawala wa Klaudio (41- 54 B K): "Kwa kuwa Wayahudi katika mji wa Roma walisababisha ghasia zilizoendelea kwa kuanzishwa Ukristo, yeye (Klaudio) aliwafukuza toka kwenye mji". Kwa kutokea, Matendo ya mitume 18: 2 yametolewa maelezo jinsi Wayahudi wawili Akila na Prisila iliwabidi waondoke Roma kwa sababu ya mateso ya Wayahudi. Suetorius alitoa maelezo baadaye kuhusu adha iliyowapata Wakristo kwenye kipindi cha Nero: Baada ya moto mkubwa kwenye mji wa Roma …….. vile vile Wakristo waliadhibiwa kwa kupigwa, jamii ya watu wanaokiri dini yenye imani mpya yenye kugombanisha". Ushahidi huu wa kuwako kundi la watu walioitwa"Wakristo"kwenye karne ya kwanza unadokeza kwamba mtu aliyeitwa"Kristo"aliwahi kuishi mapema katika hiyo karne.


3.) F.F. Bruce ("Mwanzo wa Ukristo"uk. wa 29, 30) unavuta macho kuangalia ukweli kwamba kuna ushahidi wa historia ya Mashariki mwa Bahari ya Mediterania iliyoandikwa na mwandishi wa mambo ya kale aliyeitwa Thallus kuhusu mwaka 52 B K. Bruce anaonyesha kila mahali ("Hati za Agano Jipya", uk. 113) ya kuwa mwanafunzi aliyeitwa jina Julius Africanus alinukuu toka kwa Thallus, akifanya mzaha maelezo yake ya giza Yesu aliposulubiwa ilikuwa sababu ya kupatwa kwa jua. Haya yanadokeza kwamba Thallus aliandika maelezo ya kusulubiwa Yesu kulikotokea miaka mingine kabla hajaandika historia yake mnamo mwaka 52 B.K.


4.) Pliny, afisa wa serikali ya Kirumi, ametajwa kwa kirefu kuwahi kuwako kwa kundi tendaji la watu walioitwa Wakaristo kwa miaka iliyofuata ya karne ya Kwanza. Kushika kwao ibada ya kumbukumbu yeye ameitaja:"Walikuwa na desturi ya kukutana siku halisi iliyopangwa kabla, ilipokuwa nuru, wakaimba mistari miwili ya wimbo wa kumsifu Kristo"("Nyaraka za Pliny", zilitafsiriwa na W. Melmoth, Vol. 2, x: 96). Watawala wa Kirumi Trajani na Hadriani wote wawili wametaja matatizo ya kushughulika na Wakristo. Kwa Ushahidi wa hili, tazama"Nyaraka za Pliny", Vol.2,x:97 na Eusebio' Historia ya Ukasisi, IV: IX - moja - moja. Kuwako kwa kundi hili tangu karne ya kwanza na mshikamano wao wa ajabu wakati wa mateso ulidokeza kuwa walikuwa wafuasi wa tabia ya mtu wa historia ya kweli aliyeishi katika karne ya kwanza.


5.) Talmud, kitabu kitakatifu cha Wayahudi, katika Sanhedrin 43a kifo cha Yesu kimetajwa. Kimekubalika ya kwamba sehemu hii ya Talmud tarehe zake toka kipindi cha kwanza cha kitabu hicho kutungwa (yaani, mwaka 70 - 200 B.K)


"Siku kabla ya sikukuu ya Pasaka Yeshu (Yesu) alitundikwa msalabani. Kwa muda w a siku arobaini kabla ya kuuawa, habari ilitolewa ya kusema,'Atapigwa kwa mawe kwa sababu amefanya uchawi na kuvuta Israeli kukengeuka. Yeyote anayeweza kusema lolote kwa kumsaidida, aje mbele kwa niaba yake'. Lakini tangu hakuna chochote kilicholetwa mbele kwa kumsaidida akatundikwa kabla ya siku kuu ya Pasaka"


"Kuangikwa"linaweza kuwa ni namna ya neno la kusema kusulubiwa limetumika kama hivyo katika Agano Jipya (Gal. 3: 13; Luk. 23: 39). Fungu hili la maneno linaeleza Wayahudi wakitaka Yesu apigwe mawe (kulingana na sheria ya Musa, labda ?), bali yametajwa kuwa alitundikwa katika Agano Jipya jinsi gani Wayahudi iliwabidi watumie sheria za Kirumi kutoa kifo cha Yesu - ambacho cha kutundikwa.


Sanhedrin 43a vile vile inaeleza jinsi wanafunzi watano wa Yesu walihukumiwa na kupewa adhabu ya kifo, tena inaonyesha kwamba kwa mafundisho yaliyotokea zamani Wayahudi waliamini kuwahi kuwako Yesu wa historia. Hata Sanhedrin 106b yasema ya kuwa Yesu alikuwa na umri wa miaka 33 alipokufa; kikamilifu kama Agano Jipya lilivyodai. Maier ("Siku kuu ya kwanza ya kufufuka", uk. 117, 118) ananukuu toka hati ya Wayahudi karne ya kwanza"Toledoth Jesu", yenye kadhia ya kwamba wanafunzi walijaribu kuuiba mwili wa Yesu baada ya kufa, lakini mtunza bustani aliyeitwa Yuda aliposikia mipango yao aliuhamisha mwili wa Yesu na kuupeleka mahala pengine, akaukabidhi baadae kwa Wayahudi. Justin Martyr akiandika mnamo mwaka 150 B.K ameandika kwamba Wayahudi walituma wajumbe maalumu ili waseme ya kuwa mwili wa Yesu uliibiwa ("Dialogue with Trypho", 108), na Tertullian ("On Spectacles", 30) ana maelezo mamoja wakati alipoandika katika mwaka 200 B. K.


Kati yao ushahidi huu unaoendelea wa historia unaonyesha kwamba Wayahudi wa karne ya kwanza B.K waliamini aliwahi kuwako Yesu wa historia na alipata kifo cha nguvu.
6.) Mtunga hadithi wa Kiyunani, Luciana, akiandika katika karne ya kwanza, anawafanyia mzaha Wakristo ambao"wanamwabudu mtu hata leo (ambaye) alisulubiwa"(Lucian, The Death of Peregrine - yaani kifo cha mwendo usio mkunjufu, uk. 11-13, in"The works of Lucian"- katika kazi ya Lucian, Vol 4, iliyofasiriwa na Fowler wa Foweler).


7.) Josephus ni mwandishi wa historia anayejulikana vizuri sana wa karne ya kwanza. Katika"Antiquities"- yaani mambao ya Kale, aliyoandika mwaka 90 -95 B K, anamtaja Yakobo,"ndugu yake Yesu, aliyeitwa Kristo". Vile vile anasema katika sehemu nyingine ya kitabu hicho hicho kwa maneno ambayo ni wazi yanathibitisha picha ya Yesu katika Agano Jipya:"Mara hiyo ulikuwa karibu muda huu Yesu mtu mwenye busara ….. Maana alikuwa ndiye aliyefanya matendo magumu ya kustaajabisha ….. Alikuwa Kristo ….. aliwatokea akiwa yu hai siku ya tatu, kama manabii wa Mungu walivyotabiri hivi mambo ya ajabu mengine kumi elfu yanayo muhusu yeye".
Maneno haya yameonyesha hivyo kama wengine walivyodai kwamba ni nyongeza katika kitabu. Kama bado ipo sababu ya kutumia maneno haya kusaidia shauri la kwamba alikuwepo mtu aliyeitwa Yesu wa Nazareti aliyeishi katika karne ya kwanza yametokelewa mambo ambayo lazima yakumbukwe ifuatavyo:



  • Eusebio (Historia ya Kanisa la Kikristo, 1: XI) anainukuu sehemu hii ya Josephus.

  • Wanafunzi walioheshimika wanasaidia somo hili la kwanza kuwa ni la asili, laweza kuonyesha kwamba sehemu hii imeandikwa kwa mtindo ule ule unaofungamana na kazi ya Josephus (tazama kanuni za Danieli,"Ukimya wa Yesu, wa wakati ule ule"Uk. 21; J.N.D. Anderson,"Ukristo: Ushahidi wa Historia"uk. 20; F.F. Bruce,"Hati za Agano Jipya"uk. 108, 109)


  • Kwa haya haupo ushahidi wa maneno ya kitabu kuwa nyongeza kwenye kitabu.

  • Profesa Schlomo Pines amedai kwamba toleo kwa lugha ya Kiarabu la kazi ya Josephus limevumbuliwa ambalo karibu lilikuwa lenyewe ni la mwanzo. Maneno yaliyotajwa juu yanatokea humo, Lakini bila taarifa ya mafundisho ya wazi kuhusu ufufuo na Yesu kuwa Masihi ambayo yalifanywa kwa kunakiliwa. Haya yanaonekana ni ya maana, kwa kuwa Josephus alikuwa Myahudi: Pines aliyoyapata ya kwanza aliyaweka katika majarida ya"The New York Times", Februari 12. 1972, ndani yake ananukuu mabishano wa maneno ya Josephus kuhusu Yesu toka toleo la Kiarabu"Kwenye kipindi hiki alipokuwepo mtu mwenye busara aliyeitwa Yesu > Mwenendo wake ulikuwa mzuri na alikuwa mwema. Watu wengi miongoni mwa Wayahudi na wa mataifa mengine wakawa wafuasi wake. Pilato alimuhukumu asulubiwe na kufa. Nao wale waliokuja kuwa wafuasi wake hawakuacha kumfuata. Walitoa taarifa ya kwamba aliwatokea siku tatu baada ya kusulubiwa na ya kuwa alikuwa yu hai; kwa kulingana, labda alikuwa ni Masihi ambaye Manabii wamesimulia maajabu"
Kwa ubora maelezo haya yanalaiki kwa yale ya Agano Jipya.
 
Muslim Women Are Dirty Polluting Creatures
The Quran:

  • Sura (2:222) "They ask thee concerning women's courses. Say: They are a hurt and a pollution: So keep away from women in their courses, and do not approach them until they are clean."
  • Sura 4:43 "Muslims, draw not near unto prayer…(if) ye have touched women…then go to high clean soil and rub your face and your hands." (Muslim women are pariahs and dirty)."
  • Sura (5:6) - "...if ye have had contact with women, and ye find not water, then go to clean, high ground and rub your faces and your hands with some of it."
Women are polluting. Men purify themselves following a casual contact with a woman.
 
Muslim Women Are Inferior, Slave To Men
A Muslim woman is first the possession of her father and then her husband. Fathers may offer their baby daughters to Muslim men of any age who are entitled to consummate the union.
The Quran:

  • Sura (2:228) - "And women shall have rights similar to the rights against them, according to what is equitable; but men have a degree (of advantage) over them. And God is Exalted in Power, Wise."
  • Sura (4:11) – "God (thus) directs you as regards your Children's (Inheritance): to the male, a portion equal to that of two females." (see also Sura 4:176)
  • Sura (4:176) "They ask thee for a legal decision. Say: God directs (thus) about those who leave no descendants or ascendants as heirs. ... if there are brothers and sisters, (they share), the male having twice the share of the female."
  • Sura (53:27) - "Those who believe not in the Hereafter, name the angels with female names." (i.e., Angels, the sublime beings, can only be male.)
  • Sura (37:149-155) "Now ask them their opinion: Is it that thy Lord has (only) daughters, and they have sons?- Or that We created the angels female, and they are witnesses (thereto)? Is it not that they say, from their own invention, "God has begotten children"? but they are liars! Did He (then) choose daughters rather than sons? What is the matter with you? How judge ye? Will ye not then receive admonition?"
Hadith: Bukhari (88:219)
Narrated Abu Bakra: "During the battle of Al-Jamal, Allah benefited me with a Word (I heard from the Prophet). When the Prophet heard the news that the people of the Persia had made the daughter of Khosrau their Queen (ruler), he said, "Never will succeed such a nation as makes a woman their ruler."

Bukhari (48:826) Narrated Abu Said Al-Khudri:
"The Prophet said, ‘Isn't the witness of a woman equal to half of that of a man?' The women said, ‘Yes.' He said, 'This is because of the deficiency of a woman's mind.'"

Bukhari (72:715) - A woman seeks Muhammad's help in leaving an abusive marriage, but is ordered by the prophet to return to her husband and submit to his commands.

Tabri; I; 280 ' Allah said, " It is My obligation to make Eve bleed once every month as she made this tree bleed. I must also make Eve stupid, although I created her intelligent. Because Allah afflicted Eve, all of the women of this world menstruate and are stupid.
Bukhari 6:301 "[Muhammad] said, ‘Is not the evidence of two women equal to the witness of one man?' They replied in the affirmative. He said, 'This is the deficiency in her intelligence.'"
 
Muslim Men Can Capture Kafir Women As Sex-slave Booty
Islam is the only religion in the world that condones, even encourages, rape
of female captives taken as slaves or held for ransom as a tactic of war and a reward for victorious soldiers who conquer kafirs.
The Quran:
Sura (4:24) "All married women (are forbidden unto you) save those (captives) whom your right hands possess." You can't have sex with married women, unless they are slaves obtained in war (with whom you may rape or do whatever you like). A man is permitted to take women as sex slaves outside of marriage.

Sura (4:25) "If any of you have not the means wherewith to wed free believing women, they may wed believing girls from among those whom your right hands possess." In Islam the phrase " Whom your right hand possesses" means – sex slave.

Sura (23:5,6) "...who restrain their carnal desires (except with their wives and slave girls, for these are lawful to them..." Again, Muslim men were allowed to have sexual relations with their wives and slave girls:

Sura (33:52) "It is not allowed thee to take (other) women henceforth, nor that thou shouldst change them for other wives even though their beauty pleased thee, save those whom thy right hand possesseth. And Allah is ever Watcher over all things."

Sura (24:34) "Force not your slave-girls to whoredom (prostitution) if they desire chastity, that you may seek enjoyment of this life. [And here's the freedom-to-pimp card:] But if anyone forces them, then after such compulsion, Allah is oft-forgiving."

Sura (70:29-30,35) "And those who guard their chastity, Except with their wives and the (captives) whom their right hands possess,- for (then) they are not to be blamed, ... Such will be the honored ones in the Gardens (of Bliss)."
 
A Muslim Woman's Testimony Is Worth Only Half Of A Man's
The Quran:
Sura 2:282 – "Get two witnesses, out of your own men, and if there are not two men, then a man and two women, such as ye choose, for witnesses, so that if one of them errs, the other can remind her." Establishes that a woman's testimony is worth only half that of a man's in court (there is no "he said/she said" gridlock in Islam).
From the Hadith:
Bukhari (5:59:462) - The background for the Qur'anic requirement of four witnesses to adultery. Muhammad's favorite wife, Aisha, was accused of cheating [on her polygamous husband]. Three witnesses corroborated the event, but Muhammad did not want to believe it, and so established the arbitrary rule that four witnesses are required.

It is virtually impossible for raped women to prove it under Islamic law (Sharia). If the man claims that the act was consensual sex, there is very little that the woman can do to refute this. Islam places the burden of avoiding sexual encounters of any sort on the woman. Without four witnesses, rape victims in Muslim countries are commonly accused of adultery and stoned to death, thus punishing the victim simply because she is a woman.
 
Brutal Punishment For Muslim Women

Sura 4:15 - Lewd women should be punished with life imprisonment until death: "If any of your women are guilty of lewdness, Take the evidence of four (Reliable) witnesses from amongst you against them; and if they testify, confine them to houses until death do claim them, or God ordain for them some (other) way."
But men can get away with the same crime if they simply repent:
"If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for God is Oft-returning, Most Merciful." (Quran 4:16)
 
Fewer Seats for Muslim Women in Allah's Paradise
Islamic Scriptures inform us that most Muslim women will go to hell.
The Quran:
Sura (37:22-23) "Those who "did wrong" will go to hell, and their wives will go to hell with them (no matter how they behaved)."
From Hadith: Bukhari (2:28) - Women comprise the majority of Hell's occupants. This is important because the only women in heaven ever mentioned by Muhammad are the virgins who serve the sexual desires of men. (A weak Hadith, Kanz al-`ummal, 22:10, even suggests that 99% of women go to Hell).
"Narrated Ibn 'Abbas: The Prophet said:
"I was shown the Hell-fire and that the majority of its dwellers were women who were ungrateful." It was asked, "Do they disbelieve in Allah?" (or are they ungrateful to Allah?) He replied, "They are ungrateful to their husbands and are ungrateful for the favors and the good (charitable deeds) done to them. If you have always been good (benevolent) to one of them and then she sees something in you (not of her liking), she will say, 'I have never received any good from you."
"Among the inmates of Heaven women will be the minority" (Sahih Muslim 36: 6600)
"I (Mohammed) have seen that the majority of the dwellers of Hell-Fire were women...[because] they are ungrateful to their husbands and they are deficient in intelligence" (Sahih Bukhari: 2:18:161; 7:62:125, ).
Ishaq: 185 " In hell I saw women hanging by their breasts. They had fathered bastards."
Narrated 'Abdullah bin Abbas:
.The Prophet replied, "I saw Paradise and stretched my hands towards a bunch (of its fruits) and had I taken it, you would have eaten from it as long as the world remains. I also saw the Hell-fire and I had never seen such a horrible sight. I saw that most of the inhabitants were women." The people asked, "O Allah's Apostle! Why is it so?" The Prophet replied, "Because of their ungratefulness." It was asked whether they are ungrateful to Allah. The Prophet said, "They are ungrateful to their companions of life (husbands) and ungrateful to good deeds. If you are benevolent to one of them throughout the life and if she sees anything (undesirable) in you, she will say, 'I have never had any good from you.' "
 
Having sex with underage children is popular in sharia countries. Find out why?
ALLAH APPROVES OF IT
65.4 "If you divorce your (child) wife before she reaches menstruation age her idda is three months".
According to this aya a muslim man can marry (and have sex with) even a one day old infant girl.
ISLAMIC AUTHORITIES PROMOTE IT
There is no argument on this point among Islamic authorities whether shia or sunni. They all agree that amuslim man can have sex with baby girl.
This is what Imam Khomeini, the top shia authority says:
"A muslim man can have sexual pleasure with a little girl as young as a baby. But he should not penetrate her vaginally, however he can sodomize her". (Tehriro vasyleh, fourth edition, Qom, Iran, 1990)
Here is what the the top sunni authority says (video on a Saudi website) about having sex with a one day old baby girl. (Go to "site video" and click on sex with a one day old girl)

PROPHET LOVED LITTLE GIRLS
Prophet had special feelings for cute little baby girls.

  • Ibn Ishaq: Suhayli, 2.79: In the riwaya of Yunus Ibn Ishaq recorded that the apostle saw Ummu'l-Fadlhen she was baby crawling before him and said, ‘If she grows up and I am still alive I will marry her.' ( p. 311)
  • Muhammad saw Um Habiba the daughter of Abbas while she was fatim (age of nursing) and he said, "If she grows up while I am still alive, I will marry her." (Musnad Ahmad, Number 25636)



BABY AISHA
Our prophet fell in love with Baby Aisha when she was shown by Allah to him in his dreams when shestill an infant.
Bukhari , Volume 7, Book 62, Number 15:
Narrated 'Aisha:
Allah's Apostle said (to me), "You have been shown to me twice in (my) dreams. A man was carrying you in a silken cloth(as an infant) and said to me, 'This is your wife.' I uncovered it; and behold, it was you. I said to myself, 'If this dream is from Allah, He will cause it to come true.'"

COURTSHIP WITH AISHA
Whenever Prophet visited Abu Bakr house he made Aisha sit in his lap and played with her.

PROPOSAL FOR MARRIAGE
When Ayesha reached the age of 6 Prophet decided to ask for her hand.
Abu Bakr: Rasulullah you must be joking. She is hardly six years old. And you are in your fiftees.
Prophet: She is old enough for me.
Abu Bakr: Didn't you marry off your own daughters when they were much older.?.
Prophet: That was before aya 65.4 was revealed. Now a muslim can marry even a day old infant girl.
Abu: "But Rasulullah you called me your brother , how can you marry your foster niece".
Prophet:" But you are not my real brother you are only a " brother in Islam"."*
Muslim Book 62, Number 18:
Narrated 'Ursa:
The Prophet asked Abu Bakr for 'Aisha's hand in marriage. Abu Bakr said "But I am your brother." The Prophet said, "You are my brother in Allah's religion and His Book, but she (Aisha) is lawful for me to marry."
Abu: "But Rasulullah, last week you turned down Hamza's daughter (who was ugly and in her teens) .You said you cannot marry your foster niece**.
Bukharihari Volume 7, Book 62, Number 37:
Narrated Ibn 'Abbas:
It was said to the Prophet, "Won't you marry the daughter of Hamza?" He said, "She is my foster niece (brother's daughter). "
Prophet: "Allah had shown her to me in my dreams, that was Allah's indication for me to marry her, I am helpless in this matter".
 
Nimekuuliza swali rahisi sana! Lakini unazunguka palepale!
Badala ya kunipa jibu! Wewe unaniuliza tena mimi maswali! Yaani wewe na huyu mkiristo mwingine Eiyer japokuwa nyie sio ndugu lkn tabia zenu zinafanana kabisa!

Narudia swali,

JE! KAMA YESU NI MUNGU!

NI NANI YESU ANAMUITA BABA KILA MARA??

Mbona hili swali ni fupi tu? Au kiswahili kinakusumbua??
OMG!! nimekujibu kwa kutumia maandiko kwamba huwezi kumtenganisha yesu na mungu. manake hata wanafunzi wa yesu waliwahi kumwambia yesu wakisema tuonyeshe baba yatosha, akawajibu umekuwa na mimi siku zote usinijue?!
nikasema yesu anayo mamlaka yote duniani na mbinguni, hivyo ni ngumu pia kuwaza kutenganisha. kama yesu ni mwanadamu angetajwa binadamu ambaye ni baba yake, kitu ambacho hakipo kabisa. ndipo nikakufahamisha ni vizuri uelewe utatu mtakatifu ulivyo sio kwa kuuliza logic question, mwishowe hutapata jibu. ndio maana nasisitiza angalia back ground ya yesu ujue baba yake then useme alikuwa mtu tu, lasivyo unayomengi ya kujifunza kumjua masihi yesu kristo. kwanini yesu hakutajwa baba yake kama manabii wengine, what was so special to him. kwa mfano mtume mohd aliambiw na mkewe aseme ameshukiwa na malaika hii inajieleza wazi sana kwamba si mtume aliyeng'amua kama ameshukiwa na malaika bali mkewe alimwambia aseme hivyo ili aone jinsi gani jamaa yake inavyoinuka. si lengo langu kwenda huku au kubabaisha maneno, bali ni kukufafanulia ya kwamba kunayo mengi ambayo yesu anayo ambayo ulimwengu hauyazungumzi kuhusiana na ukuu wake. ndio maana alisha-conclude kwamba walio wake huiskia sauti yake ikiwa na maana kuwa wasiomkubali sio wake na hawatamsikia. ni ngumu kumfundisha mpagani ama asiye amini mambo yahusuyo utatu mtakatifu, ni kama kumpa ugali mtoto mchanga badala ya maziwa. nachoweza kusema ni kwamba yesu ndiye njia ya kwenda mbinguni, kama unataka kumjua mungu basi mjue yesu na si vinginevyo ama sivyo alishasema atamkana yule amkanaye mbele za watu. na alisha sisitiza yeye yu ndani ya baba na baba yupo ndani yake, hapa hatuna cha kubishana kwani ameshamalizia anachotaka kusema kwa mujibu wa maandiko. kama unaamini yesu ni binadamu tu na si mungu, ni bora basi kama utathibitisha kwa maandiko yanayomwelezea kwamba yeye ni binadamu wengine. kuliko kuwa professional criticizer.
 
Brutal Punishment For Muslim Women

“If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for God is Oft-returning, Most Merciful." (Quran 4:16)

Now its bibles turn!! Let roll max!!

SEX SLAVE IS ALLOWED IN THE BIBLE!!

--- The following passage describes the sickening practice of sex slavery.-

How can anyone think it is moral to sell your own daughter as a sex slave?----

-When a man sells his daughter as a slave, she will not be freed at the end of six years as the men are.- If she does not please the man who bought her, he may allow her to be bought back again.- But he is not allowed to sell her to foreigners, since he is the one who broke the contract with her.- And if the slave girl's owner arranges for her to marry his son, he may no longer treat her as a slave girl, but he must treat her as his daughter.- If he himself marries her and then takes another wife, he may not reduce her food or clothing or fail to sleep with her as his wife.- If he fails in any of these three ways, she may leave as a free woman without making any payment.- (Exodus 21:7-11 NLT)
 
OMG!! nimekujibu kwa kutumia maandiko kwamba huwezi kumtenganisha yesu na mungu. manake hata wanafunzi wa yesu waliwahi kumwambia yesu wakisema tuonyeshe baba yatosha, akawajibu umekuwa na mimi siku zote usinijue?!
nikasema yesu anayo mamlaka yote duniani na mbinguni, hivyo ni ngumu pia kuwaza kutenganisha. kama yesu ni mwanadamu angetajwa binadamu ambaye ni baba yake, kitu ambacho hakipo kabisa. ndipo nikakufahamisha ni vizuri uelewe utatu mtakatifu ulivyo sio kwa kuuliza logic question, mwishowe hutapata jibu. ndio maana nasisitiza angalia back ground ya yesu ujue baba yake then useme alikuwa mtu tu, lasivyo unayomengi ya kujifunza kumjua masihi yesu kristo. kwanini yesu hakutajwa baba yake kama manabii wengine, what was so special to him. kwa mfano mtume mohd aliambiw na mkewe aseme ameshukiwa na malaika hii inajieleza wazi sana kwamba si mtume aliyeng'amua kama ameshukiwa na malaika bali mkewe alimwambia aseme hivyo ili aone jinsi gani jamaa yake inavyoinuka. si lengo langu kwenda huku au kubabaisha maneno, bali ni kukufafanulia ya kwamba kunayo mengi ambayo yesu anayo ambayo ulimwengu hauyazungumzi kuhusiana na ukuu wake. ndio maana alisha-conclude kwamba walio wake huiskia sauti yake ikiwa na maana kuwa wasiomkubali sio wake na hawatamsikia. ni ngumu kumfundisha mpagani ama asiye amini mambo yahusuyo utatu mtakatifu, ni kama kumpa ugali mtoto mchanga badala ya maziwa. nachoweza kusema ni kwamba yesu ndiye njia ya kwenda mbinguni, kama unataka kumjua mungu basi mjue yesu na si vinginevyo ama sivyo alishasema atamkana yule amkanaye mbele za watu. na alisha sisitiza yeye yu ndani ya baba na baba yupo ndani yake, hapa hatuna cha kubishana kwani ameshamalizia anachotaka kusema kwa mujibu wa maandiko. kama unaamini yesu ni binadamu tu na si mungu, ni bora basi kama utathibitisha kwa maandiko yanayomwelezea kwamba yeye ni binadamu wengine. kuliko kuwa professional criticizer.

When you say OMG (Ooh my God) whom do you call!?

Jesus au yule Jesus anaemuita baba!!?

MBONA UNAKIMBIA KIMBIA!?

NAULIZA KWA MARA YA MWISHO!

YULE YESU ANAE MUITA BABA NI NANI??

UKISHINDWA KUTOA JIBU! NI BORA UKABATIZWE UPYA MAANA YAKE WEWE SIO MKRISTO!
 

II Kings 2:23-24
badass3b.jpg
We've all been there. You're walking along, minding your own business, when a gang of co..y, young b....ds start hurling abuse at you. Most of us would just keep walking, or maybe, yell some insults back or flip them the bird. Elisha (commonly regarded as the Luke Skywalker to the Prophet Elijah's Obi-Wan Kenobi), however, decides to take it one step further. Invoking the name of God, he summons mother..... bears to come and claw the s..t out of them.


Christians are constantly asking for prayer in schools to help get today's kids in line, but we beg to differ. We need bears in schools. If every teacher had the power to summon a pair of child-maiming grizzly avengers, you can bet that schoolchildren nowadays would be the most well-behaved, polite children, ever. It's a simple choice: listen to the biology lesson, or get first-hand knowledge of the digestive system of Ur..s horribilis.


what do you think max!!
 
When you say OMG (Ooh my God) whom do you call!?

Jesus au yule Jesus anaemuita baba!!?

MBONA UNAKIMBIA KIMBIA!?

NAULIZA KWA MARA YA MWISHO!

YULE YESU ANAE MUITA BABA NI NANI??

UKISHINDWA KUTOA JIBU! NI BORA UKABATIZWE UPYA MAANA YAKE WEWE SIO MKRISTO!
yesu aliwahi kuulizwa unafanya hayo mambo kwa mamlaka ya nani hakujibu!?. na wewe unaniuliza yule ambaye yesu anamuita baba ni nani., kiufupi ni kwamba jibu nitoalo ni kwamba yesu amesema yeye yu ndani ya baba na baba yu ndani yake. kwa ujumla yesu na baba wote ni mungu. je wako wangapi ni mmoja,kivipi.,? kwakuwa wanatenda kazi kwa umoja. ili kuweza kupata uokovu wako napenda ufahamu kuwa yesu ndie njia kweli na uzima. miungu ipo mingi bali mungu katika jina la yesu ni mmoja tu, na hiyo ndiyo njia ya uokovu na hukumu inaanzia hapo kuwahukumu wanadamu. ili kutosheleza jibu lako ni kwamba unapaswa ujue baba wa yesu ikiwa tu unaamini yesu alikuwa mwanadamu kama mimi na wewe, na pia ueleze ni kwakiwango gani mwanadamu huyu anayo previledge ya kuja kuhukumu ulimwengu siku ya mwisho. wakati waliwahi kuwepo manabii wengine wengi ambao hawajaweza ku-qualify kutoa hukumu kama yesu atakavyofanya siku ya mwisho.
 
II Kings 2:23-24
badass3b.jpg
We've all been there. You're walking along, minding your own business, when a gang of co..y, young b....ds start hurling abuse at you. Most of us would just keep walking, or maybe, yell some insults back or flip them the bird. Elisha (commonly regarded as the Luke Skywalker to the Prophet Elijah's Obi-Wan Kenobi), however, decides to take it one step further. Invoking the name of God, he summons mother..... bears to come and claw the s..t out of them.


Christians are constantly asking for prayer in schools to help get today's kids in line, but we beg to differ. We need bears in schools. If every teacher had the power to summon a pair of child-maiming grizzly avengers, you can bet that schoolchildren nowadays would be the most well-behaved, polite children, ever. It's a simple choice: listen to the biology lesson, or get first-hand knowledge of the digestive system of Ur..s horribilis.


what do you think max!!

Hii ndio dawa yenu Muhammadans, mkileta mzaha, tuwatanguliza mbele ya haki. SAFI SANA ELISHA.
 
[h=3]Muhammad practiced witchcraft[/h]

According to Muhammad's own definition of witchcraft, Muhammad was himself guilty of practicing that demonic art. Muhammad defines witchcraft as follows:

Qur'an 113.003 "From the mischievous evil of Darkness as it becomes
intensely dark, and from the mischief of those who practice the evil of malignant witchcraft and blowing on knots, and from the mischievous evil of the envier when he covets."

And the Hadith records that Muhammad did these very things:

Bukhari:V7B71N643 "I heard the Prophet saying, ‘If anyone sees something he
dislikes, he should blow three times on his left side and its evil will not harm him.'"
Bukhari:V6B61N535"Whenever the Prophet became ill he used to blow his breath over his body
hoping for its blessing." Bukhari:V6B61N536"When the Prophet went to bed he would cup his
hands together and blow over them reciting surahs. He would then rub his hands over
whatever parts of his body he could reach, starting with his head, face and frontal areas."

Exactly why Muhammad thinks he will be able to beat evil with what he called evil is beyond me. But I would not deny that Muhammad here confesses that he practices witchcraft since the implicit confession is obvious to all without an obvious bias
 
Back
Top Bottom