Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Endelea kuwaamini wazungu mkuu..
Endelea kutowaamini wazungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuwaamini wazungu mkuu..
Yaani jamaa yangu serious unataka tusiamini tulichokiona jukwaani tukuamini wewe uliyopo huko Mpwapwa Dodoma?! Maajabu hayajawahi kuisha.Endelea kuwaamini wazungu mkuu..
Mimi sijasema kua ni uhakika ila sio kitu cha kusema hakiwezekani.Yaani jamaa yangu serious unataka tusiamini tulichokiona jukwaani tukuamini wewe uliyopo huko Mpwapwa Dodoma?! Maajabu hayajawahi kuisha.
Asingepigwa kusingekua na pambano la marudiano,asingepigwa pambano la marudiano lisingekua na pesa nyingi kuliko la mwanzo.Yaani jamaa yangu serious unataka tusiamini tulichokiona jukwaani tukuamini wewe uliyopo huko Mpwapwa Dodoma?! Maajabu hayajawahi kuisha.
Kikokotoo gani unatumia aisee..?Mi nilisema joshua hii mechi kauza ili apate rematch apige mpunga zaidi
Chief...Asingepigwa kusingekua na pambano la marudiano,asingepigwa pambano la marudiano lisingekua na pesa nyingi kuliko la mwanzo.
Its not about titles huko juu,its all about money bro,money
miguu haina nguvu anapiga punyeto?
Hiyo ina maana kwamba uwezo wa AJ kudai pesa kubwa kwenye pambano la marejeano utakuwa ni mdogo..!
Hahahaa,ukimpa jabs mfululizo AJ analegeaga miguu fala yule hahahaaHahahahaha hahahahaha mkuu
Promota wa AJ ametangaza rasmi uwepo wa rematch kati ya mteja wake na Andy Ruiz mnamo Nov/Dec ingawa bado haijajulikana itafanyikia wapi, hii ni baada ya AJ kupoteza pambano lake la kwanza kwa TKO.
WELL, ni muda wa AJ kujiuliza wapi amekosea aweze kurekebisha makosa yake, akipoteza mechi ya pili then his career is over.....View attachment 1118104
Kwasasa AJ atakuwa B side, ndio biashara ya ngumi inavyokwendaHiyo ina maana kwamba uwezo wa AJ kudai pesa kubwa kwenye pambano la marejeano utakuwa ni mdogo..!
Ila Andy Luiz ndio ana uwezo mkubwa wa kudai fungu nono,coz tayari ubingwa upo mikononi mwake..!
AJ thamani yake imeshuka sana hawez tena kutengeneza pesa nyingi. ameshaharibu cv yakeAsingepigwa kusingekua na pambano la marudiano,asingepigwa pambano la marudiano lisingekua na pesa nyingi kuliko la mwanzo.
Its not about titles huko juu,its all about money bro,money
wewe kijakazi wa mbowe acha bangi pambano linachezwa londonHii itakuwa Mexico City ila kwa kukusanya pesa ndefu sitashangaa ikiwa Las Vegas.
wewe kijakazi wa mbowe acha bangi pambano linachezwa london
Dawa ni kumpiga kwa KO, hata hiyo mechi ya kwanza wangeenda Round 12 there is no way Ruiz kushindaKupeleka pambano UK ni kujaribu kumtengenezea AJ mazingira ya kushinda..!
Hilo pambano lipigwe neutral venue,ndio mshindi atapatikana kihalali..!
Waache mambo ya European Nations League..!