Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Makubaliano yameafikiwa mpambano wa maruadiano kati ya mMexco Ruiz dhidi ya Mwingereza Joshua mnamo Dec 7 huko Saudia Arabia
Ikumbukwe pambano la awali Joshua alikubali kichapo ambacho hakikutarajiwa na wengi cha knockout ya roundi ya 7
Nini mtazamo wako
Jeshua atalipiza kisasi au Ruiz aka Chibonge ataendeleza ubabe wake?
Ikumbukwe pambano la awali Joshua alikubali kichapo ambacho hakikutarajiwa na wengi cha knockout ya roundi ya 7
Nini mtazamo wako
Jeshua atalipiza kisasi au Ruiz aka Chibonge ataendeleza ubabe wake?