Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
....kwa hii sauti huwezi kutiwa studio,"sio watu wote wakuchekeaaaaa.....moyoni wanakuteketeza(hapa sijui kama nimepatia), kama fisi wakunyatiaaaa, mioyo yao yote imejaa fitinaaaaaaa, kukumaliza ndo yao niaaaa, ooohhh uuuo ooo ooo, kukumaliza ndo yao niaaaaaa, kukumiza ndo yao nia ouooo, kukumaliza ndo yao niaaa"
Kuona neno wowowo mwili umesisimka..Huu ugonjwa ushindwe na ulegeeLake limezidi hapo, ana wowowo hilo
Farida alizaa na mwana hip hop wa iringa jina nimelisahau aliimba wimbo wa nakupenda hip hop na waite polisi enzi za producer ambhakitambo sana. pia kuna binti anaitwa farida aliimba wimbo uitwao pesa miaka ile ya mwanzon mwa 2000 alikua mkali sana
Hapana siyo huyo nimemsahau jinahayati mabovu au? @ elmagnifico
Nmemkumbuka alikuwa anaitwa roho 7hayati mabovu au? @ elmagnifico
Mkuu hii ni moja ya ngoma za bongo ambayo naielewa sana, [HASHTAG]#fitina[/HASHTAG]"sio watu wote wakuchekeaaaaa.....moyoni wanakuteketeza(hapa sijui kama nimepatia), kama fisi wakunyatiaaaa, mioyo yao yote imejaa fitinaaaaaaa, kukumaliza ndo yao niaaaa, ooohhh uuuo ooo ooo, kukumaliza ndo yao niaaaaaa, kukumiza ndo yao nia ouooo, kukumaliza ndo yao niaaa"
Kwanini hajaolewa hadi leo!!???
Du!Kwanini hajaolewa hadi leo!!???
Gigy Money hana hipsBado ana zile hips za kufa mtu kama za Giggy Money?
Baridi kama hii ni Enika sio huyuNaupenda sana ule wimbo wake wa Baridi kama hii..naukubali sana.