Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
....kwa hii sauti huwezi kutiwa studio,"sio watu wote wakuchekeaaaaa.....moyoni wanakuteketeza(hapa sijui kama nimepatia), kama fisi wakunyatiaaaa, mioyo yao yote imejaa fitinaaaaaaa, kukumaliza ndo yao niaaaa, ooohhh uuuo ooo ooo, kukumaliza ndo yao niaaaaaa, kukumiza ndo yao nia ouooo, kukumaliza ndo yao niaaa"
...njoo tu nikutie kaunta!