X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
- Thread starter
-
- #41
This news is too old to be discussed to day........! these were just propaganda by then!
AljuniorTz said:Nami ndio nashangaa hii nyuzi mbon ime-expire siku nyingi???
Maane said:Yaani kweli kitu ya almost 8 years mnasema ni mpya jamani. Kabla member hujaanza kuchangia check kwanza date ya event kama ya Obama ambaye hata hasimu wake Marekani na Uingereza hawana hakika kama yu hai au alishakufa!!!! Ila Osama Bin Laden ni kiboko!!!! Kama yuko hai na hajaweza kukamatwa hadi leo leaving apart donge nono lililotolewa na marekani basi huyu ndiye naughty boy wao!!!
Eqlypz said:Sasa na wewe umefanya nini?
X-Paster, na wewe ndio nini kutuletea habari ya 2001?
Kwani vingapi vya zamani na mnaendelea kuvikumbuka, tena vingine mnavihazimisha kwa matamasha, nderemo na vifijo!?
Old is Gold!