Report ya CAG naona Wabunge wanapiga Makelele tu kama kawaida yao. Pesa hazitarudi.

Report ya CAG naona Wabunge wanapiga Makelele tu kama kawaida yao. Pesa hazitarudi.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Amini usiamini hao wahuni wataishia kupiga mkelele na hakuna kitu itatendeka .

Walikuwa wapi hadi pesa yote hiyo inapotea. Wezi wengine ni miongoni mwao.


Wanajaribu kutuhadaaa eti waanauchungu nothing...tujipange 2025 tuwatupilie mbali
 
Back
Top Bottom