NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
[emoji16] Ila watu jamani nimecheka mnohuyu kijana hasara,bora angezaliwa andazi tungenywia chai...
Huu Uzi yanapita Kama yanaaga maiti.Maandazi Makolo Madunduka msimu huu wamepoteza marinda yote mbele ya Wanaume YANGA wa Kimataifa, YANGA [emoji169][emoji172] BINGWA
[emoji16]
Sijabahatika kukutana nae kitaa Yule bwana mdogo nafikiri anashinda ndani Kama mwali [emoji41]NALIA NGWENA yule kijana wa kirangi uliyempiga ngumi za mbavu anaendeleaje?
Aahaaaaaaa[emoji16][emoji41]View attachment 2643943
Aahaaaaahuyu kijana hasara,bora angezaliwa andazi tungenywia chai...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji41]View attachment 2643943
Shule imefungwa lakini katoka patupu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hahahahahahahahha
Mbona jina la shule alipo?[emoji16][emoji41]View attachment 2643943
Imagine kwa matokeo mabaya kiasi hiki, badala ya kuanza mapema kusoma tuition wakati huu wa likizo kutokana na u slow learner aliokuwa nao, ili mhula mpya wa masomo ukianza awe kama kaka yake Yanga![emoji16][emoji41]View attachment 2643943
Hatuwadai mmeleta kombe la cafccImagine kwa matokeo mabaya kiasi hiki, badala ya kuanza mapema kusoma tuition wakati huu wa likizo kutokana na u slow learner aliokuwa nao, ili mhula mpya wa masomo ukianza awe kama kaka yake Yanga!
Yeye yuko busy tu na umbeya, na pia kwenda kwenye vigodoro! Aisee huyu mtoto ni fungu la kukosa kabisa. Asipokuwa makini, kila mwaka atakuwa anavuna mabua tu.
Unatakiwa ukubali tu huyo mwanafunzi hapo juu kwa jina la simba, ni bumunda darasani. Maana mhula mzima amepata F kwenye masomo yake yote.Hatuwadai mmeleta kombe la cafccView attachment 2645423
AhaaaaaaHatuwadai mmeleta kombe la cafccView attachment 2645423