Reporter wa ITV unaemkubali... utuambie una report kutoka wapi..

Reporter wa ITV unaemkubali... utuambie una report kutoka wapi..

Yule Spensa Lameck yupo wapi?!
Alikuwa fire sana, very talented!...
Yale maboks ya kura sijui ndio yalimpoteza..[emoji848]?
...kile ni kipaji natural!
 
Yule Spensa Lameck yupo wapi?!
Alikuwa fire sana, very talented!...
Yale maboks ya kura sijui ndio yalimpoteza..[emoji848]?
...kile ni kipaji natural!
…naitwa Papaa Mukhulundu Shikholokhonyez Omwana wa Musengeri Nikiripoti kutoka Isiolo
 
Nikiripoti kutokea visiwani zanzibar Mimi ni Farouk Karim wa ITV

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah..huyu mzee wa kitambo sana, nakumbuka since 2001 nimeanza muona itv..mpaka sasa bado anavuma..nikiripot kutoka visiwan zanzibar, Mimi ni Farouk karim wa ITV...

Ila ufoo saro yuko wapi jaman?..namkubal sana huyu dada, alinusurika kifo kutoka kwa mumewe kama sikosei..
 
Back
Top Bottom