repoti ya kifo cha albert mangweha ni fake! aliye fanya hivyo alaaniwe!

repoti ya kifo cha albert mangweha ni fake! aliye fanya hivyo alaaniwe!

The fact Ngweir is dead, haya mengine ni mapambio tu na kushrehesha, sidhani kama Watanzania tuna kazi au tunahitaji report za chanzo cha kifo.

Ingekuwa ni hivyo mauwaji ya kitu chenye ncha kali yasingekuwepo hapa kwetu.

umemaliza kila kitu! mia
 
Au watu wa mawingu wameleta fake toxicological report!
 
hapa tuaandage kaburi tu, haya mengine mbwembwe tu kama kifo cha
2 Pac.!!
 
FP hebu njoo huku rafiki. Unakumbuka nilihoji kuhusu authenticity ya hiyo ripoti?

Common sense yangu iligoma kukubali haraka haraka maana, kwanza, ni mapema mno kwa toxicology report kutoka haraka namna hiyo. Pili, hakukuwa na link yoyote kwenye hiyo taarifa ambayo inathibitisha kwamba iliandikwa na huyo daktari. Tatu, hakukuwa na contact info zozote kwenye hiyo taarifa.

Ndo hapo radar zangu zikaanza kubeep. Sasa wasemaje rafiki? Haya mambo ya taarifa za kwenye mitandao ni ya kuyachukulia kwa makini sana la sivyo kuingia mkenge ni rahisi sana.

Bofya hapa uone uchambuzi wa wengine kuhusiana na hiyo so called taarifa.
Nakuambia.....!
nilionaje noma nilipoona taarifa kuwa ripoti ni fake!
nikajua tu lazima utanirudia rafiki.
anyway, ndo kujifunza kwenyewe huko.
Ila nashangaa huyo mtu aliyetoa ile taarifa alikuwa na agenda gani? kwa nini utoe taarifa ya uongo kwa kitu kama hiki? unapata faida gani?
 
most us guessed the same though the real real report has not been release yet ...but I dont think it 'll be that much different from our thoughts.. anyways R.I.P Ngwair.

Why do you think it wont be different? Do you know the source? Were you there or you hav heard from someone credible there? I think very few knows the truth by now.
 
Ama kweli marehemu hana haki kama tunaenda kwa style hii
 
Why do you think it wont be different? Do you know the source? Were you there or you hav heard from someone credible there? I think very few knows the truth by now.

Okay then let me and you keep on thinking......
as we all think............??????
 
blogs na magazeti ya tz yananichosha,yaan jana pia hadi watu wanaoheshimika walipost hyo report na wengine wakatangaza kabisaa na kifo cha m2 the p wakati ni uongo.. leo huyo m2 the p kaongea na millard ni mzima... something has to be done.... ila cha msingi ni kumuombea mangwea roho yake ilazwemahali pema peponi
 
Magazeti ya leo yamenukuu hiyo taarifa kama ilivyo eti ndo sababu ya kifo cha Mangwea. Kama ni kweli hyo taarifa ni ya uongo basi magazeti yetu kweli hayana weledi hata karesechi kadogo tuu kuhusu uhakiki wa taarifa hawana.

ushigongoism umetawala tasnia ya habari,ukanjanja ni mwingi sana
 
Back
Top Bottom